we mzee huwapendi kabisa wenzioUSHAURI WA BURE KWA SHABIKI WA ARSENAL KUHUSU MECHI ZILIZOBAKI.
1. Kusitisha kuangalia mechi zilizobaki za CITY
2. Kukusanya dawa zote ndani ya nyumba na kwenda kuzitupa mbali au kuzichoma.
3. Kukusanya kamba zote, mtandio, kanga na mkanda ndani ya nyumba na kwenda kuvichoma moto.
4. Ondoa vitu venye ncha kali kama kisu na bisisi nyumbani kwako na kwenda kuvitupa mbali.
5. Mwisho usipite kwenye madaraja marefu au karibu na visima virefu.
MWISHO WA MSIMU UTANISHUKURU
Ollashoga mama la mamaUnakatwa na Laccazete 😂😂😂😂
Kamata kamba ujinyonge 🤣🤣🤣VARSENAL FC
Kai atakuwa ana undugu na Arteta... Game ya Villa zile dakika 15 za mwisho Partey alikuwa anahitajika ujeuri wa Arteta utatukosesha kombe hivi hiviNimetizama game kwa utulivu mpaka dk ya 80 hivi.
Mengi nimeyaona si mapya ni yale yale... Ubora wa partey hili jamaa, nasikitika tumechelewa kulipata na injuries zake.
ubora wa declan rice akiwa LCM
Shida za kai(nishazizoea na kukubaliana n uhalisia, ndio chaguo la mwalim)
Lakini kubwa kabisa ni huyu saka, ajiangalie saana, saka namuona ni mchezaji wa mfumo huyu, je akienda everton ataweza kushine hivi, je akienda pale man u atakuwa na nusu ya ubora wake hapa arsenal?
Kichekesho kuna muda mtaalam kai alikuja chini kuchukua mpira kwa tomiyasu akamfukuza na kumpasia mwingine.
Mkamjengee Klopp sanamu lake pale Anfield. Kubeba ndoo mbele ya kipara si mchezo!!Mnadanganyana sana humu. Haaaland hacheki na mtu tukutane mwisho wa msimu kenge nyie
Game na aston villa itakumbukwa saana, pale tulijizika nusu..Kai atakuwa ana undugu na Arteta... Game ya Villa zile dakika 15 za mwisho Partey alikuwa anahitajika ujeuri wa Arteta utatukosesha kombe hivi hivi
Sisi washabiki wa jiji la manchester tuliumia mlipopewa magoli mawili ya bure mechi ya spurs ,hivyo basi msilie kwa kuona city anapata kama nyinyiManchester City!They asked for a penalty, and they get it. Mmoja wa watangazaji Supersport anasema ukiangalia ni kama Gravidol ndo kamvaa Nouri, lakini ni penalty. He is not sure, lakini ni penalty. Corruption