Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gabby katoka majeruhi. Hata fittnes yake siyo ile aliyokuwa nayo kabla. Kwa sasa hivi Kai ni best performer over Gabby.
 
Arsenal bingwa msimu huu
Katika mechi tano zilizobaki Man City lazima atoe sare hata moja
hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi.
Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho?
 
raya kujiamini kumezidi.. anajua akifanya makosa.. arteta bado atampanga tu next games.

dhidi ya porto away..
dhidi ya bayern at home.
na leo na spurs.
Every player got his good and bad day

Hata hao worldclass elites kina cr7 messi hazard benzema Lewandowski washa experience kitu kama icho so relax and enjoy the game coz nobody is perfect
 
hizi false hopes ndio zinafanyaga kuna watu wanajitundika baada ya ligi.
Unakumbuka msimu wowote Kipara alidraw kwenye mechi zake tano za mwisho?
Atake asitake atadondosha tu🤠🤠🤠...kesho tupo na wanetu Nottingham
 

Attachments

  • Screenshot_20240428_184612_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20240428_184612_WhatsApp.jpg
    777.6 KB · Views: 14
Labda city adraw mbele ya forest leo bila hivo keep on dreaming
brother
Bado hawajacheza na Spurs au ndo mlikua mnawahesabia watuzuie sisi tu?😃

Najua shauku yako ni sisi kukosa ubingwa, so stop pretending!
 
Back
Top Bottom