Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kai8ii, chuma ya 3..

Kweli hakuna ng'ombe asiyefaa, asipokufaa, kwa maziwa atakufaa kwa nyama, hajakufaa kwa nyama, hata mbolea, ngozi zitakufaa.😂😂😂
 
Ben White Kona zote anasimama mbele ya Kipa na bado VAR wanagoma ku intervene. Spazi kanyimwa tuta then against the run of play saka anafunga. Arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani.
Unaambiwa kipa ndo anakubali kukaa nyuma yake, alikuwa na nafasi ya kubadili sehemu ya kusismama.

Sasa wewe upo mikwambe huko unamlaumu refa
 
Kwa sasa Jesus amekuwa mkimbiaji tu, mpira wake hauna impact tena.
Si kweli, game zote jesus kaingia sub kuna kitu amefanya, game a munich aliingia akaasist goli la kusawazisha, game na chelkenge aliingia akaasisst, shida wakati mwingine anaingia timu haina morali ya kutafuta goli, mpira lazima ubadilike anaingia, watu tayari wametolewa, ukitaka hayo angeingia kipindi arsenal imekamilika na inasaka bao, ana mchango mkubwa sana tu, ni arteta mwenyewe ana yake.
 
Si kweli, game zote jesus kaingia sub kuna kitu amefanya, shida wakati mwingine anaingia timu haina morali ya kutafuta goli, mpira lazima ubadilike anaingia, watu tayari wametolewa, ukitaka hayo angeingia kipindi arsenal imekamilika na inasaka bao, ana mchango mkubwa sana tu, ni arteta mwenyewe ana yake.
Siku akianza mbona hatuoni impact yake, binafsi namkubali kwenye kuchezesha timu ila sio kutafuta magoli, he's not clinical hataaa.
 
I'd choose Jesus all day over Kai. Kai afunge au asifunge kwangu haibadili kitu.
Uchezaji wake kwa ujumla hawezi kumuweka level moja na Jesus.

Siwezi kukulaumu, magoli/matokeo mazuri ndio yanafika madhaifu yake huenda hujaliona hilo mpaka leo.
Wewe siyo kocha, pundits wanakwambia anafanya kazi kwa usahihi. Kocha bado anamuamini. Jesus anao anao hauna maana sana anaichelewesha timu tu.
 
Si kweli, game zote jesus kaingia sub kuna kitu amefanya, game a munich aliingia akaasist goli la kusawazisha, game na chelkenge aliingia akaasisst, shida wakati mwingine anaingia timu haina morali ya kutafuta goli, mpira lazima ubadilike anaingia, watu tayari wametolewa, ukitaka hayo angeingia kipindi arsenal imekamilika na inasaka bao, ana mchango mkubwa sana tu, ni arteta mwenyewe ana yake.
Kwani mkuu si timu inashinda, Lazima aanze yeye
 
Ben White Kona zote anasimama mbele ya Kipa na bado VAR wanagoma ku intervene. Spazi kanyimwa tuta then against the run of play saka anafunga. Arsenali anaandaliwa ubingwa wa mezani.
Duuh! Hasira umehamisha kwetu Kulaaalekiii.
 
Back
Top Bottom