kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Hujui kwamba mtu anaweza kukuchukia tu hata kama hakujui😅K
Kwani sijamsifia, chuki binafsi na mtu anaishi Uingereza naitolea wapi😳
😂😂
Hujui kwamba mtu anaweza kukuchukia tu hata kama hakujui😅K
Kwani sijamsifia, chuki binafsi na mtu anaishi Uingereza naitolea wapi😳
😂😂
Huo ni ujinga wa kiwango cha SGR, siwezi upuuzi huo, tunadiscuss boli tu.Hujui kwamba mtu anaweza kukuchukia tu hata kama hakujui😅
Alikuwa kiwango ila hakuwa mfungaji mzuri, tangu aje arsenal niambie kafikisha double digits mara ngapi mkuu. Na kipindi amekuja alipewa nafasi kama anavyopewa Kai.Kwa kuaminiwa alikoaminiwa kai, nae angeaminiwa hivyo, nilikuwa naona makubwa mno toka kwake.
Kai kufika leo, kocha kamuonesha imani kubwa mnoo, wakati mashabiki wanamlalamikia kai yeye alikuwa kwake bega kwa bega.
Rudisha kumbukumbu msimu uliopita kabla jesus hajaumia, alikuwa na kiwango kikubwa mnooo, mpaka alipokuja kuumia, aliporudi hakuaminiwa tena, akawa mtu wa sub tu, msimu huu umeanza ni yale yale, binafsi kwa mpira aliokuwa nao jesus nina imani nae kubwa mnoo.
Kabeti GG huyu falaAahhh.. kumamake walai, raya kazingua, yale yale ya jorginho, goli hili kawapa matumaini. Inabidi tuweke chuma nyingine kuwamaliza, la sivyo watakuja na nguvu zaidi.
Kipa huyu.....k.....mamaeerrkipa anatoa zawad ya Goli bure kabisa
Double digits anazipataje, aliumia game ya ngapi na alivyotoka majeruhi ndio hivyo namba kapoteza.Alikuwa kiwango ila hakuwa mfungaji mzuri, tangu aje arsenal niambie kafikisha double digits mara ngapi mkuu. Na kipindi amekuja alipewa nafasi kama anavyopewa Kai.
Ndio akaze kalio sasa, maana hili goli limewapa matumaini ya uhai wakati tayari walikuwa ICUKabeti GG huyu fala
Hawa tunaondoka na 3 pointsNdio akaze kalio sasa, maana hili goli limewapa matumaini ya uhai wakati tayari walikuwa ICU
Ni vema, ukichangia ni derby, wataumia saaanaHawa tunaondoka na 3 points
Raya alizingua sana hii gemu ishakuwa ngumuRaya, lile boko kaharibu saana, hii ni penati dhahii, refa akiwapa penati na wakifunga, game itakuwa ngumu mnooo