Leo task ni moja.
Kuchukua brash na rangi nyekundu na kuipaka London ili kuhitimisha kua London is red.
Msimu uliopita kikosi cha bei cha kenge tulikiacha points 40, msimu huu mpaka sasa hivi ni points 30. Spurs wamekua wabishi.
Spurs wanacheza mpira mzuri sana wa counter na transition. Wanafanya pia highline pressing, hii pressing ndiyo ilirudisha goli la 2 first leg. Lakini mpaka leo ni timu moja tu pale EPL inaweza kutufanyia highline pressing na wakaondoka na points 3.
Blue print is there. Against Arsenal go for haram football rely kwenye counter na transition kisha uwe na long shot merchant.
Spurs ana vyote hivyo vitatu lakini utayari wake wa kupaki basi unaweza kubadilisha matokeo. Arsenal tuna presha, tunahitaji points 3 na tunahitaji magoli mengi.
Natarajia upinzani kwavile hii ni derby