Ametupia ukoGame inaoneshwa @arsenal.com na kwenye official app View attachment 2971294
Kafunga goli sana.. timber ana kitu tutafika nae mbaliiPastor Timber yupo kwenye kikosi cha U21 dhidi ya u21 wa Blackburn
Soon atarudi kwenye first team squad
Tusameheane kwa kutowakumbusha kwa siku mbili tatu. Ni hiviMimi nitakuwa napita daily humu kuwakumbusha, mpaka mashindano yote 23/24 yaishe.
1. Carabao cup : ❌❌❌❌
2:EPL loading : FALSE HOPE 🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE: ❌❌❌❌
Kwa kua mnaenda kucheza na Luton sio? Endeleen kuota kama kawida yenu false hoppersTunatunza hii risiti
Tunacheza na Chelsea ambayo huwa tunaifumua miaka yte...hatukumbuki ni lini mara ya mwsho kutusumbua....Bora tuogope kucheza na Luton lakini sio Chelkenge🤠🤠Kwa kua mnaenda kucheza na Luton sio? Endeleen kuota kama kawida yenu false hoppers
Long time bro. Tumefurahi kukusoma maana imetupa amani kuwa uko poa. Karibu uungane na wachawi wenzako kina Allypipi, Mbaga, Bonnie Gold na wengineo mkuongozwa na rais Flano na makamu Mkohoti kufuta machozi ya failures zenu kwa kufurahia failures zetuFalse hopers mpo😆, kitambo sana asee nitangulize polee kwa kutolewa uefa na bayern ( timu tuliyoambiwa ni mbovu na bwana yule ivi bado yupo haha).
Wakati hayo yakiendelea group tuliokua Newcastle timu zote 2 zipo Semifinal, kifupi one of the team inaenda final
Sio kwmba alikuwa haingii hmu ndani kuchungulia ila anapata wapi nguvu ya ku comment wkti akiangalia ana point sijui arobaini na kitu sijui hamsini🤠🤠🤠....alishachagua kushangilia kikundi cha vurugu abakie hukohukoLong time bro. Tumefurahi kukusoma maana imetupa amani kuwa uko poa. Karibu uungane na wachawi wenzako kina Allypipi, Mbaga, Bonnie Gold na wengineo mkuongozwa na rais Flano na makamu Mkohoti kufuta machozi ya failures zenu kwa kufurahia failures zetu
Unakumbuka alivyoodoka chamani kwa mbwembweeeeee 😄😄😄. Mechi za mwanzoni mwanzoni wakishinda anakuja kutuonyesha jinsi Wilson, sijui Isak, mara Gordon walivyo juu ya Jesus na Martinelli.... Sasa anashangaa watu wenye magoli 8 wako kwenye timu yenye GD kubwa kuliko points za timu yake, anajikuta hana la kusema 😄😄😄Sio kwmba alikuwa haingii hmu ndani kuchungulia ila anapata wapi nguvu ya ku comment wkti akiangalia ana point sijui arobaini na kitu sijui hamsini🤠🤠🤠....alishachagua kushangilia kikundi cha vurugu abakie hukohuko
🤣🤣🤣🤣...usikute nilikuwa nasumbuana na kijana wa Form 4....hzi ID zinaficha mengi sanaUnakumbuka alivyoodoka chamani kwa mbwembweeeeee 😄😄😄. Mechi za mwanzoni mwanzoni wakishinda anakuja kutuonyesha jinsi Wilson, sijui Isak, mara Gordon walivyo juu ya Jesus na Martinelli.... Sasa anashangaa watu wenye magoli 8 wako kwenye timu yenye GD kubwa kuliko points za timu yake, anajikuta hana la kusema 😄😄😄
Humu nilikua siingii kabisa nilikuwa naangalia game nawakumbuka basi nacheka mwenyewe.Sio kwmba alikuwa haingii hmu ndani kuchungulia ila anapata wapi nguvu ya ku comment wkti akiangalia ana point sijui arobaini na kitu sijui hamsini🤠🤠🤠....alishachagua kushangilia kikundi cha vurugu abakie hukohuko
Mwisho wa siku pamoja na GD nyingi bado mtatoka trophyless mkijazana ujinga wa tupo false 4( phase 4) mara false 5 kutakuwa hamna tofauti kati ya position ya 2 na 10 then tutaangalia individual performance nadhan hamna aliyemzidi isak timu au trippier timu yako nzima.Unakumbuka alivyoodoka chamani kwa mbwembweeeeee 😄😄😄. Mechi za mwanzoni mwanzoni wakishinda anakuja kutuonyesha jinsi Wilson, sijui Isak, mara Gordon walivyo juu ya Jesus na Martinelli.... Sasa anashangaa watu wenye magoli 8 wako kwenye timu yenye GD kubwa kuliko points za timu yake, anajikuta hana la kusema 😄😄😄
Uwe unaingia ingia bhana. Wachawi kama nyie ndio mnachangamsha jukwaa na kuupa ushabiki wa mpira ladhaHumu nilikua siingii kabisa nilikuwa naangalia game nawakumbuka basi nacheka mwenyewe.
Yule false hopers aliwaaminisha mnacheza final wembley na akasema UEFA ni kombe rahisi kubeba ma false hopers mnafurahia kweli kupewa false hopes, haya kiko wapi ? tuliwaambia mpaka sasa mlikua hamjakutana na team ya maana unakutana na lens, psv na porto then unajiona ww bingwa 😆.
Kuna ndezi mmoja alikua anatengeneza kabisa maneno kumlisha peter dury kuhusu final ya wembley , tukamwambia icho unachofanya ni hope but sadly ni false hope arsenal hachukui kombe lolote msimu huu wala kuingia final yoyote but as usual tukiwaambia ukweli inafika sehemu mnatukataza kuwa quotes kabisa 😆😆
Amka mkuu...tafuta chapati na chai unywe...ndoto unayoota mbaya utaishia kula magodoro🤠🤠....leo tunamaliza jambo letu na Hawa videri Chelkenge....kesho tutakuwa mubashara na Everton tukiangalia ugomvi wa maweYani leo mmepigwa chache tano
Kwa hiyo unashauri tuwanunue Isak na Trippier?Mwisho wa siku pamoja na GD nyingi bado mtatoka trophyless mkijazana ujinga wa tupo false 4( phase 4) mara false 5 kutakuwa hamna tofauti kati ya position ya 2 na 10 then tutaangalia individual performance nadhan hamna aliyemzidi isak timu au trippier timu yako nzima.
Hata Bayern mbovu mlikua pia hamuiogopi, mnakomedi sana nyie!! ndio mana tunapenda kuja huku jukwaani kwenu kuondoa stress.Tunacheza na Chelsea ambayo huwa tunaifumua miaka yte...hatukumbuki ni lini mara ya mwsho kutusumbua....Bora tuogope kucheza na Luton lakini sio Chelkenge🤠🤠