fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,398
- 9,822
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.
Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.
We are going to Wembley, where will you be?
Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.
We are going to Wembley, where will you be?



