Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!


Masingeli itakua ana Supa nechelo pawa aiseee, haiwezekani mtu na akili zako timamu kabisa lakini ukianza kumsikiliza Masingeli unakua Msukule ghafla.Nina uhakika Masingeli akifungua kanisa lake la upako atapiga pesa ndefu vibaya mno, we fikiria hawa wafuasi wake wa humu ni wakiume, akipata na wafuasi wa kike hali itakuaje?
Jamaa ni bilionea mtarajiwa kabisaaa.


