Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!
Masingeli itakua ana Supa nechelo pawa aiseee, haiwezekani mtu na akili zako timamu kabisa lakini ukianza kumsikiliza Masingeli unakua Msukule ghafla.
Nina uhakika Masingeli akifungua kanisa lake la upako atapiga pesa ndefu vibaya mno, we fikiria hawa wafuasi wake wa humu ni wakiume, akipata na wafuasi wa kike hali itakuaje?
Jamaa ni bilionea mtarajiwa kabisaaa.
 
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
 
nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe
Kikubwa nilichogundua hili jukwaa bila ya uwepo wa ndugu yangu masingeli hua linapoteza kabisa mvuto.
Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi tuko chini ya miguu yako tunakuomba urudi utupe mchanganuo wa kucheza fainali ya Uefa kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale Wembley View attachment 2971758
naona hata ile ID fake ya gwiji la Highbury imepotea🤣🤣🤣
 
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
Top of the league
 
nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe
Kikubwa nilichogundua hili jukwaa bila ya uwepo wa ndugu yangu masingeli hua linapoteza kabisa mvuto.
Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi tuko chini ya miguu yako tunakuomba urudi utupe mchanganuo wa jinsi timu yetu ya Arsenyo itakavyo cheza fainali ya Uefa kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale Wembley View attachment 2971758
Usimsumbue Hamisi kwa sasa yuko katika harakati za kuchukua jiko. Ukosefu wake hauna uhusiaono wowote na matokeo yetu ya hivi karibuni
 
Sawa ndugu mjumbe mwenyekiti wa ramli😂😂😂
Baada ya kushindwa kubeba kombe ,mmeanza kuokoteza
Hata ww ni mpiga ramli pia....hmu wte ni wapiga ramli....tunataka timu yetu ipate matokeo ila nyie mabalala yawakute🤠🤠🤠...na yatawakuta...kesho Jota anarudi wodini tena maana ile ndo hirizi yenu
 
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
Tuache kumpongeza kipara Guardiola ambaye anaenda kubeba Hilo kombe tuwapongeze nyny kwli??🤠🤠...unatuona wte hmu mafala sio....Walter White anaenda kuwavalisha medali ya mshindi WA pili tena....Sasa tukupongezeni kwa Hilo kwli??
 
Tuache kumpongeza kipara Guardiola ambaye anaenda kubeba Hilo kombe tuwapongeze nyny kwli??...unatuona wte hmu mafala sio....Walter White anaenda kuwavalisha medali ya mshindi WA pili tena....Sasa tukupongezeni kwa Hilo kwli??
Masingeli products acheni roho za kwanini, yaani kutupongeza tu kwa kuingia fainali nyie mtapungukiwa nini?
Halafu kwani nyie mara ya mwisho kucheza fainali ilikua ni mwaka gani?
 
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
Siyo hivyo bro. Ni kwamba tu dunia nzima (siyo arsenal fans pekee) bado inashangaa mmeingiaje ingiaje fainali
 
Ila mashabiki wa arsenal hawajakaa kiuanamichezo kabisa, wenzao United ya 7Hag wameingia FAINALI ila hata kutuma salamu za pongeza wamejikausha kimya. Nadhani hii ndio sababu kuu kwanini hamis77 hataki kujitokeza kabisa kwenye jukwaa lolote la michezo, alimnanga sana kipara wetu.

Ule uchezaji wetu usiwababaishe mkajua sie wabovu, kila mtu anacheza anavyojua ilimradi ushindi unapatikana tu.

We are going to Wembley, where will you be?
kwahiyo ndo mnajidanganya nyie mnafanana na sisi?
mnajidanganya kuwa mmetuzidi kisa nyie mmefika nusu fainali fa......
hivi nyie nyumbu ni nani kawadanganya,tunaanzaje kubishana na watu wenye GD ya negative
ohoo jidanganye
 
Siyo hivyo bro. Ni kwamba tu dunia nzima (siyo arsenal fans pekee) bado inashangaa mmeingiaje ingiaje fainali
Hata msimu ulioisha mashabiki wa Arsenyo pia walishangaa hivyohivyo, wanajiuliza inakuaje kwa timu yao walioaminishwa na kina Masingeli kua ndio timu bora zaidi kuliko timu yoyote hapo Uingereza imemaliza msimu mikono mitupu bila ya kubeba hata kakikombe ka chai, Halafu timu mbovu kama ya Manyumbu wamemaliza ligi kwa furaha ya kunyanyua makwapa.
Nyie endeleeni tu kushangaa hivyohivyo huku mkihadaiwa na wahuni wachache kua GD mliyonayo Arsenyo ni GD ya dhahabu tena ni zaidi hata ya kubeba kombe
1713723279967.jpg
 
Masingeli products acheni roho za kwanini, yaani kutupongeza tu kwa kuingia fainali nyie mtapungukiwa nini?
Halafu kwani nyie mara ya mwisho kucheza fainali ilikua ni mwaka gani?
Kwa ule mpira na wale madogo siku ile mnataka mpongezwe nn wkti tunajua fedheha mtakayoenda kuipata huko mwshoni
 
Nimesema tu kwa sasa timu zetu zote ni nzuri, kuanzia watoto hadi akina dada na first team. Bado makombe tu.
😆😆😆😆 haya makombe mnayosubiri mnasubiri wapi!, Yaani toka kipindi cha wenger mnatengeneza team, hapo katikati tumeshuhudia mpaka Leicester kabeba kombe .
Nakumbuka mzee mmoja tunaangalia game akasema Arsenal hawezi kubeba kombe sababu makombe ni mazito 😆😆 hakuna anayeweza kunyanyua kombe .

Sijui jamii check wanasubiri nini kuhakiki kama nyie ni ma false hopers ili hii thread iitwe false hopers special thread maana ushahidi wote upo
 

Attachments

  • Screenshot_20240423-174922~2.png
    Screenshot_20240423-174922~2.png
    1,017.6 KB · Views: 9
Nyie pigeni kelele tu ila mwisho wa msimu tunaenda kuwaondolea aibu ya Pep kubeba domestic treble na mpira wetu wa kausha damu huu.
Hapo ndipo Hamis atakubali kuwa 10Hag ni tactician.
 
Back
Top Bottom