🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Bayern M vs Arsenal (pre game Analysis)
✍🏾 Ni Match nyingine ambayo inahitaji Umakini, Utulivu, Na Ambition ya Ushindi.
✍🏾 Hatua Mtoano uwa ni matukio tu yanaamua nani mshindi, sio umecheza vizuri vipi kama huwezi kufunga zaidi mpinzani,unatolewa.
✍🏾 Bayern Kwenye Mzunguko wa Kwanza Waliamua kujitoa mwanga kuacha mpira,wao wakadeal na Transitions.
✍🏾 Sababu walizijatiti kushinda Second balls nyingi, wakiwa wameamua kupiga mipira mirefu, Walikuwa na Winger wenye kasi
✍🏾 Bahati yao Wakatukuta tunaacha nafasi kubwa kuwapa muda kukimbia wingie mfano Sane. Bayern walikuwa wanakaba Compact, asa maeneo katikati kutulazimisha kwenda pembeni.
✍🏾 Je Bayern watakuja Approach hii tena wakiwa Nyumbani sidhani, nafikiri watahitaji kumiliki mpira pia ili wapate uhakika kutengeneza nafasi nyingi za magoal.
✍🏾 Tuchel uwa ni yule yule abadiliki sana ila anafanya tweak kidogo tu, kwenye approach yake kimchezo hapa Arsenal anatakiwa kuadapt hizo changes ili aende nae sawa
✍🏾 Kwa Vile Bayern wakiwa wana miliki sana mpira wanakuwa watu wengi kwenye last line ushambuliaji.
✍🏾 Arsenal moja tunatakiwa kucheza game hii tukiwa Less Emotional. Lengo kuwafanya wachezaji kuwa Concetration kitu kimetuadhibu game 2 hizi.
✍🏾 Kama Bayern ataamua kumiliki mpira basi sisi tucheze Transition game, tuwe makini kutengeneza matukio Mengi ya hatari
✍🏾 Nafikiri ata Pressing tuanzie Mid block , tuhakikishe mistari kati Back line , Midfield , Forward line , tukiwa tunakaba iwe narrow ili kutotoa nafasi kukimbia.
✍🏾 Arsenal anatakiwa pia kuhakikisha anatumia nafasi, Bayern sio wazuri sana kuzui transtions games hivyo kama tukiweza kuwacatch moments kama hizi tutumie nafasi ipasavyo.
✍🏾 Naamini hakuna linaloshindikana ni ambition tu na kupambana.
Amigos