Kai Havertz kwangu afunge magoli muhimu au asifunge still sio mchezaji wa kuanza mbele ya Gabriel Jesus. No fuckin way!
And so sad Arteta halioni hilo kwa kuwa he's so dumb and deaf, hataki kusikia chochote kuhusu Kai, kaweza kum sacrifice Martinelli kwa kumtoa mapema ila sio Kai. Alikuwa na ubora gani wa kucheza all 85 minutes?
I can't pretend this, kwangu pia Kai ni big NO!
Nitarudia huu msemo wangu anytime, if we want to win at Allianz in the 2nd leg, Kai should be on the bench first. Then we can talk football, otherwise Arteta akishindwa kuliona hili atakua hana tofauti na Ten Hag.