Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anaanza kutambika kwanza 😅
😁😁🤣🤣 unakumbuka jinsi Hamisi aliwalaani Manyumbu na Chelkenge? Mashabiki walimchukulia poa ila unaona jinsi hizi timu zinaonja joto ya jiwe, japo si kwa kiasi cha kushushwa daraja?
 
Nimeajiriwa ,sema bosi kaniachia kampuni nipo na mwanangu mmoja ndio tunaiendesha ,bosi anaweza kuja mara moja kwa mwezi ku survey tu
Safi sana. Kama mambo yanaenda vizuri hapo poa.

Mimi aisee sikosi kazi juu ya mpira. Game ngumu mtaani 🤣🤣
 
Safi sana. Leo natamani kuliko chochote kisoka, kuliko hata Madrid kumpiga mamacita, tumpige yule mjerumani mhuni mabao ya kutosha mpaka akasimulie akirudi kwao.
Mechi ya kwao twende ku relax ,tu
 
Arteta akianza hivi itakuwa unyama sana

Raya, White, Saliba, Gabriel, Tomi, Partey, Odegaard, Rice, Saka, Havertz, Martinelli
 
| Mikel Arteta: “Kuwa mkamilifu katika soka ni vigumu. Lazima uwe bora kuliko mpinzani kwanza, halafu unapokuwa na wakati lazima uwe mkatili.

"Tumekuwa thabiti na kujaribu kuwa bora zaidi kuliko wapinzani wetu hivi karibuni, na lazima tuendelee kufanya mambo mengi
 
️ Kai Havertz: “Kuthibitisha haters sio sahihi ni sehemu ya mchezo. Siku zote kuna watu ambao hawakupendi au kusema vibaya juu yako."

“Niliikubali kwani huwezi kumfurahisha kila mtu. Ninajaribu kujifurahisha mwenyewe na watu ambao ni muhimu kwangu ".
 
Martine Ordegaard aliulizwa kama huenda wakawa wanamwogopa Harry Kane!

Ordegaard "Tunapaswa kumheshimu Kane, Na sidhani kama mchezaji yoyote ambaye tutakuwa tunamwogopa".

Sisi tunapaswa kujiangalia sisi wenyewe na ubora wa timu yetu, Ni hayo tu".

Martine Ordegaard
 
| Thomas Tuchel kuhusu Kai Havertz



Kai alifunga moja ya mabao muhimu katika maisha yangu ya ukocha [fainali ya UCL ya Chelsea]. Yeye ni mtu mkubwa. Nimefurahiya kuwa anapata pongezi hapa anazostahili. Tunahitaji kumwangalia. Tuna wachezaji wachache ambao wanamfahamu vyema
 
| Gabriel Jesus:

“Kuanzia sasa hadi mwisho wa msimu, kila mchezo ni fainali katika mashindano yote mawili, hivyo unapaswa kufikiria kuwa kwa sasa tunacheza fainali tisa. Kwa kweli ni ngumu.”
 
Arteta:

"Hatujaona ubora wa Kai Havertz bado. Katika umri wake, ameanza na sisi, ni msimu wake wa kwanza, anajenga mahusiano hayo ...".

"Ana zaidi ya kufanya makubwa, michezo zaidi ijayo, anahitaji kuboresha uwezo wake ... na nina uhakika atajaribu kufanya hivyo".
 
Martine Ordegaard aliulizwa kama huenda wakawa wanamwogopa Harry Kane!

Ordegaard "Tunapaswa kumheshimu Kane, Na sidhani kama mchezaji yoyote ambaye tutakuwa tunamwogopa".

Sisi tunapaswa kujiangalia sisi wenyewe na ubora wa timu yetu, Ni hayo tu".

Martine Ordegaard
hamis77 kiswahili ni kigumu aisee. Next time utuwekee kama zilivyo bila ya ku-translate.
 
Back
Top Bottom