HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
😁😁🤣🤣 unakumbuka jinsi Hamisi aliwalaani Manyumbu na Chelkenge? Mashabiki walimchukulia poa ila unaona jinsi hizi timu zinaonja joto ya jiwe, japo si kwa kiasi cha kushushwa daraja?Anaanza kutambika kwanza 😅