Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,392
Sloppy start
Arsenal kapata tutaNguvu ya soda imekata.Hawa Brighton mmewasahau walichowafanya msimu ulopita?
Huu mbinyo tulowapa hzi dakika 5 za mwsho ungezaa goli ingekuwa safi sana...maana walikuwa hawajui waende wapi...naomba sana Big Gabby awe sawa na ule mguu maana tunamuhitaji sana na ile spirit yake ya upambanajiDakika ya 44.
Brighton wanapata shot on target ya kwanza.