mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Unaangamia kwa kukosa maarifawanakutuboa awa wew shangaa tu
Unaangamia kwa kukosa maarifawanakutuboa awa wew shangaa tu
Ngoja tuone wew mwenye maarifa unavyodondosha ubigwaUnaangamia kwa kukosa maarifa
Arsenal kapata tutaNguvu ya soda imekata.Hawa Brighton mmewasahau walichowafanya msimu ulopita?
Huu mbinyo tulowapa hzi dakika 5 za mwsho ungezaa goli ingekuwa safi sana...maana walikuwa hawajui waende wapi...naomba sana Big Gabby awe sawa na ule mguu maana tunamuhitaji sana na ile spirit yake ya upambanajiDakika ya 44.
Brighton wanapata shot on target ya kwanza.