Kai assistKwa uingereza best season ya Kai ni akiwa Arsenal.
arsenal izidi kufanya vyema zaidi na zaidi, ndio timu iliyobaki kwenye michuano mikubwa nayoitegemea.Half american jirani Arsenal wamenifuta hasira za jana…!!!
Hamna mchezaji hapoSielewi kwanini Arteta hampi game time Nelson...
Show showBog gabi ananikosha sana kusema ukweli ana mzuka wa hatari
HeeeeeeSielewi kwanini Arteta hampi game time Nelson...
Kumbe tunashabikia timu zinazofanana jirani 😀😀😀arsenal izidi kufanya vyema zaidi na zaidi, ndio timu iliyobaki kwenye michuano mikubwa nayoitegemea.
Kuna muda maiti inaweza kumpiga kibao muoshajiKumbe tunashabikia timu zinazofanana jirani 😀😀😀
Ila nilicheka chelsea kufufukia kwa mashetani juzi 🤣🤣🤣🤣
Hiyo sikupingi bro 🤣🤣🤣🤣Kuna muda maiti inaweza kumpiga kibao muoshaji
Mashetani hawana maajabu, wepesi sana, wale ni coastal union iliyochangamka.Kumbe tunashabikia timu zinazofanana jirani 😀😀😀
Ila nilicheka chelsea kufufukia kwa mashetani juzi 🤣🤣🤣🤣
Mashetani yalikuwa ICU yakashangaa The blues wamefufuka kutoka Mortuary 🤣🤣🤣🤣Mashetani hawana maajabu, wepesi sana, wale ni coastal union iliyochangamka.
Nyny malofa kesho jazaneni golini mpira usiingie...draw tu inatosha...hayo mengine tuachieni sisi🤠🤠...habari za hamsa zitarudi weekend ijayo...maana leo tulikutana na bingwa wa kufanya build up kutoka nyuma ila tumemuonesha tunaweza kucheza mpira wwte...Di Zerbi leo atalala anaweweseka kima yuleSisi Manyumbu hatujafurahishwa hata kidogo kumuona Tembo karudi juu ya mti, kama jumatano tulivyomsaidia Kenge kuingia kwenye top 10 basi na kesho pia tumeazimia kumrudisha Punda on the top of table
View attachment 2955839