Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mtu anaweza sema ila Arsenal na nyumbu ni mahasimu pia.

Na atakua sahihi.

Lakini uhasimu wa Arsenal na nyumbu ulisababishwa na Wenger na Ferguson zaidi, na ulikua ni uhasimu ambao timu hizi mbili kwa kipindi hicho zilikua zipo kwenye peak.

Yaani nyumbu alikua kimafanikio hashikwi na city wala liva isipokua Arsenal. So naturally uhasimu ukaja kwa mtindo huo, lakini pamoja na hayo Arsenal tutaendelea kujivunia kua ubingwa tulitangazia white hart lane na siyo kokote.

Owen mashabiki wote wanamzomea kwakua alienda unyumbuni. Ila nyumbu hawana tatizo na Welbeck kuja Arsenal wala Mkhtaryan.

Van Persie alienda unyumbuni mashabiki tumegawanyika tupo tusiomkubali na wapo wanaomkubali. Tusiomkubali sababu yetu siyo kwakua kaenda unyumbuni ila ni kwakua alitumia muda mwingi kwenye vitanda vya Arsenal, anashine kidogo anaondoka.

Cole hatumkubali kabisa. Same na Adebayor. Kwakua walienda kwa mahasimu wakubwa.
 
Standards are here.

Nyumbu wamefungwa roho inamuuma.

Anakuja kujifariji kua Arsenal siyo wa kwanza.

Wa kwanza ni nani? Liver.

Nyumbu na Liver ni mahasimu wakubwa. Ila watoto walioanza kushabikia mpira baada ya kucheza game la FIFA hawajui hilo.

Hawajui jinsi gani Ferguson inamkereketa anapoona liver inatawala mpira wa EPL, hawajui Erik alipata kazi baada ya kuahidi kumaliza utawala wa Liva.

Mahasimu wakubwa wengine ni City watoto wadogo hawajui Ferguson alitishia kumchania mkataba Evra kwakua alionekana matembezini na Tevez. Hawajui kila kombe la City ni tusi kwao, kila kombe la liva ni aibu yao imeongezwa juu ya aibu nyingine.

Shabiki mmoja wa nyumbu yupo Masaki anacheza ps 5 anazima anascreenshot msimamo wa ligi anatuma na emoji kufurahia liver au city kuongoza ligi.

WTF?

Ni sawa shabiki wa Arsenal nifurahie kenge au spurs kuongoza ligi. Ni haiwezekani. Na huyo ni average fan wa nyumbu humu JF, ndiyo sababu nawachukulia hawajui mpira, hawaijui klabu yao. Nadra sana unikute najibu komedi zao
Kama security guard flano huwa hajui anasimamia wapi, kwa kifupi hajielewi

Huyu Arv nahisi hizo dawa zimeanza kutafuna ubongo

Allypipi sometimes yes, sometimes No

Namkubali mwanangu Kitoabu yeye ameizila timu ameamua akomae na uchimbaji wa madini tu
 
Kama security guard flano huwa hajui anasimamia wapi, kwa kifupi hajielewi

Huyu Arv nahisi hizo dawa zimeanza kutafuna ubongo

Allypipi sometimes yes, sometimes No

Namkubali mwanangu Kitoabu yeye ameizila timu ameamua akomae na uchimaji wa madini tu
Kitoabu utamsikia anasema hii timu imefanya niwe mlevi
 
Mwaka juzi.

Liva inaongoza ligi.

Nyumbu wako nafasi ya pili.

Rio akasema timu yetu sasa imekua "We are joint top with liverpool"

Joint top. Ni nini hichi?

Huwezi amini nyumbu dunia nzima wakakariri hilo neno ma screenshots wakatuma wakitamka joint top.

Wakimaanisha eti wao pia ni wa kwanza kwakua points wapo sawa. Kwenye mpira ili kuamua nani anaongoza msimamo hua wanaanza points kama mnalingana yanakuja magoli.

Liva alikua amezidi magoli ndiyo maana akawa wa kwanza.

Hawa nyumbu walimaanisha nini walivyosema wanaongoza ligi kwa ushirikiano na Liver?

Ni miuijiza, lakini wakakomaa kwamba "We are joint top with liverpool"

Hawa siyo watu wa kawaida.
 
Rob Edwards on what makes Arsenal ‘formidable’:

“They give no chances away to the opposition teams. We saw them against probably the best team, a top, top team at the weekend & they limited [Man] City to very little, so they don’t give you anything.”

“It’s very clear in how they attack, but it’s really difficult to stop. They’re always there with good numbers & they can really suffocate you.”

“I think, maybe they’re the one team out of all of the three that are fighting [for the title], they can play any game — if it’s a physical game, a footballing game, a running game, whatever it is — they’ve got the answer. I don’t see any weaknesses.”
20240404_132104.jpg
 
Mtu anaweza sema ila Arsenal na nyumbu ni mahasimu pia.

Na atakua sahihi.

Lakini uhasimu wa Arsenal na nyumbu ulisababishwa na Wenger na Ferguson zaidi, na ulikua ni uhasimu ambao timu hizi mbili kwa kipindi hicho zilikua zipo kwenye peak.

Yaani nyumbu alikua kimafanikio hashikwi na city wala liva isipokua Arsenal. So naturally uhasimu ukaja kwa mtindo huo, lakini pamoja na hayo Arsenal tutaendelea kujivunia kua ubingwa tulitangazia white hart lane na siyo kokote.

Owen mashabiki wote wanamzomea kwakua alienda unyumbuni. Ila nyumbu hawana tatizo na Welbeck kuja Arsenal wala Mkhtaryan.

Van Persie alienda unyumbuni mashabiki tumegawanyika tupo tusiomkubali na wapo wanaomkubali. Tusiomkubali sababu yetu siyo kwakua kaenda unyumbuni ila ni kwakua alitumia muda mwingi kwenye vitanda vya Arsenal, anashine kidogo anaondoka.

Cole hatumkubali kabisa. Same na Adebayor. Kwakua walienda kwa mahasimu wakubwa.
“I was once fined £5,000 for calling Tottenham fans wankers. The best £5,000 I've ever spent.” Ian Wright
 
Thomas Partey found Ødegaard 11 times in today’s game alone

Meanwhile, the last time Rice played the DM, he managed to find Ødegaard only 5x and the last Jorginho also played the DM, he also found Ødegaard 4x


Partey asiumie tu, Hakuna rangi wataacha kuona
IMG-20240405-WA0010.jpg
 
Mbona chelkenge hawapost matokeo yao humu ya Jana kama manyumbu wanavyofanya?
Au wao na nyumbu lao Moja?
 
Rob Edwards on what makes Arsenal ‘formidable’:

“They give no chances away to the opposition teams. We saw them against probably the best team, a top, top team at the weekend & they limited [Man] City to very little, so they don’t give you anything.”

“It’s very clear in how they attack, but it’s really difficult to stop. They’re always there with good numbers & they can really suffocate you.”

“I think, maybe they’re the one team out of all of the three that are fighting [for the title], they can play any game — if it’s a physical game, a footballing game, a running game, whatever it is — they’ve got the answer. I don’t see any weaknesses.” View attachment 2954353
Hiki ulichoweka hapa Ambangile alikipresent hivi hivi kwenye Sports arena.
 
Mkuu Castr unachosema ni kweli haswa ila ni kwa hukohuko kwao Uingereza.
Ila kibongo bongo mashabiki wa Man Utd na Arsenal ni wengi kuliko mashabiki wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.

Nenda kwenye kibanda umiza fanya research utagundua mashabiki wa Liverpool hawafiki hata nusu ya mashabiki wa Arsenal na Mashabiki wa City hawafiki hata robo ya mashabiki wa Arsenal.

Wingi wa mashabiki ndio unaoleta uhasimu katika mazingira husika.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu wowote kati ya Arsenal na Spurs sababu hapa kwetu mashabiki wa Spurs ni wa kuhesabu, hata uhasimu wa Arsenal na Chelsea hapa kwetu sio mkubwa ki vile kwa sababu hapa Bongo mashabiki wengi wameanza kuijua na kuishangilia Chelsea baada ya Chelsea kununuliwa na Abramovich.

Hivyo ni sahihi kibongo kuona uhasimu mkubwa zaidi kati ya Arsenal na Man Utd hata kama uhasimu huo sio mkubwa kivile kwa huko kwao Uingereza.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu kati ya Barcelona vs Espanyol, Real Madrid v Atletico Madrid, Bayern Munich vs Dortmund, Psg vs Marseille, Napoli vs Roma, Juventus vs Torino.
Hivi mkuu Hizi akili upo lindo au nyumbani?

Umeongea kitu uhalisia wa mazingira fact
 
Mkuu Castr unachosema ni kweli haswa ila ni kwa hukohuko kwao Uingereza.
Ila kibongo bongo mashabiki wa Man Utd na Arsenal ni wengi kuliko mashabiki wa timu nyingine yoyote kwenye Epl.

Nenda kwenye kibanda umiza fanya research utagundua mashabiki wa Liverpool hawafiki hata nusu ya mashabiki wa Arsenal na Mashabiki wa City hawafiki hata robo ya mashabiki wa Arsenal.

Wingi wa mashabiki ndio unaoleta uhasimu katika mazingira husika.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu wowote kati ya Arsenal na Spurs sababu hapa kwetu mashabiki wa Spurs ni wa kuhesabu, hata uhasimu wa Arsenal na Chelsea hapa kwetu sio mkubwa ki vile kwa sababu hapa Bongo mashabiki wengi wameanza kuijua na kuishangilia Chelsea baada ya Chelsea kununuliwa na Abramovich.

Hivyo ni sahihi kibongo kuona uhasimu mkubwa zaidi kati ya Arsenal na Man Utd hata kama uhasimu huo sio mkubwa kivile kwa huko kwao Uingereza.

Kibongo bongo hauwezi kuona uhasimu kati ya Barcelona vs Espanyol, Real Madrid v Atletico Madrid, Bayern Munich vs Dortmund, Psg vs Marseille, Napoli vs Roma, Juventus vs Torino.
Hapa upo sahihi Kbsa mkuu
 
Mkorea sio vizuri kubadili maandiko,
Maandiko yanasema:
Binadamu wote wanazaliwa wakiwa United, baada ya hapo ndio wanahamia timu nyingine kutokana na shida mbalimbali zilizopo katika vichwa vyao.

Friends of Brighton tayari tumeshatia kambi humu, huku tukiwakumbusha kua kesho Liverpool anaenda kuweka gape la points 6 baina yake na Arsenyau.
Tuna kijana wetu anaitwa Danny Welbeck kasema leo hatatuangusha, ameahidi leo bora wachezaji wote 11 wa Brighton wafie uwanjani lakini sio kufungwa na timu mbovu kama Arsenyo na kuendeleza false hopes. View attachment 2955530
Endelea kuota ndoto nyevu mkuu
 
Back
Top Bottom