Mtu anaweza sema ila Arsenal na nyumbu ni mahasimu pia.
Na atakua sahihi.
Lakini uhasimu wa Arsenal na nyumbu ulisababishwa na Wenger na Ferguson zaidi, na ulikua ni uhasimu ambao timu hizi mbili kwa kipindi hicho zilikua zipo kwenye peak.
Yaani nyumbu alikua kimafanikio hashikwi na city wala liva isipokua Arsenal. So naturally uhasimu ukaja kwa mtindo huo, lakini pamoja na hayo Arsenal tutaendelea kujivunia kua ubingwa tulitangazia white hart lane na siyo kokote.
Owen mashabiki wote wanamzomea kwakua alienda unyumbuni. Ila nyumbu hawana tatizo na Welbeck kuja Arsenal wala Mkhtaryan.
Van Persie alienda unyumbuni mashabiki tumegawanyika tupo tusiomkubali na wapo wanaomkubali. Tusiomkubali sababu yetu siyo kwakua kaenda unyumbuni ila ni kwakua alitumia muda mwingi kwenye vitanda vya Arsenal, anashine kidogo anaondoka.
Cole hatumkubali kabisa. Same na Adebayor. Kwakua walienda kwa mahasimu wakubwa.
Na atakua sahihi.
Lakini uhasimu wa Arsenal na nyumbu ulisababishwa na Wenger na Ferguson zaidi, na ulikua ni uhasimu ambao timu hizi mbili kwa kipindi hicho zilikua zipo kwenye peak.
Yaani nyumbu alikua kimafanikio hashikwi na city wala liva isipokua Arsenal. So naturally uhasimu ukaja kwa mtindo huo, lakini pamoja na hayo Arsenal tutaendelea kujivunia kua ubingwa tulitangazia white hart lane na siyo kokote.
Owen mashabiki wote wanamzomea kwakua alienda unyumbuni. Ila nyumbu hawana tatizo na Welbeck kuja Arsenal wala Mkhtaryan.
Van Persie alienda unyumbuni mashabiki tumegawanyika tupo tusiomkubali na wapo wanaomkubali. Tusiomkubali sababu yetu siyo kwakua kaenda unyumbuni ila ni kwakua alitumia muda mwingi kwenye vitanda vya Arsenal, anashine kidogo anaondoka.
Cole hatumkubali kabisa. Same na Adebayor. Kwakua walienda kwa mahasimu wakubwa.


fact