Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hawa Kima labda FA wawatengenezee kombe la Pressing & overloading pamoja Duel ila kwenye hii michuano ya kuwania points, wasahau kabisa kuhusu kubeba kombe.kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje.
Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa.