HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,603
- 6,957
Tumeteseka sana jangwani, ila sasa nchi ya ahadi tumeikaribia. Hivi punde tu, tukaingia nchi ya ahadi.kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje.
Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa.