Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kiukweli mimi acha Liverpool na City walibebe tu sio nyie saizi timu aina kitu chochote ila mnatupika balaa sasa mkibeba kombe itakuwaje.

Mungu sio mkatili ivyo awezi kubali ilo litokee kabisa.
Hawa Kima labda FA wawatengenezee kombe la Pressing & overloading pamoja Duel ila kwenye hii michuano ya kuwania points, wasahau kabisa kuhusu kubeba kombe.
663382350.jpg
 
Hawa Kima labda FA wawatengenezee kombe la Pressing & overloading pamoja Duel ila kwenye hii michuano ya kuwania points wasahau kabisa kuhusu kubeba kombe. View attachment 2955617
FA na PGMOL wanatumia kila njama kutukandamiza lakini tunaenda nao jino kwa jino mpaka kieleweke. Manyumbu, pamoja na kubebwa kote, bado watu wanakomaa nao na kuwapiga.
 
Nchi ya ahadi wataingia wajukuu zenu kama wakitubu ila sio kizazi hiki cha Sodoma na Gomora(Gay Gunners) View attachment 2955674View attachment 2955675
Sijui kwanini mnapenda sana haya mambo. Kila club ina vyama vya supporters upinde.

1712415958674.png

1712416000587.png


Sidhani kama kuna timu hata moja ulaya isiye na mashabiki wa upande wa upinde na wana vyama kabisa kama ilivyo Rainbow Devils Rainbow 🌈 😈 wa united
 
Bayern wana shida gani? Nilitaka tumenyane nao wakiwa fit ila naona wamekua viande tu tutapiga nje ndani
 
Huyu Jorginho, Zinchenko na Havertz leo wanakua dawa ya hizi low block
 
Back
Top Bottom