umemwona boya alivyoenda kichwakichwa akidhani nayeNi kweli Arsenal tulitoa blueprint ya kumstopisha City ila siyo kila timu ina Gabriel na Saliba
Akajaa kwenye mfumoumemwona boya alivyoenda kichwakichwa akidhani naye
kwenye timu yake wana gabriel,
Game ilikuwa inamuhitaji mnoo gabriel jesus. Naimani tungewaokota nyingi tu.Arteta aache kukariri. Kuna mechi za kashi kashi zinazomhitaji Kai, mfano wa mechi za City na Liverpool. Lakini game open kama hizi ambazo unategemea mpinzani awe anazuia muda mwingi, inapaswa uanze na natural 9.
Kwa leo ilipaswa aanze Nketiah au Jesus.
Hatimae wamempiga za kutoshaNi kweli Arsenal tulitoa blueprint ya kumstopisha City ila siyo kila timu ina Gabriel na Saliba
Kulikua na Java, Symbian kabla ya hizi Android na ios.Smartphone 2006 bongo?
Kuna watu wanajipa maisha magumu kwa kuiwazia mabaya arsenalKuna shabiki mmoja wa pundamilia alikua anapenda kujisifia clean sheet. Kipindi kile anajisifia clean sheet ilikua wote tupo sawa.
Come this April. Tumeipata clean sheet Etihad na kwa Luton jamaa wa kuchafua gazeti.
Siku hizi utasikia niko busy na kazi 🤣🤣
Ni hatari asee Gunners Jana wameua tenaKuna shabiki mmoja wa pundamilia alikua anapenda kujisifia clean sheet. Kipindi kile anajisifia clean sheet ilikua wote tupo sawa.
Come this April. Tumeipata clean sheet Etihad na kwa Luton jamaa wa kuchafua gazeti.
Siku hizi utasikia niko busy na kazi 🤣🤣
Duh hawatuwezi.Kuna watu wanajipa maisha magumu kwa kuiwazia mabaya arsenal
Tukujibu au tuache?Licha ya kuongoza ligi lakini furaha hamna![]()
Furaha ya nini wakati kwetu Arsenal kuongoza league ni kawaida, kigeni ni ubingwa wapinzani wa Arsenal kaeni kwa kutulia.Licha ya kuongoza ligi lakini furaha hamna![]()