Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ga
Arteta aache kukariri. Kuna mechi za kashi kashi zinazomhitaji Kai, mfano wa mechi za City na Liverpool. Lakini game open kama hizi ambazo unategemea mpinzani awe anazuia muda mwingi, inapaswa uanze na natural 9.

Kwa leo ilipaswa aanze Nketiah au Jesus.
Game ilikuwa inamuhitaji mnoo gabriel jesus. Naimani tungewaokota nyingi tu.
 
Kwa kadi ya njano ya leo, Kai atakuwa amefikisha kadi 10+ za njano hivyo upo uwezekano atakuwa na adhabu ya kukosa mechi 2 mfululizo zijazo.
 
Kuna shabiki mmoja wa pundamilia alikua anapenda kujisifia clean sheet. Kipindi kile anajisifia clean sheet ilikua wote tupo sawa.

Come this April. Tumeipata clean sheet Etihad na kwa Luton jamaa wa kuchafua gazeti.

Siku hizi utasikia niko busy na kazi 🤣🤣
 
Kuna shabiki mmoja wa pundamilia alikua anapenda kujisifia clean sheet. Kipindi kile anajisifia clean sheet ilikua wote tupo sawa.

Come this April. Tumeipata clean sheet Etihad na kwa Luton jamaa wa kuchafua gazeti.

Siku hizi utasikia niko busy na kazi 🤣🤣
Kuna watu wanajipa maisha magumu kwa kuiwazia mabaya arsenal
 
Kuna shabiki mmoja wa pundamilia alikua anapenda kujisifia clean sheet. Kipindi kile anajisifia clean sheet ilikua wote tupo sawa.

Come this April. Tumeipata clean sheet Etihad na kwa Luton jamaa wa kuchafua gazeti.

Siku hizi utasikia niko busy na kazi 🤣🤣
Ni hatari asee Gunners Jana wameua tena
Kuna watu wanajipa maisha magumu kwa kuiwazia mabaya arsenal
Duh hawatuwezi.
Nb.
Mabingwa wa Ulaya msim juu ni gunners
 
Mumeshascreenshot msimamo wa ligi?
Mujue munaongoza ligi munapaswa kuwa na screenshot za msimamo wa Ligi hapo kesho ili muone kuwa jana muliongoza ligi.
 
RDT_20240404_1305215692779441126966332.png
 
Back
Top Bottom