Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,501
- 35,660
Arsenal bingwa EPL na UEFA
Haaland analichukia sana hili lijitu. Akilikuta liko na jitu jingine, Gabriel, ndiyo anachanganyikiwa kabisa na kuanza kujiangusha hovyo utafikiri mchezaji wa FC Porto.William Saliba for Arsenal vs. Man City:
◉ Most touches (50)
◉ Most possessions won (8)
◉= Most duels won (8)
◉= Most clearances (5)
◉ Most possession won in middle 3rd (4)
◎ 3 tackles
◎ 0 fouls committed
◎ 0x dribbled past
POTM.
View attachment 2950295
Uko sahihi piaTungeamua iwe
Open play, inawezekana tusinge pata matokeo. Coach was righ kwenda na lowblock with surprisal offensive missions
uko na very strong matured mindHaikuwa game nzuri kwetu kwa kweli. Leo nimewaelewa Gabriel na Saliba tu ila wengine naona walikuwa chini ya kiwango.
Kizuri ninachoona ni vijana watasema msimu huu hatujafungwa na Liverpool wala City, ila sisi tumewafunga wao. Watajiona sasa na wao wanaanza kuwa tishio na wakiweza kucheza game yao kwa hawa wakubwa pia, watatawala ligi.
Arsenal bingwa EPL na UEFA
Mumeshascreenshot msimamo? Kama bado basi kila shabiki wa Arsenal afanye kuscreenshot msimamo ili kesho muda kama huu awe anaangalia na kusema "Jana tuliongoza Ligi".
mngefunguka kingewakuta kilicho wakuta madrid a complete total demolition nadhani arteta ame learn kitu from the previousTungeamua iwe
Open play, inawezekana tusinge pata matokeo. Coach was righ kwenda na lowblock with surprisal offensive missions
Nyny tunajua tunaenda kuwakamatia wapi...draw moja tu tunakaa pale juu mpk ligi inaisha🤠🤠...tena zikibaki mechi Tano ndo tunakaa pale juu mazima....mechi ngumu tumemaliza leo...kina Tottenham sijui Manunu sijui Brighton tutawakanyaga mpk mtashangaa
tuna
Bado mech 2 tuone City atafanya nini. Akiwaachia tu villa na palace wabahatishe matokeo chanya, baada ya hapo mbio zitakuwa kati ya Arsenal na Livakuku.Niliwahi kuwaambia kuscreenshot msimamo wakati munaongoza Ligi vipi mulitekeleza ushauri wangu?
Kama hamukufanya basi poleni sana mumeshachelewa.
View attachment 2950301
Grealish alikaa almost a year hafungi wala kuassisst na pep alimuanzisha constantly. Palmer ni aina ya wachezaji unaowaona wazuri kutokana na mfumo.city alikua anacheza mpira wakulazimisha kushinda ndicho kilicho wa cost
1 60% ya main city squad wana fatigue (uchovu) too much games na wanauhuroho wakutaka kuende toe to toe makombe yote
so far anaweza ambulia FA cup sababu kule upinzan upo kwa kibonde wake man utd sio siri labda aizarau mechi kama Liverpool
2 Arsenal chini ya arteta wamedevelop a strong mindset ya upambanaji soo far arteta kaweza, ku master sum approach za
pep mfano hii timu ya city halland sioni kama inamfaa asilimia
kubwa anakuwaga mchezaji hewa uwanjani pale ambapo anakutana na wahuni wanaoweza mmark 90% refer to Gabriel leo
ame mpocket nusu alie
4 LASTLY ni Clutch crucial players na ndicho chamuhimu sana hili nililiongea mwaka jana na ntazidi kuliongelea city kazingua ku waondoa wachezaji wake muhimu sana kama GUNDOGAN na Cole
cold palmer hususani huyu gundo ndie alikua anaamua sana matokeo yeye pamoja na, rodri waliweza, kumtembeza, kifua mbele pep as best coach with the best super team but sadly to anymore
5 favouritism ndani ya, kikosi inammalizaga pep pamoja na tetesi zake za kuwa egolist na mbaguz, haya yote nikutokana kutokuwa na jibu linaloeleweka juu ya wachezaji wake quality kama grelish anaanzishwa doku... alverz atachezeshwa halland hatakama hatokuwa na impact
Halafu tumemiss sana kupiga watu 5g. Hawa watatupa points zetu 3 kwa mtindo wetu pendwa wa 4g, 5g na kuendeleaCity, liver wametuchangia 4 points
Nyumbu ameshatubariki 3 points bado 3 points zingine. Hizi ni lazma azitapike
Spurs na Kenge wametuchania point 1 kwa kila mmoja hizo tatu zilizobaki watazitapika tu
View attachment 2950337
Mechi ngumu tumemaliza leo...habari za Tano Tano zinaanza upya j5 hii...TAfuteni kocha wa kueleweka aisee...Yale matobo mnayoacha kati ya midfield na beki zenu tukikutana tusilaumiane🤠🤠na washauri mkusanye point mapema msije kutegemea pale kuondoka na point kuna timu za kutufunga pale ila sio nyie Wenger orphans.
Yani mpira ungekuwa rahisi hivyo

EwalaHalafu tumemiss sana kupiga watu 5g. Hawa watatupa points zetu 3 kwa mtindo wetu pendwa wa 4g, 5g na kuendelea


Nikutajie game ngapi zile anadondosha points?Sema nini wazee hapa tutaambulia vumbi ,kumkimbiza Liverpool aliyejeruhiwa huko nyuma Kwa point 3 ,harafu bado game 9,inahitajika miujiza![]()