Anyway, bado Arsenal hatujachonga mfumo mzuri wa kumfunga City, nilisema tupo vizuri kwa sasa kucheza na liva kuliko city.
Mentally tumekua. Hatukubend hata refa alivyokua anaifavor city kwenye maamuzi ya 50/50. Hata hivyo hii mechi ni ushahidi mwingine kua tunahitaji ST. Waweza argue mbona city ana ST na hajascore, na upo sahihi, ila ona jinsi Gabriel alivyokua anammark Haaland, Saliba anam-bully Haaland, ila hii ikawapa edge Rodri na Kelvin.
Kuna mtu alisema Martin atamfikia Kelvin soon ila ambao hawakumuelewa wakapindisha wakasema kamaanisha Martin yupo sawa na Kelvin. Na kuna member mapema kabisa akasema Kelvin atatuonyesha yeye ni nani.
Well, here we are. Na hakuna jipya. Siyo kwa Martin wala kwa Kelvin.
Gvardiolni beki mzuri, composure, strong, awareness ya juu. Trossard ilibidi awepo kwa pamoja na Jesus kwenye pitch.