Kama umecheki mpira utakua pia umeona idadi ambazo hiyo possession ilikua tishio kwa Arsenal.
Arsenal kauachia mpira kwa kupenda, ingekua uchizi tungeshindana positional play na City.
city alikua anacheza mpira wakulazimisha kushinda ndicho kilicho wa cost
1 60% ya main city squad wana fatigue (uchovu) too much games na wanauhuroho wakutaka kuende toe to toe makombe yote
so far anaweza ambulia FA cup sababu kule upinzan upo kwa kibonde wake man utd sio siri labda aizarau mechi kama Liverpool
2 Arsenal chini ya arteta wamedevelop a strong mindset ya upambanaji soo far arteta kaweza, ku master sum approach za
pep mfano hii timu ya city halland sioni kama inamfaa asilimia
kubwa anakuwaga mchezaji hewa uwanjani pale ambapo anakutana na wahuni wanaoweza mmark 90% refer to Gabriel leo
ame mpocket nusu alie
4 LASTLY ni Clutch crucial players na ndicho chamuhimu sana hili nililiongea mwaka jana na ntazidi kuliongelea city kazingua ku waondoa wachezaji wake muhimu sana kama GUNDOGAN na Cole
cold palmer hususani huyu gundo ndie alikua anaamua sana matokeo yeye pamoja na, rodri waliweza, kumtembeza, kifua mbele pep as best coach with the best super team but sadly to anymore
5 favouritism ndani ya, kikosi inammalizaga pep pamoja na tetesi zake za kuwa egolist na mbaguz, haya yote nikutokana kutokuwa na jibu linaloeleweka juu ya wachezaji wake quality kama grelish anaanzishwa doku... alverz atachezeshwa halland hatakama hatokuwa na impact