Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Manchester City vs. Top 6 in the league this season:

Draw against Chelsea
Draw against Chelsea
Draw against Liverpool
Draw against Liverpool
Draw against Tottenham
Draw against Arsenal
Defeat against Arsenal
Victory against Manchester United
Victory against Manchester United
Hii flano na allypipi wataipita Kama hawaioni hivi
 
Pep alikosa Solution

Walipata ON TARGET moja iliyotakana na Kona

What is the solution playing against an opposition with a low block?

Pep Guardiola: “Kill someone, maybe?”.
20240331_212651.jpg
 
Kitu pekee city walifanikiwa Jana ni kuzurura na mpira tu ila mnawapa sifa team imezurura na mpira mda wote on target 1 dakika 97 zote...On target Yao sio open play ilitokana na mpira wa kona

We are Arsenal

Hatuogopi timu yoyote
20240401_052244.jpg
 
Kitu pekee city walifanikiwa Jana ni kuzurura na mpira tu ila mnawapa sifa team imezurura na mpira mda wote on target 1 dakika 97 zote...On target Yao sio open play ilitokana na mpira wa kona

We are Arsenal

Hatuogopi timu yoyote View attachment 2950478
umesaau nini nyinyi kilichowakuta dhidi ya FC Porto kibonde mkupiga hata shuti 1.
 
umesaau nini nyinyi kilichowakuta dhidi ya FC Porto kibonde mkupiga hata shuti 1.
Ndio maana ya haramu football, ku neutralize mpinzani.

Tunachoshangaa ni hivi, baada ya Porto kutuchezea haramu football, tukasemwa sisi.Jana sisi tumecheza haramu football, nilitegea City ndo awe anazodolewa mtandaoni, lakini kinyume chake kelele zote zinakuja kwetu!!!!!

Sijui umenielewa???
 
umesaau nini nyinyi kilichowakuta dhidi ya FC Porto kibonde mkupiga hata shuti 1.
ww bado uko fc porto ? Unatukumbusha mambo ya fc porto ?

mbna unachelewa hvo? wenzako wanahama timu kila siku ,

walikuwa porto wakaona ngumu wakahamia Brentford bado mambo magumu

jana waka hamia cty mambo ndio magumu zaid .. wenzako sasa hv wamehamia buyen munich . wanasubir arsenal afungwe .. 😄😄😄😄
 
Mpk Braza Bernado kakiri🤠🤠...jini wamelifuga wenyewe Sasa linawasumbua...habari ya kuwa wanatufungafunga kwa Sasa wasahau...na tukipata striker ambaye Hana mambo mengi...kipara atatangaza kuondoka kama mwenzie Klopp...tumetengeneza timu ya manunda....nasubiri mechi na Bayern kwa hamu sana...tuone wale wababaishaji watapitia wapi
Hakuna kazi ngumu kama kucheza na Arsenal ,kama unaona Arsenal wepesi subiri wakutane na timu yakoView attachment 2950532
 
Mkuu lile goli la trossard lilipigwa shuti au alifunga kwa makalio🤠🤠...umeongea kama typical nyumbu kabisa....nyny hangaikeni na saccos yenu...timu mechi inaisha man of the match unakuwa Mwamba wa goli lenu...zinapigwa Mwamba unawatetea🤠🤠..kwli mmepatikana safari hii
umesaau nini nyinyi kilichowakuta dhidi ya FC Porto kibonde mkupiga hata shuti 1.
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

"Nidhamu Ulinzi"

✍🏾 Pre Game nilisema match hii ni tactical battle game kama hizi uwa zina amuliwa na Small Margins.

✍🏾 Ndio Maana utasikia watu wanasema Match inaboa sio Match kuboa bali tactical discipline Kwa kila mmoja kulingana na game Approuch yake.

✍🏾 Arsenal aliingia uwanjani kama nilivyotamani iwe kwe pre game analysis Arsenal alikuwa anahitaji matukio tu ( Transition game) hivyo kamuachia mpira Man City alafu yeye akawa na Nidhamu kiulinzi.

✍🏾 Unaweza kuona Namna gani Arsenal Aliweza kuziba Mianya Yote Kwa Man city kupata Central progression licha kina Bernando kuja ndani kujaribu kutafuta Numerical Superiority ila Kina Kai na Jesus walirudi deep kutoa Msaada.

✍🏾 Hii ikafanya Man City waanze kutumiq maeneo pembeni kutafuta 1vs 1 ndio Maana wakaaingia kina Grealish na Doku.

✍🏾 Arsenal pia Akaja na Jibu kuwafanya Winger wake kurudi chini kusaidiana na FB kukaba hii ikawapa shida tena Man city sababu Arsenal walifanya Discipline hali juu sana.

✍🏾 Nimewahi andika sana kuhusu OPP ( Out of possession Press) Arsenal ni hali juu mno.

✍🏾 kuna muda Wakakabia highline na city akifanikiwa bypass hapo hapo wanarudi haraka wanakabia Low block Utimamu unahitaji energy kubwa sana.

✍🏾 Tangu 2021 Man City hawajawahi shindwa kufunga goal lolote lile pale Ethard Mpaka leo Arsenal kawazuia.

✍🏾 Man City akiwa Home anapiga Ontarget 1 dakika 90, anatengeza XG below 1 unaweza kunielewa hii ilikuwa tactical battle.

✍🏾 Saliba Na Gabriel bila sahau White, Kiwior na team nzima japo Saka hakuwa mchezoni nadhani majeruhi pia na pia City walijiandaa kumzuia.

✍🏾 Kama huwezi kushinda mchezo basi jitahidi usipoteze pia Mapambano yanaendelea.

Amigos
IMG-20240401-WA0007.jpg
 
Walcott kasema Arsenal ametoa blueprint jinsi gani ya kuistopisha City.

Hata hivyo hii blueprint ni ya kumzuia Arsenal pia. Newcastle na Porto waliitumia kwetu. Wakasifiwa kutubana tukazodolewa kutoscore

Jana blueprint hiyo tumeicheza kwa City wanakasirika tulivyowabana na hawawazodoi City kutoscore.

Why?

Graham alisema "Kuchukiwa ni sehemu ya historia yetu" na mimi nasema hizi ni chuki tu.

Tungeshinda bado wangelaumu.

Arsenal hajamuachia possession City kwakua kazidiwa, hapana. Hii ni game plan. Last season tulikua na possession 64 wao 36 ila tulipigwa 3.

Ni time wasting kujaribu kudeal na kila shabiki.
 
Walcott kasema Arsenal ametoa blueprint jinsi gani ya kuistopisha City.

Hata hivyo hii blueprint ni ya kumzuia Arsenal pia. Newcastle na Porto waliitumia kwetu. Wakasifiwa kutubana tukazodolewa kutoscore

Jana blueprint hiyo tumeicheza kwa City wanakasirika tulivyowabana na hawawazodoi City kutoscore.

Why?

Graham alisema "Kuchukiwa ni sehemu ya historia yetu" na mimi nasema hizi ni chuki tu.

Tungeshinda bado wangelaumu.

Arsenal hajamuachia possession City kwakua kazidiwa, hapana. Hii ni game plan. Last season tulikua na possession 64 wao 36 ila tulipigwa 3.

Ni time wasting kujaribu kudeal na kila shabiki.
Mule mule
 
Ndio maana ya haramu football, ku neutralize mpinzani.

Tunachoshangaa ni hivi, baada ya Porto kutuchezea haramu football, tukasemwa sisi.Jana sisi tumecheza haramu football, nilitegea City ndo awe anazodolewa mtandaoni, lakini kinyume chake kelele zote zinakuja kwetu!!!!!

Sijui umenielewa???
Humu
 
Mpk Braza Bernado kakiri🤠🤠...jini wamelifuga wenyewe Sasa linawasumbua...habari ya kuwa wanatufungafunga kwa Sasa wasahau...na tukipata striker ambaye Hana mambo mengi...kipara atatangaza kuondoka kama mwenzie Klopp...tumetengeneza timu ya manunda....nasubiri mechi na Bayern kwa hamu sana...tuone wale wababaishaji watapitia wapi
Small club mentality
 
Walcott kasema Arsenal ametoa blueprint jinsi gani ya kuistopisha City.

Hata hivyo hii blueprint ni ya kumzuia Arsenal pia. Newcastle na Porto waliitumia kwetu. Wakasifiwa kutubana tukazodolewa kutoscore

Jana blueprint hiyo tumeicheza kwa City wanakasirika tulivyowabana na hawawazodoi City kutoscore.

Why?

Graham alisema "Kuchukiwa ni sehemu ya historia yetu" na mimi nasema hizi ni chuki tu.

Tungeshinda bado wangelaumu.

Arsenal hajamuachia possession City kwakua kazidiwa, hapana. Hii ni game plan. Last season tulikua na possession 64 wao 36 ila tulipigwa 3.

Ni time wasting kujaribu kudeal na kila shabiki.
Nyie badala y kumfunga bingwa muwe bingwa mnaleta ngonjera zenu za kitoto. Ndio mana ubingwa mtausikia kwnye chupa.
Screenshot_20240324-115801_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom