arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
😂😂😂Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda
😂😂😂Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda
Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda


Punguza makasiriko bwana mdogo, Nyumbu nae ni ntu kama ntu nyingine.

Usijali mi pia namna yangu ya kuenjoy ni kuwakera kwa kusema nawaignore. Actually, hua nasoma mnavyoviandika ila honestly hua naona sistahili kuvijibu.Punguza makasiriko bwana mdogo, Nyumbu nae ni ntu kama tu ntu nyingine.
Hii ni burudani tu humu unatakiwa ufurahi, ucheke na kuenjoy huku ukipangilia mikakati ya kutafuta pesa, wewe ukijifanya uko serious sana utaishia kujitundika kwenye kama walivyojitundika Arsenyau wenzio waliotanguliaView attachment 2939412
Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda

Kuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda
dahNa Hamis keshasema binafsi alikua anamtaka Barcelona!? Mwamba anakomfo sana. Lazima ukubali.Punguza makasiriko bwana mdogo, Nyumbu nae ni ntu kama ntu nyingine.
Hii ni burudani tu humu unatakiwa ufurahi, ucheke na kuenjoy huku ukipangilia mikakati ya kutafuta pesa, wewe ukijifanya uko serious sana utaishia kujitundika kwenye kamba kama walivyojitundika Arsenyau wenzio waliotanguliaView attachment 2939412
😀😅😅 mmefika mbaliKuna mtu anapoteza muda kumjibu nyumbu.
Zaidi ya salamu hamna kingine wanastahili kupata hawa punda
Kuwa na heshima basi ,Masingeli acha uhuni, muandiko wako sisi wote tunaujua humu.
Odegard ni ID yako mpya usilete ubishi, umeifungua juzijuzi tu hapo 16March2024.
Naona safari hii umeamua kuja na
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY ili kuvuta attention ya misukule ya humu.
Sasa ndugu yangu Masingeli kila msimu utakua unakuja na ID mpya?
Punguza uoga ndugu yangu, Arsenyau mnatakiwa mjiamini, tena mtembee vifua mbele huku ukikutana na shabiki yoyote wa soka utambe na kuongea kwa sauti useme "Sisi ndio Ma-Bottlers wenyewe" View attachment 2938937
Zinaweza kua za uongo kama za Gabriel Magalhaes kuumiaKuna taarifa zinaendelea Kutoka za kuumia kwa baadhi ya wachezaji wa Bayern, binafsi zimenisikitisha maana nilitaka tumenyane nao wakiwa full mziki ili kuonyeshana makali
View attachment 2940304
wewe timu yako tangu kombe la Barclays lianze ujawai tufunga hata goal 4 yani katika vigogo wa pale England nadhani nyie ndo vigogo wenye amna record ya kutufunga hata goal 4 kwenye mechi moja kama ipo leta hapa.Mara ya mwisho kutufunga kiungo alikuwa lokonga
Nyie tutapiga 3 half time
Haya manafas mnayoacha ,Arsenal atawapigeni nyingi,
Kwenye kushambulia Arsenal wanakuwaga watano kwenye 2-3-5
Liverpool waliwadharau wakajua hamuwezi kujipapatua
Arsenal ya Arteta ukicheza hivi na mtacheza hivi, mkipona sana half time goli 3 ,sikufichi View attachment 2938301
Sisi nyie uwaga hata muwaje tunawalamba tu nakumbuka tumewai wafunga hapo hapo kwenu enzi za wenger beki tukiweka paddy McNair na Tyler blacket kwaiyo sisi uwaga form yenu hata aitutishi lazima tuwa gonge tu.Manjesta fans wanaongea sana
Tutakutana tu
Ila mjue mnakutana na
Best team in the world katika transition
Best team in the world katika defence
Best team in the world katika kufunga magoli
Sasa chezeni hivi muone mziki wakeView attachment 2938315
Jana dakika kama 20 walikuwa Wana press , Liverpool wakifanya buildup inakuwa hivi ,ni vile Liverpool walifanya dharau wakawa wanajua mechi imeisha
Vs Arsenal ,7 hag atawadanganya Tena wa press hapo ndio kiama kitawakuta
Wakikaa nyuma maana yake wamesaliti mapambano wametuachia mpira tuwapige Sako la nyani
Wakivizia kaunta
Arsenal ni best team in the world kwa Rest defence
Wakipoteza mpira ,sekunde wamesharudi wote kwenye form ya 4-4-2
Hapo nyuma Kuna 4CBs , Hakuna natural Fullback hapo
White Saliba Magalhaês Kiwior
White Saliba Magalhaês Timber
White Saliba Magalhaês Tomiyasu
But Mikel vs man u anapenda kuwawekea
White Saliba Magalhaês Zinny,
Nyuma wanabaki mabeki watatu
White Saliba Magalhaês
Jorginho Zinny
Juu Ødegaard na Rice
Hawa umbwa wataita maji mmaView attachment 2938353



uwaga nacheka sana unavyokuja na izi tambo ile ni OT brother mwaka jana mlialia sana kuwa kipara kapuki bus mwaka uu sijui mtakuja na kisingizio gani mkisha gongwa.