🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Pre game Analysis
( Man City Vs Arsenal ) Ethard 31 march
✍🏾 Nisema tittle Contender Battle, Tacticals battle ni Miongoni mwa match zinazohitaji Small Margins Kushinda
✍🏾 Manchester City Chini Pep Guadiola wanachokicheza Arsenal basi City Wanakifanya pia kwa ufanisi mkubwa tu vitu kama
✍🏾 Numerical Superiority kwenye maeneo tofauti tofauti Uwanjani, High pressing, positional play, Transitions games hivi vitu Guadiola na City yake wanavifanya kwa ufanisi mkubwa tu
✍🏾 City ana Wachezaji ambao ni Quality kwenye kila phases ya Uwanja Kazi anafanya Odegaard pale wanae Bernando Silva, ni wachezaji ambao ni tactical intelligent
✍🏾 City wana Haaland Japo game 2 zilizopita dhidi yao tulifanikiwa mnyamazisha ila sio kwamba haaland hayupo hapana inahitaji umakini zaidi ukizingatia kama KDB atakuwepo uwa anawaongezea City Dimension fulani hivi kiushambuliaji na pass deliverance maeneo ya hatari
✍🏾 Guadiola mwenyewe anajua ni game sio nyepesi hivyo atakuja full mkoko yani akiwa prepared haswa
✍🏾 Arsenal sababu tunaenda kucheza na mtu anae cheza kama sisi kwa ufanisi mkubwa kabisa inatakiwa tufanye tactical tweak kiasi fulani
✍🏾 Tunatakiwa kuhakikisha tunaziba mianya yote ya City kupata nafasi kucheza mpira wao
✍🏾 Moja kufanya Overload asa Eneo la kiungo ili kupoteza ufanisi wao eneo ilo watu kama Rodri , Bernando silva kuwanyima kabisa free flowing maeneo hayo
✍🏾 Je tunawanyima Vipi itapendeza kama tutakaba kwanzia Mid block 4-4-2 ili kutufanya tuwe compact kadri tunarudi chini tunamforce City asogee juu kinachotakiwa ni nidhamu tu kubaki kwenye shape
✍🏾 Alafu tukipata turnover tufanye kucheza mipira mirefu kwenda Kai hizi ndio game kai kwanini zinahitaji Transtions za matukio zaidi kuliko kupiga pass nyingi pia Calmness ya goalkeeper ili tuweze baypass City press
✍🏾 Ushambuliaji Hapa lazima tuwe sharp na haraka kuzuia City kurecover Space alizo acha tunahitaji pace kwenye mashambulizi means Game hii inamuhitaji Martinell kumpin pia Walker asipande sana
✍🏾 Midfield overload lazima tutafute Namna kuwaout number kama sio kuinvert kwa FB basi tuendele kucheza 4-2-4 Maana city anaweza kuja 4-1-4-1 hapa kazi inakuwepo sababu tunakuwa idadi sawa kiungo inabidi White afanye kuinvert kiuongo uongo ili tuwe 3-3-4 au 3-3-2-3 maana yake kati kati tunakuwa watu 5 dhidi 4 wa City mpira ni mbinu
✍🏾 Mwisho tunahitaji kuwa bora kila nyanja uwanjani
Amigos