Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

MFAHAMU MIKEL ARTETA AMATRIAIN JE KATOKA WAPI ADI KUWA KOCHA

Arteta ni mhispania mzaliwa wa mji mmoja uliopo pwani San Sebastian Spain uko

✍ Arteta amekulia uko San Sebastian na kwa mujibu wa taarifa zake aliwahi kupata matatizo ya moyo akiwa na umri mdogo

✍ Tatizo lililotajwa kushindwa kusafirisha damu safi na ilihitajika kufanyiwa operation na kipindi icho uhispania wataalamu walikuwa wachache

✍ ila alipata matibabu kupona familia yake haikutaka kumzuia ndoto yake kuhusu soka alipenda sana soka tangu mdogo

✍ Akiwa kijana mdogo alipata fursa kupewa nafasi kwenye team ya vijana ya Antiguoko uko kijijini kwao team ambayo Arteta alikutana na rafiki yake mkubwa Xhabi Alonso

✍ Walipata nafasi kucheza hapo karibu miaka 6 kabla Arteta kupata nafasi ya kushiriki shule ya vijana ya Barcelona ikijulikana kama La Masia

✍ Japo hakupata fursa ya kuingia senior team( Team ya wakubwa) aliishia Barcelona B na kutolewa mkopo PSG uko

✍ Alipata mafanikio kiasi uko PSG japo mkopo ulipo isha alikweda uko Scotland Rangers alifanikiwa kupata vikombe kadhaa na aliendelea kuonesha passion na uelewa mkubwa kisoka

✍ Arteta baada ya Rangers alirudi Real Sociedad Spain uko kabla kuja kusajiliwa na Everton

✍ Nafikiri ulimwengu mkubwa zaidi wa wapenda soka ndio wakamjua Arteta akiwa na ndoto zaidi kucheza na rafiki yake utotoni Xhabi Alonso

✍ Alifanikiwa kuwa moja ya vipenzi vya washabiki wa Everton akifunga magoal muhimu akicheza zaidi kama (AM)

✍ Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyia unyanyasi na United ni mchezaji aliyeonesha kujituma

✍ Hakuacha asili yake kiongozi na pengine kuwaelewesha wenzie wakiwa uwanjani alipewa Ucaptain msaidizi na baadae captain mkuu kuondoka Vermaelen

✍ Arteta akiplay part kubwa kwenye mafanikio ya Arsenal FA cup 2

✍ 2016 alistaafu soka rasmi na hapo kukawepo interest nyingi juu yake moja ikiwa kwenda kwa Pochetno au kubaki Arsenal kama Academy coach na tatu msaidizi wa Pep

✍ kwa vile hakuwa na uzoefu wowote aliamua kwenda Man city kujifunza zaidi pia kwa kocha mzoefu mwenye mafanikio

✍ kakaa miaka 3 hapo City na mafanikio mengi kama msaidizi wa Pep Guadiola

✍ kipindi kile anasajiliwa Unai Emery inaelezwa kuwa ata Arteta ni miongoni mwa candidates 8 waliofanyiwa mahojiano

✍ ila nyota ni nyota na mda unaongea zaidi baada kufanya vibaya kwa Unai aliondoshwa team ikitafuta mbadala Ljungberg akiwa kocha muda tu

✍ Jicho la kwanza la Arsenal lilirudi kwa Arteta Head of football wakati huo Raul sanleh akiojiwa alisema "Arteta anajua tamaduni za Arsenal anajua tunahitaji nini"

✍ Ni mwezi December 2019 alianza kazi tangu ujio wake Arteta kaonesha mabadiliko makubwa kwanzia utambulisho wa team kiuchezaji

✍ na kufanikiwa kubadili viwango baadhi ya wachezaji kimsingi ni mtu sahihi kwa wakati sahihi ndani ya mahitaji ya Arsenal after 14 years Arteta anaturudisha Semi Final UCL msimu huo huo tukiwa tunapambani EPL pia Upward trajetory ya kocha

Amigos
FB_IMG_1711099197696.jpg
 
wewe jamaa unaachaga akili sometimes yani mechi iliisha 3 kwa 2 hafu unasema urojo gani hapa goal lenye iliitajika VAR ili mpewe goal lile saizi sioni mtapotokea mimi round nipo tayari wewe hamis77 tuweke mzigo mezani.
Sawa weka mzigo mezani ,nawaogopa luton kuliko manjesta
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

{Siri Nyuma mafanikio ya asilimia kubwa kwenye sajili Arsenal Siku karibuni}

✍🏾 Usajili ni kamari nafikiri kila mtu anatambua hili hivyo basi sio kila sajili itafikia matarajio yaliyopo hapana lakini sasa

✍🏾 Unaweza Kuhakikisha Asilimia Kubwa sajili zako zinalipa leo nitakupa Secret Code ambazo nafikiri zinawasaidia Arsenal kwenye sajili nyingi hivi karibuni

✍🏾 Kusajili Specific Profile ya Mchezaji:hii moja siraha kubwa sana sababu sio kila mchezaji mzuri ni profile sahihi kwenye system yako Sijili Profile sio Jina tu la mchezaji

✍🏾 Profile ya Mchezaji unaipata kwenye attributes zake kiuchezaji ana offer nini na wewe unahitaji nini mfano

✍🏾 Sajili ya Rice Arsenal walihitaji Physically, Availability, defensive awereness vyote hivi wanavipata kwa Rice ndio maana all the way wakaenda kwa Rice adi kwa dau walilotoa nafikiri sasa kila mmoja anaona kazi Rice anafanya profile sahihi kwenye mahitaji kocha

✍🏾 Arsenal wanaingia sokoni wakihakikisha wana Plan B kama First ikikosa na plan B bado inakuwa ndani Profile wanahitaji mfano

✍🏾 Arsenal walimuhitaji Mudryk akakosekana Wakaenda Trossard anachofanya nazi mnakiona Arsenal alimkosa january Caisedo akaenda Jorginho nazani Jorg unamuona

✍🏾 Kiufupi Arsenal kabla kufanya Usajili wana behind the Scene kubwa kujiandaa kujua wanahitaji nini na kwasababu gani wanaingia sokoni kutafuta Walichokubaliana sio kufukuzia target za watu na paniki Buy

AmigosView attachment 2940766
Hii ipo madrid
Anyway nowadays mko makini
Lkn kitu hamuwezi ni kuzuia mdomo lkn mnajitahidi sana kwa sasa
 
M
wewe jamaa unaachaga akili sometimes yani mechi iliisha 3 kwa 2 hafu unasema urojo gani hapa goal lenye iliitajika VAR ili mpewe goal lile saizi sioni mtapotokea mimi rtayari wewe hamis77

Tz tunacheza leo huko Baku, nilivoona hilo neno Baku nikawakumbuka AssAnal tuliwagonga hapo tukanyanyua kwapa 😂
Pambana msimu ujao ucheze hata conference league.. nafas ya 11 haikupelek popote .
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

MFAHAMU MIKEL ARTETA AMATRIAIN JE KATOKA WAPI ADI KUWA KOCHA

Arteta ni mhispania mzaliwa wa mji mmoja uliopo pwani San Sebastian Spain uko

Arteta amekulia uko San Sebastian na kwa mujibu wa taarifa zake aliwahi kupata matatizo ya moyo akiwa na umri mdogo

Tatizo lililotajwa kushindwa kusafirisha damu safi na ilihitajika kufanyiwa operation na kipindi icho uhispania wataalamu walikuwa wachache

ila alipata matibabu kupona familia yake haikutaka kumzuia ndoto yake kuhusu soka alipenda sana soka tangu mdogo

Akiwa kijana mdogo alipata fursa kupewa nafasi kwenye team ya vijana ya Antiguoko uko kijijini kwao team ambayo Arteta alikutana na rafiki yake mkubwa Xhabi Alonso

Walipata nafasi kucheza hapo karibu miaka 6 kabla Arteta kupata nafasi ya kushiriki shule ya vijana ya Barcelona ikijulikana kama La Masia

Japo hakupata fursa ya kuingia senior team( Team ya wakubwa) aliishia Barcelona B na kutolewa mkopo PSG uko

Alipata mafanikio kiasi uko PSG japo mkopo ulipo isha alikweda uko Scotland Rangers alifanikiwa kupata vikombe kadhaa na aliendelea kuonesha passion na uelewa mkubwa kisoka

Arteta baada ya Rangers alirudi Real Sociedad Spain uko kabla kuja kusajiliwa na Everton

Nafikiri ulimwengu mkubwa zaidi wa wapenda soka ndio wakamjua Arteta akiwa na ndoto zaidi kucheza na rafiki yake utotoni Xhabi Alonso

Alifanikiwa kuwa moja ya vipenzi vya washabiki wa Everton akifunga magoal muhimu akicheza zaidi kama (AM)

Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyia unyanyasi na United ni mchezaji aliyeonesha kujituma

Hakuacha asili yake kiongozi na pengine kuwaelewesha wenzie wakiwa uwanjani alipewa Ucaptain msaidizi na baadae captain mkuu kuondoka Vermaelen

Arteta akiplay part kubwa kwenye mafanikio ya Arsenal FA cup 2

2016 alistaafu soka rasmi na hapo kukawepo interest nyingi juu yake moja ikiwa kwenda kwa Pochetno au kubaki Arsenal kama Academy coach na tatu msaidizi wa Pep

kwa vile hakuwa na uzoefu wowote aliamua kwenda Man city kujifunza zaidi pia kwa kocha mzoefu mwenye mafanikio

kakaa miaka 3 hapo City na mafanikio mengi kama msaidizi wa Pep Guadiola

kipindi kile anasajiliwa Unai Emery inaelezwa kuwa ata Arteta ni miongoni mwa candidates 8 waliofanyiwa mahojiano

ila nyota ni nyota na mda unaongea zaidi baada kufanya vibaya kwa Unai aliondoshwa team ikitafuta mbadala Ljungberg akiwa kocha muda tu

Jicho la kwanza la Arsenal lilirudi kwa Arteta Head of football wakati huo Raul sanleh akiojiwa alisema "Arteta anajua tamaduni za Arsenal anajua tunahitaji nini"

Ni mwezi December 2019 alianza kazi tangu ujio wake Arteta kaonesha mabadiliko makubwa kwanzia utambulisho wa team kiuchezaji

na kufanikiwa kubadili viwango baadhi ya wachezaji kimsingi ni mtu sahihi kwa wakati sahihi ndani ya mahitaji ya Arsenal after 14 years Arteta anaturudisha Semi Final UCL msimu huo huo tukiwa tunapambani EPL pia Upward trajetory ya kocha

AmigosView attachment 2941649
" Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyia unyanyasaji na United ni mchezaji aliyeonesha kujituma"

Mkuu kwenye unyanyasaji hapo ulitakiwa kumalizia wa kijinsia, yaani sentensi kamili isomeke hivi:

Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia na timu dume Manchester United ni mchezaji aliyeonesha kujituma.
 
" Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyia unyanyasaji na United ni mchezaji aliyeonesha kujituma"

Mkuu kwenye unyanyasaji hapo ulitakiwa kumalizia wa kijinsia, yaani sentensi kamili isomeke hivi:

Arteta alijiunga na Arsenal ikiwa dead line kipindi team imetoka kufanyiwa unyanyasaji wa kijinsia na timu dume Manchester United ni mchezaji aliyeonesha kujituma.
Screenshot_20240321-133951.png
 
Mourinho came to Chelsea in 2004 and won the league 2005 and 2006.

Wenger in 2005 - building the team

Ferguson won the league 2007, 2008, 2009

Wenger in 2007, 2008, 2009... still building the team

Ancelloti came to Chelsea in 2009 and won the league in 2010.

Wenger in 2010... still building the team

Roberto Mancini came to Man city in 2010and won the league in 2012.

Wenger in 2012... still building the team

Pellegrini came to Man city in 2013 and won the league in 2014.

Wenger in 2014... still building the team

Mourinho came back to Chelsea in 2013 and won the league in 2015.

Wenger in 2015... still building the team

Claudio Ranieri came to Leicester city in 2015 and won the league in 2016

Wenger in 2016... still building the team

Antonio Conte came to Chelsea in 2016 and already taking the EPL by storm until 2017.

Wenger in 2017... still building the team

Pep and Klop joined their clubs recently and now they've won premier leagues and now It's Arteta still building the team

Arsenal are you building the Ark of Noah.?.

Wenger orphans ni kituo cha kutupa rahaa
1703666666204.jpg
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

🖊 kila kitu na utaratibu wake niliwahi kusema ukihitaji kupanda gorofa ukiachana yenye rift unahitaji kupanda ngazi na ngazi ni steps zikiwa kwenye limited in dimension both vertical and horizontal steps je namaanisha nini je unahitaji kujua👇🏻

🖊 Usajili ni kufanya reinforcement ya kikosi kuwa bora zaidi kwanzia mahitaji yake kiuchezaji adi depth ya kikosi kimchezo

🖊 Hivyo usajili unahitaji Smartness kimaamuzi kwa asilimia kubwa kuliko kitu chochote kile najua unaweza usinielewe

🖊 Smartness maana ake kufanya maamuzi sahihi kwa mahitaji yako na sio kufanya maamuzi kwa vile unacho

🖊Pesa ni sehemu muhimu ya usajili je pesa unaitumia vipi ukiwa na pesa haina maana utumie tu bila vision na strategies

🖊 Hivyo basi sio kila usajili basi utumie pesa nyingi no ata (UEFA) wakaona waje na sheria hizi (FFP) tumia within your Boundary kimapato

🖊 Sasa ata target lazima ziwe limited kulingana na uwezo wako pia na hapa ndipo kuna umuhimu wa scouting kuleta kilicho bora sio bora kwa vile nina pesa utayumba

🖊 Mimi natumai ata usajili wetu wa Summer ni strategies je tunahitaji nini kwa wakati upi na je tukifanya hvyo hatuto asiri financial condition kulingana na miongozo iliyopo

🖊 yote kwa yote usajili ni kamari ni pata potea tu lakini mara zote smartness inalipa kuliko kutumia tu pesa kwa vile ipo

Note: Ambition kwenye usajili kwenye level tuliyopo ni muhimu board kutambua ilo

Amigos
FB_IMG_1711134266852.jpg
 
🅱️URASA ZA GWIJI ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Niliwahi kuzungumza kuhusu Arsenal kuwa moja team bora sana msimu huu kwenye Out of Possession Press ( OPP)

✍🏾 Je Arsenal Press Ni vitu gani vya Msingi Wanazingatia kuhakikisha inakuwa effective nitazungumza ufupi sana

✍🏾 Arsenal uwa wanafanya Man to Man press asa eneo la kiungo alafu Winger wanakuwa wana press Mabeki wa pembeni wa team pinzani Arsenal structure mara nyingi inakuwa 4-4-2 au 4-2-3-1

✍🏾 Winger kuwa press Mabeki wa Kati wa Team pinzani na kuzia passing angle ( block passing angle )

✍🏾 Mabeki wa kati na Mabeki wa Pembeni kusogea juu kuwamark wapinzani wao wanaotakiwa kuwa Mark (vpush high to mark their man)

✍🏾 Kuwalazimisha wapinzani kucheza upande mmoja to na wao na kuzia channells za mpira kutokea pembani

✍🏾 Hayo ni baadhi mambo yanafanya tuwe hatari sana tukiwa hatuna mpira bila kusahauv ( Intensity) kubwa mfano Odegaard Arsenal akilazimika Kabia deep uwa anabadiki Structure

Tuwaombe share post kwa gunners

Amigos
FB_IMG_1711134441007.jpg
 
Mourinho came to Chelsea in 2004 and won the league 2005 and 2006.

Wenger in 2005 - building the team

Ferguson won the league 2007, 2008, 2009

Wenger in 2007, 2008, 2009... still building the team

Ancelloti came to Chelsea in 2009 and won the league in 2010.

Wenger in 2010... still building the team

Roberto Mancini came to Man city in 2010and won the league in 2012.

Wenger in 2012... still building the team

Pellegrini came to Man city in 2013 and won the league in 2014.

Wenger in 2014... still building the team

Mourinho came back to Chelsea in 2013 and won the league in 2015.

Wenger in 2015... still building the team

Claudio Ranieri came to Leicester city in 2015 and won the league in 2016

Wenger in 2016... still building the team

Antonio Conte came to Chelsea in 2016 and already taking the EPL by storm until 2017.

Wenger in 2017... still building the team

Pep and Klop joined their clubs recently and now they've won premier leagues and now It's Arteta still building the team

Arsenal are you building the Ark of Noah.?.

Wenger orphans ni kituo cha kutupa rahaaView attachment 2942018
Kwhyo kwa maneno yako ni kwmba Wenger alianza kazi 2004 sio...hakuwahi kubeba ndoo ya EPL...hii ndo tafsiri yako🤠🤠...ukiwa nyumbu kwli na akili unaziweka kiunoni...yaani unaendaenda tu...mara ya mwsho Manunu kuchukua ndoo ya EPL ni lini kwani....tangu Fergie aondoke....angalieni sana ndugu zetu mtapiga miaka 20 kama sisi....maana sasahv hatuoni wachezaji wa kaliba ya Rooney na kina Vidic...sasahv tuna Erikssen mtu kazi na Lindelof pale nyuma...huku kocha akiwa tactician Kipara Baba Ubaya ten hag🤠🤠...angalieni sana
 
Mourinho came to Chelsea in 2004 and won the league 2005 and 2006.

Wenger in 2005 - building the team

Ferguson won the league 2007, 2008, 2009

Wenger in 2007, 2008, 2009... still building the team

Ancelloti came to Chelsea in 2009 and won the league in 2010.

Wenger in 2010... still building the team

Roberto Mancini came to Man city in 2010and won the league in 2012.

Wenger in 2012... still building the team

Pellegrini came to Man city in 2013 and won the league in 2014.

Wenger in 2014... still building the team

Mourinho came back to Chelsea in 2013 and won the league in 2015.

Wenger in 2015... still building the team

Claudio Ranieri came to Leicester city in 2015 and won the league in 2016

Wenger in 2016... still building the team

Antonio Conte came to Chelsea in 2016 and already taking the EPL by storm until 2017.

Wenger in 2017... still building the team

Pep and Klop joined their clubs recently and now they've won premier leagues and now It's Arteta still building the team

Arsenal are you building the Ark of Noah.?.

Wenger orphans ni kituo cha kutupa rahaaView attachment 2942018
Unatuandama sana humu mkuu. Hebu tukutane tu uwanjani chaap tuwanyooshe vilivyo.
 
perfect Arsenal midfield with 3 players..

gilberto

rice

cazorla
 

Attachments

  • 1711177758746.jpg
    1711177758746.jpg
    436.8 KB · Views: 11
Unatuandama sana humu mkuu. Hebu tukutane tu uwanjani chaap tuwanyooshe vilivyo.
Shida sio kutunyoosha, kama kutunyoosha mshatunyoosha sana kwa kipigo mpaka cha 8-2
Sisi tunauliza hio timu yenu itajengwa kwa karne ngapi?
Kila msimu wenzenu wananyanyua makombe halafu nyie bado mnajenga tu timu, kuna watu humu kama kina mkorea tokea wamezaliwa mpaka sasa hivi nao wanaitwa baba hawajawahi kushuhudia timu yao inabeba makombe makubwa, maskini ya Mungu wanaishia kuona Liverpool, Chelsea, Man Utd, Man City, Crystal palace wanabeba Epl wao udenda unawatoka.
Wanawaona Chelsea, Liverpool, Man Utd, Mancity, Westham wanabeba makombe makubwa ya Ulaya halafu wao wanaishia kubeba Emirates Cup na Misinia ya ugali.

Badilikeni ndugu zangu tafuteni kocha wa kueleweka, na sisi tunapenda kuwaona mkiwa na furaha, sio kila mwisho wa msimu mnaishia kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu, ila kwa mtindo wenu huu wa kung'ang'ania mid table coach anae wadanganya kwa phase zisizoisha nina uhakika mkorea anaweza kujukuu bila kushuhudia timu yake pendwa inabeba kombe lolote la maana zaidi ya kujisifia tu GD, Pressing na Overloading, positional interchange pamoja na aerial duel
 
Shida sio kutunyoosha, kama kutunyoosha mshatunyoosha sana kwa kipigo mpaka cha 8-2
Sisi tunauliza hio timu yenu itajengwa kwa karne ngapi?
Kila msimu wenzenu wananyanyua makombe halafu nyie bado mnajenga tu timu, kuna watu humu kama kina mkorea tokea wamezaliwa mpaka sasa hivi nao wanaitwa baba hawajawahi kushuhudia timu yao inabeba makombe makubwa, maskini ya Mungu wanaishia kuona Liverpool, Chelsea, Man Utd, Man City, Crystal palace wanabeba Epl wao udenda unawatoka.
Wanawaona Chelsea, Liverpool, Man Utd, Mancity, Westham wanabeba makombe makubwa ya Ulaya halafu wao wanaishia kubeba Emirates Cup na Misinia ya ugali.

Badilikeni ndugu zangu tafuteni kocha wa kueleweka, na sisi tunapenda kuwaona mkiwa na furaha, sio kila mwisho wa msimu mnaishia kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu, ila kwa mtindo wenu huu wa kung'ang'ania mid table coach anae wadanganya kwa phase zisizoisha nina uhakika mkorea anaweza kujukuu bila kushuhudia timu yake pendwa inabeba kombe lolote la maana zaidi ya kujisifia tu GD, Pressing na Overloading, positional interchange pamoja na aerial duel
Tuseme Mara ngapi, hii ndio phase ya makombe


Epl tunaongoza ligi,
game ngumu iliyobaki Ni moja tu vs wolves ambayo tutakua away

Uefa tunafikiria Kati ya city na Madrid hapa tutakutana na Nani?
 
Back
Top Bottom