Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha ana mdomo sana ,inatakiwa siku hiyo ni kuwapiga Pini ,piga msako sana ,


Erik Ten Hag after beating Liverpool YESTERDAY:

“At Arsenal, the fourth game of the season - we should have had a penalty in the 87th minute, we scored with Garnacho, disallowed. Then we concede a goal that should always have been disallowed.” 🥱 #afc

Bora Chelsea Huwa Wana turn up na wanaweza kukupa game ngumu, sio Hawa manjesta, Jana Liverpool walipoongoza 2-1 , wakawa wanacheza tu muda uishe ,walikuwa wanaweza kuwapiga hata goli zaidi ,


Huo ujinga Arsenal hatuna ,ukiingia kwenye mfumo tunakulamba za kutosha


Cheki wanavyoaacha manafasi halafu sio mara moja ,


Unahitaji pasi 1 had 3 kufika golini kwao


Kabla msimu haujaisha ,manjesta atapigwa 5-0 had 6-0


Bado Kuna timu zinafanya utani sana


View attachment 2938308
daah
 
Huyu kocha ana mdomo sana ,inatakiwa siku hiyo ni kuwapiga Pini ,piga msako sana ,


Erik Ten Hag after beating Liverpool YESTERDAY:

“At Arsenal, the fourth game of the season - we should have had a penalty in the 87th minute, we scored with Garnacho, disallowed. Then we concede a goal that should always have been disallowed.” 🥱 #afc

Bora Chelsea Huwa Wana turn up na wanaweza kukupa game ngumu, sio Hawa manjesta, Jana Liverpool walipoongoza 2-1 , wakawa wanacheza tu muda uishe ,walikuwa wanaweza kuwapiga hata goli zaidi ,


Huo ujinga Arsenal hatuna ,ukiingia kwenye mfumo tunakulamba za kutosha


Cheki wanavyoaacha manafasi halafu sio mara moja ,


Unahitaji pasi 1 had 3 kufika golini kwao


Kabla msimu haujaisha ,manjesta atapigwa 5-0 had 6-0


Bado Kuna timu zinafanya utani sana


View attachment 2938308
Izi gape pasi moja ya partey au Jorginho kwisha kabisa
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

"Who is Behind Mikel Arteta Revolution"

Tukiwa tunazungumza Mafanikio Arteta basi tusisahau kuna watu pia nyuma yake wanafanya kazi kubwa kwanzia mazoezini uko hawa si wengine ni Backstaff wake

Wapo wengi ila nitataja ambao wapo karibu zaidi nae Na majukumu yao

CARLOS CUETA: Huyu ni bwana mdogo sana miaka 28 tu ila coaching ability yake ni kubwa Arsenal walimtoa uko Juventus akiwa anafundisha U17 kabla hapo alikuwa Atletico madrid U17. Majukumu ya Cueta ni Kudeal na individual performances za wachezaji kuwatrain wachezaji kuelewa Tactical terms huyu ni Cueta

MIGUEL MORINA: huyu Arsenal ilimtoa uko Atletico Madrid ni mtaalamu wa mambo ya sayansi ya Michezo ( Sport science) majukumu yake ni analyst pia anafanya kazi kuwafanya wachezaji kuwa na high performances

ALBERT STUIVENBURG: Huyu ni kocha msaidizi Arteta na Mara nyingi anakuwa nae pale pembeni kwenye bench la ufundi, Uyu Arsenal ilimtoa uko Wales akiwa kocha msaidizi japo aliwahi kuwa kocha msaidizi Man united chini ya Van gaal baadae akaenda Genk beligium Na baadae Wales Kazi yake Mr Airpord uwa ni kuwasiliana na Backstaff wengine walio nje ya Bench kumpa views zao ili amfikishie Arteta ndio maana muda wote ana Airpord

INAKI CANA: Huyu Ni goalkeeping Coach Arsenal ilimtoa Brentford 2019 japo hapo kabla kapita vilabu kadhaa kwa kazi iyo iyo goal keeoing coach Kazi yake kuhakikisha makipa wetu wanakuwa trained kwenye ubora unaotakiwa kulingana na mahitaji mchezo Kawahi kufanya kazi na Raya Brentford ni moja watu waliopush sana Raya kusajiliwa

NICO JOVER: Huyu Arsenal walimtoa Man City Japo kawahi kufanya kazi Brentford pia Croatia national team huyu bwana kazi yake ni Kocha wa Mipira ya kutenga ( Set pieces) mfano kona, free kick, Penalt nk. Arsenal kwa sasa ndio team ina magoal mengi ya Kona ikipatikana Set pieces basi 75% kuwa goal kazi uyu kuwatrain wachezaji Sio kushambulia tu ata kukaba mipira kutenga
Amigos
Carlos cuesta ni kama kawa Assistant coach baada ya kuondoka Steve Round, maana Arteta alikuwa na wasaidizi wawili, so Cuesta siku hizi naona kasogezwa karibu zaidi, na huyu dogo atafika mbali akikaza nyonga cuz anapata details nyingi from the best wakati akiwa na umri mdogo.
 
Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,

Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,

Sijawahi ona kocha wa hivi

Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Tutampiga vibaya sana round hii, acha apanie, aangalie sana hii Arsenal sio ya kupania kama huna quality. Mpira wa kukamiana ushapitwa na wakati. Tunauwezo wa ku control transition maybe we're the best in the world in this regard, wenzie wanatokagap hata shot on target hawana, hana mbinu Zaidi ya kuplay on the break, atatufanya nini mbwa huyu!
 
Huyu jamaa Bado Arsenal inamsumbua akili kama mashabiki wake ,

Mechi ya Liverpool lakini anaizungumzia Arsenal,

Sijawahi ona kocha wa hivi

Kila mechi akishinda anadai atafunga yeyote , atadai alitakiwa aifunge Arsenal View attachment 2937943
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
 
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
*apambane
 
Hizo bests of arsenal mara in attacking, scoring, defending hatukuziona....nusra tu za penalty
Porto waliweza kutuzuia tusitengeneze chances, lakini hata wao wametengeneza chances ngapi za magoli na wamefunga ngapi??

Kwanza approach ya UEFA hasa hatua za mtuano Huwa ni tofauti na kwenye ligi.

Man U mnaweza kucheza kama Porto?
Porto walikuwa hawaachi magape kwenye muundo wao, tofauti na nyinyi

Zile chances walizokosa liver, fikiria Arsenal anashambulia na wachezaji wa5
 
Unabishana na mtu ambaye timu ilishajichokea🤠🤠...halafu kukubali ukweli hataki anakaza kabisa mishipa ya shingo...Spurs na Villa watakuwa wajinga sana wakiacha hii timu ikashika nafasi ya nne
Porto waliweza kutuzuia tusitengeneze chances, lakini hata wao wametengeneza chances ngapi za magoli na wamefunga ngapi??

Kwanza approach ya UEFA hasa hatua za mtuano Huwa ni tofauti na kwenye ligi.

Man U mnaweza kucheza kama Porto?
Porto walikuwa hawaachi magape kwenye muundo wao, tofauti na nyinyi

Zile chances walizokosa liver, fikiria Arsenal anashambulia na wachezaji wa5
 
Yaani kuongoza ligi kwa tofauti ya point moja na una contenders 2 nyuma yako mnajiona mnajua kuliko wenzenu, je mngekuwa na uhakika wa kucheza fainali ya FA kama manyumbu si ndio tusingekaa jukwaani kwenu sasa?
Punguzeni matumaini msijekujiua mwisho wa ligi hopers.
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal defender Gabriel withdraws from Brazil squad due to injury, Brazilian Federation announces on formal statement

Juventus defender Bremer, called to replace Gabriel.
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal defender Gabriel withdraws from Brazil squad due to injury, Brazilian Federation announces on formal statement

Juventus defender Bremer, called to replace Gabriel.
Ni kama Nunez na De Bruyne walivyojitoa..haya majeruhi yanaonekana ni ya mchongo...maana ukisomasoma unaona sababu kubwa ni precautionary....mwaka huu Kila kocha analinda bunduki zake kuelekea mwsho wa msimu maana hzi mechi za kirafiki hazina impact kubwa...mpk Sasa Tomiyasu, Benny White, Malgalhaes, Partey wte wanabaki Sobha Training Centre kuendelea na mazoezi
 
Sisi tunachojua mpk Sasa Manunu hawachukui kombe lolote na top 4 hawaingii
Yaani kuongoza ligi kwa tofauti ya point moja na una contenders 2 nyuma yako mnajiona mnajua kuliko wenzenu, je mngekuwa na uhakika wa kucheza fainali ya FA kama manyumbu si ndio tusingekaa jukwaani kwenu sasa?
Punguzeni matumaini msijekujiua mwisho wa ligi hopers.
 
Inaoneka kwenye mkataba wake aliambiwa ukiifunga Arsenal unaongezewa mkataba, jamaa badala apambine timu halina style, no identity, tactically flawed wanacheza tu ku survive afu anatuwaza km mashabiki yao kina flano.
Msimu uliopita alikuw na mafanikio kuliko nyie nyani....style of playing, overlap hayo sio mafanikio wew tahira.
Yale yale ya CEO wa simba kweny mafanikio ya klabu anaweka hadi kufungua WhatsApp channel.

Msimu uliopita sisi tulikuwa successfully kuliko nyie kenge
Muulize huyo 😅@hamis77 wenu anajua hili ndio maana ana chuki na baldman na mtoto wake anthony
 
Jana dakika kama 20 walikuwa Wana press , Liverpool wakifanya buildup inakuwa hivi ,ni vile Liverpool walifanya dharau wakawa wanajua mechi imeisha


Vs Arsenal ,7 hag atawadanganya Tena wa press hapo ndio kiama kitawakuta


Wakikaa nyuma maana yake wamesaliti mapambano wametuachia mpira tuwapige Sako la nyani

Wakivizia kaunta

Arsenal ni best team in the world kwa Rest defence

Wakipoteza mpira ,sekunde wamesharudi wote kwenye form ya 4-4-2

Hapo nyuma Kuna 4CBs , Hakuna natural Fullback hapo


White Saliba Magalhaês Kiwior

White Saliba Magalhaês Timber

White Saliba Magalhaês Tomiyasu


But Mikel vs man u anapenda kuwawekea

White Saliba Magalhaês Zinny,


Nyuma wanabaki mabeki watatu


White Saliba Magalhaês



Jorginho Zinny


Juu Ødegaard na Rice

Hawa umbwa wataita maji mmaView attachment 2938353
Nyumbu
Kenge

Hizi kima tutakuja kupiga Hadi tuue
 
Nina ID moja tu humu aisee

Manjesta acheni kelele narudia tena
Masingeli acha uhuni, muandiko wako sisi wote tunaujua humu.
Odegard ni ID yako mpya usilete ubishi, umeifungua juzijuzi tu hapo 16March2024.
Naona safari hii umeamua kuja na
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY ili kuvuta attention ya misukule ya humu.
Sasa ndugu yangu Masingeli kila msimu utakua unakuja na ID mpya?
Punguza uoga ndugu yangu, Arsenyau mnatakiwa mjiamini, tena mtembee vifua mbele huku ukikutana na shabiki yoyote wa soka utambe na kuongea kwa sauti useme "Sisi ndio Ma-Bottlers wenyewe"
1710841869019.jpg
 
Masingeli acha uhuni, muandiko wako sisi wote tunaujua humu.
Odegard ni ID yako mpya usilete ubishi, umeifungua juzijuzi tu hapo 19March2024.
Naona safari hii umeamua kuja na
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY ili kuvuta attention ya misukule ya humu.
Sasa ndugu yangu Masingeli kila msimu utakua unakuja na ID mpya?
Punguza uoga ndugu yangu, Arsenyau mnatakiwa mjiamini, tena mtembee vifua mbele huku ukikutana na shabiki yoyote wa soka utambe na kuongea kwa sauti useme "Sisi ndio Ma-Bottlers wenyewe" View attachment 2938937
Naona mkuu unamtembezea spana haswaa.

Huyu hamis77 ndio Aroon Arsenal pia.
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

"Rise through the Ranks for Mika Biereth"

✍🏾 Nafikiri Wengi wanamfahamu huyu ila ambao hawamu fahamu Mika Biereth kazaliwa England ila wazazi wenye Asili Ya Denmark na Bosnia

✍🏾 Mpaka sasa Mika anacheza team za vijana Uko Denmark

✍🏾 Kakulia kwenye Academy Rank za Fulham Msimu wa Mwisho akiwa Fulham alifunga goal 19 assits 13 ngazi Academy

✍🏾 Baada hapo Arsenal walimsajili Mika Biereth ni Striker aina yake uchezaji wengi wanamfananisha na Denmark mwenzie aliye Man united Hojland.

✍🏾 Mika Biereth sio striker kusubir tu mpira ana uwezo mkubwa kufanya link up na wachezaji wenzake

✍🏾 kule Conference League wana murate pakubwa msimu huu kati wachezaji wenye umri chini U21 Anaongoza kwenye kutengeneza nafasi yeye na Wirtz unaweza kuona kitu

✍🏾 Arsenal walimtoa mkopo Uholanzi , baadae Wakamtoa Mkopo Motherwell uko Scotland akafanya vizuri Janury Arsenal wakaona wampeleke kwenye ushindani zaidi Akapelekwa Sturm Graz uko Austrian Bundesliga anaendelea kufunga magoal

✍🏾 msimu huu team yake Stum Graz ilifanikiwa kufuzu hatua mtoano uko Conference league na Uyu bwana mdogo kaisha funga uko pia

✍🏾 Ili Swali linabaki kwa Arsenal na Uongozi wake wana manage vipi development yake msimu ujao

Amigos
FB_IMG_1710860061570.jpg
 
Back
Top Bottom