Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292


Mashabiki wa Arsenyau ombeni sana Coventry atutoe nusu fainali au kama tukifika fainali basi tusibebe kombe, lakini kama tukibahatika kubeba kombe la FA halafu msimu ukiisha Arsenyege mkatoka mikono mitupu bila ya kombe lolote sijui mtaudanganya nini ulimwengu kua msimu huu Arteta na Arsenyau yake wamepata achievement kubwa kuliko Ten Hag kwa kufika robo fainali Uefa pamoja na kuingia top4 kwenye EPL.Masingeli nina uhakika leo umeenjoy sana kumuona ndugu yako Masebene akitupia kamba dhidi ya Liverpuuuhhh huku akipiga yale mambo yake adimu ya Spin360.
# Arsenal iliumbwa kwa udogo na imerudi mavumbini jina la Bwana lihimidiwe
R.I.P Arsenyo






