


Masingeli ana roho nyepesi sana kama bua timu yake ikifungwa, Msimu ulioisha baada ya kugongwa dakika za mwisho na kutema bungo, alikuja kutuaga humu jukwaani kwa kisingizio cha kuibiwa simu hivyo hatakua na access tena ya kuingia JF, wahuni wakamuhoji hio access ya kuingia Jf na kuaga ameipata wapi wakati simu yake imeibiwa?
Akatudanganya kua eti ameazima simu ya mama ake mdogo



Kuna msela alijitolea kumnunulia Iphone ili tu Masingeli asikimbie Jukwaa lakini Masingeli alichomoa akimtuhumu huyo mtu hana nia njema na yeye


HENRY14 wewe miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenyau wenye roho ya paka ambao hata timu ikufungwa bado utaoneka kwenye majukwaa yote humu ya Sports ukijibu ukijibu hoja tena kwa kujiamini kabisa, ila Masingeli na chawa wake ndio maana hua tunawaona kama mamluki humu, wanaonekana timu ikiwa inafanya vizuri tu wakiwachamba wazalendo wa hii timu kina
computerarsenal ,
Will Jr ,
dadamlamayao ,
verifaidi yuza na wengineo ila timu ikiboronga hua hawaonekani humu.
Poor Masingeli na chawa wake


View attachment 2938075