Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bayern kacheza na timu inashika mkia kashinda 5 karuhusu kufungwa goli 2.

Na timu inayoshika mkia.

Arsenal kacheza na timu inashika mkia kaifunga 6 bila kuruhusu goli.

Angalia vichwa vya kuku vinakuja kuandika nini.
 
Our out of possession football is next to none, maybe the best in Europe, hii inatupa chance kubwa kuendelea mbele kwenye UEFA. Silaha yetu kubwa msimu huu ni uwezo wa kuzuia wapinzani wasifunge magoli, Out of possession (Arteta > el chollo). kipindi Arteta anachukua FA cup alipaki bus flani la kibabe dhidi ya Man city baada ya kuwalaza 2-0, basi Bayern wajiandae kuliona hilo basi 2nd leg baada ya kuwaua Emirates. Arteta namkubali cuz yupo flexible, anaweza kuwa Wenger na anaweza kuwa Moyes kwa wakati mmoja. Bayern ni timu yenye wachezaji wazuri na kocha mzuri, hivyo tujiandae kuiona vita. Football has it's warlike parallels. This is war.
 
Nimeona kama Tottenham kapunguzwa kasi na Fulham. Nafikiri kuna uwezekano baada ta mechi chache wale top 3 wakamuacha #4 kwa points nyingi kiasi kwamba hataweza kumfikia wa 3.

Ni kama top 3 wataendelea kuwa na ligi yao wenyewe, huku #4 - #12 wakiwa wanapambania nafasi ya 4-6.
 
Mashabiki wa Arsenal mna tabia za kichawi, ila sisi friends of Bayer Munich tutakula sahani moja nanyi.

20240317_000236.jpg
 
Our out of possession football is next to none, maybe the best in Europe, hii inatupa chance kubwa kuendelea mbele kwenye UEFA. Silaha yetu kubwa msimu huu ni uwezo wa kuzuia wapinzani wasifunge magoli, Out of possession (Arteta > el chollo). kipindi Arteta anachukua FA cup alipaki bus flani la kibabe dhidi ya Man city baada ya kuwalaza 2-0, basi Bayern wajiandae kuliona hilo basi 2nd leg baada ya kuwaua Emirates. Arteta namkubali cuz yupo flexible, anaweza kuwa Wenger na anaweza kuwa Moyes kwa wakati mmoja. Bayern ni timu yenye wachezaji wazuri na kocha mzuri, hivyo tujiandae kuiona vita. Football has it's warlike parallels. This is war.
Ambangile Huwa anasema Arteta hafundishi mpira wa Pep ,sababu amemix humo ndani

Haram football -moyes
Sex football -wenger
Positional play football -Pep


Mfano vs Porto ,walikuja na mpira mchafu mpira wakihuni tunakaenda nao ,

Wenger alikuwa na matechnician wengi wasiotaka kushinda duels , Arteta ana matechnician ila ukitaka mpira wa kushindania 50/50 wanaweza pia


Ukitaka mpira wa chini wanaweza


Ukitaka Haram football wanaweza pia
 
Bayern kacheza na timu inashika mkia kashinda 5 karuhusu kufungwa goli 2.

Na timu inayoshika mkia.

Arsenal kacheza na timu inashika mkia kaifunga 6 bila kuruhusu goli.

Angalia vichwa vya kuku vinakuja kuandika nini.
Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na Dier

Kiungo chao ni Gorteza na Palvovic ambaye nimeona kaumia bwana mdogo ana miaka 19

Kimmich wamemrudisha RB,

Mchezaji hatari zaidi ni Jamal Musiala
 
Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na Dier

Kiungo chao ni Gorteza na Palvovic ambaye nimeona kaumia bwana mdogo ana miaka 19

Kimmich wamemrudisha RB,

Mchezaji hatari zaidi ni Jamal Musiala
Musiala is good no doubt. Kuanzia misimu mitatu nyuma Bayern wamekua wanaruhusu magoli.

De Ligt enzi za Ajax mpaka Juve inamchukua ndiye alitarajiwa awe Magalhaes tuliyenaye Arsenal. Kimmich alikua ndiye engine yao huku Goretzka akisaidia attacks.

Ghafla Kimmich kaonekana hafai. Musiala anaweza akaondoka dirisha hili.
 
Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na Dier

Kiungo chao ni Gorteza na Palvovic ambaye nimeona kaumia bwana mdogo ana miaka 19

Kimmich wamemrudisha RB,

Mchezaji hatari zaidi ni Jamal Musiala
Arsenyo anapigwa tena kumi kwa mbili.
Arsenyo aliumbwa kwa udongo na anarudi mavumbini jina la bwana lihimidiwe.



#R.I.P Arsenyo
1710649350110.jpg
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

"Maoni kidogo kuhusu game bayern"

✍🏾 Hii sio game nyepesi ila ni game inayohitaji Tactical Plan Kubwa tu sababu za Msingi

✍🏾 Wengi tunamfahamu Alonso Na Team yake Match Mwisho anacheza na Bayern aliamua kuacha Kwa muda Free flowing Football na Kucheza Transition base football

✍🏾 Kwanini kwasababu Bayern wanashambulia pia idadi kubwa ya Wachezaji na wana press High aggresive hivyo kuharibu mtu anae taka kufanya Build up toka nyuma

✍🏾 Ila Bayern sio Wazuri sana Defensively wanaacha gapes nyingi sana hapa ndipo Arsenal anatakiwa atumie

✍🏾 Game Bayern Arsenal anatakiwa kwenda na Mbinu kama Alonso asitake kumiliki sana mpira ila kumiliki matukio ambayo yanaweza sababisha magoal

✍🏾 Knockout hawaangalii umecheza vipi ila umefanya nini kuhakikisha unashinda mchezo

✍🏾 Game ya Man City March 31 itakuwa huge test na tunaweza jaribu kutafuta utimamu wa transition base kwanzia game hii

✍🏾 kuna game huwezi kuwa dorminant 90minutes unahitaji kuwa makini defensively

✍🏾 Sina shaka sana na Arsenal defensively msimu huu wapo very Compact sio Epl na UcL pia nategemea game nzuri

Amigos
 
Defense ya Bayern ni hii:

Upamecano, Kim, Boey

Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.

I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.

Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
 
Defense ya Bayern ni hii:

Upamecano, Kim, Boey

Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.

I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.

Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Yule Boey nimemtazama sana...akianza yule atasumbuliwa sana na Saka...maana defensively sio mzuri na anapenda ku attack sana...Sasa wakija Emirates na akawa anapanda na kushuka basi atakuwa na usiku mrefu sana...Upamecano itokee siku hiyo awe na usiku mzuri ila naye ana mistake ndogondogo...hyo Kim ni kitasa
 
Defense ya Bayern ni hii:

Upamecano, Kim, Boey

Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.

I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.

Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Toka nianze kumuone Never hadi leo hua naliogopa sana ilo likipa.
 
Yule Boey nimemtazama sana...akianza yule atasumbuliwa sana na Saka...maana defensively sio mzuri na anapenda ku attack sana...Sasa wakija Emirates na akawa anapanda na kushuka basi atakuwa na usiku mrefu sana...Upamecano itokee siku hiyo awe na usiku mzuri ila naye ana mistake ndogondogo...hyo Kim ni kitasa
Alphonso david ni injury eeh???
 
Defense ya Bayern ni hii:

Upamecano, Kim, Boey

Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.

I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.

Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Toka mechi na lazio ya 2 , Tuchel amebadili backline yake ,Upemaguire na Kim wanakaa bench maana wote kama Wana sifa moja, backline yake sasa ni De Ligt na Erik Dier

Kiungo Palvovic na Gorteza

Devis anakula bench maana amekuwa njia halafu kawagomea kusaini mkataba mpya


LB Yao anazima Guirero na RB Kimmich

Kuanzia kwenye kiungo had backline Yao wapo kawaida ,

Huyu Palvovic ana miaka 19 , Gorteza alishapotea , combination yake na Kimmich imekuwa haifanyi kazi ndio maana walimtaka Rice walipomkosa wakamtaka Palhina

So Tukiwadaka kiungo tu wamekwisha ,maana backline Yao inavuja sana .
 
Of course kwakua karuhusu baadhi ya magoli haiwezi tosha kujiaminisha kua huyu kawa Onana
Neur ameshuka kiwango toka apate majeruhi makubwa, lakini sio sawa na kina onana, Bado uzoefu wake pale golini una msaada mkubwa, angekuwa hayupo ningesema hata 5 wangepigwa ,


Kama tutawakamata kiungo chao na asilimia kubwa itakuwa hivo, basi tutumie nafasi vzr ,tunatoka na 2-0 au 3-0
 
Back
Top Bottom