Wewe hatukutambui kama shabiki wa Arsenal, so usitupangie cha kuongea!


Kwaiyo saivi ndo dua iliyobaki hiiHivi nyie ndugu zangu akiumia Rice huko international duties si mtatafutana Huku
Ambangile Huwa anasema Arteta hafundishi mpira wa Pep ,sababu amemix humo ndaniOur out of possession football is next to none, maybe the best in Europe, hii inatupa chance kubwa kuendelea mbele kwenye UEFA. Silaha yetu kubwa msimu huu ni uwezo wa kuzuia wapinzani wasifunge magoli, Out of possession (Arteta > el chollo). kipindi Arteta anachukua FA cup alipaki bus flani la kibabe dhidi ya Man city baada ya kuwalaza 2-0, basi Bayern wajiandae kuliona hilo basi 2nd leg baada ya kuwaua Emirates. Arteta namkubali cuz yupo flexible, anaweza kuwa Wenger na anaweza kuwa Moyes kwa wakati mmoja. Bayern ni timu yenye wachezaji wazuri na kocha mzuri, hivyo tujiandae kuiona vita. Football has it's warlike parallels. This is war.
Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na DierBayern kacheza na timu inashika mkia kashinda 5 karuhusu kufungwa goli 2.
Na timu inayoshika mkia.
Arsenal kacheza na timu inashika mkia kaifunga 6 bila kuruhusu goli.
Angalia vichwa vya kuku vinakuja kuandika nini.
Musiala is good no doubt. Kuanzia misimu mitatu nyuma Bayern wamekua wanaruhusu magoli.Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na Dier
Kiungo chao ni Gorteza na Palvovic ambaye nimeona kaumia bwana mdogo ana miaka 19
Kimmich wamemrudisha RB,
Mchezaji hatari zaidi ni Jamal Musiala
Bayern kwasasa backline Yao ni De Ligt na Dier
Kiungo chao ni Gorteza na Palvovic ambaye nimeona kaumia bwana mdogo ana miaka 19
Kimmich wamemrudisha RB,
Mchezaji hatari zaidi ni Jamal Musiala


Arsenyo anapigwa tena kumi kwa mbili. Yule Boey nimemtazama sana...akianza yule atasumbuliwa sana na Saka...maana defensively sio mzuri na anapenda ku attack sana...Sasa wakija Emirates na akawa anapanda na kushuka basi atakuwa na usiku mrefu sana...Upamecano itokee siku hiyo awe na usiku mzuri ila naye ana mistake ndogondogo...hyo Kim ni kitasaDefense ya Bayern ni hii:
Upamecano, Kim, Boey
Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.
I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.
Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Toka nianze kumuone Never hadi leo hua naliogopa sana ilo likipa.Defense ya Bayern ni hii:
Upamecano, Kim, Boey
Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.
I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.
Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Alphonso david ni injury eeh???Yule Boey nimemtazama sana...akianza yule atasumbuliwa sana na Saka...maana defensively sio mzuri na anapenda ku attack sana...Sasa wakija Emirates na akawa anapanda na kushuka basi atakuwa na usiku mrefu sana...Upamecano itokee siku hiyo awe na usiku mzuri ila naye ana mistake ndogondogo...hyo Kim ni kitasa
Nimejibu comment ya jamaa...sijajua kama Alphonso David ni majeruhi au vp...ila binafsi naona akiwepo yy kitakuwa na battle nzuri na Saka ule upandeAlphonso david ni injury eeh???
No, kiwango chake kilishuka baada ya injury, alivyorudi akawa siyo yule tena.Alphonso david ni injury eeh???
Of course kwakua karuhusu baadhi ya magoli haiwezi tosha kujiaminisha kua huyu kawa OnanaToka nianze kumuone Never hadi leo hua naliogopa sana ilo likipa.
Toka mechi na lazio ya 2 , Tuchel amebadili backline yake ,Upemaguire na Kim wanakaa bench maana wote kama Wana sifa moja, backline yake sasa ni De Ligt na Erik DierDefense ya Bayern ni hii:
Upamecano, Kim, Boey
Absolute beasts these three. I think Bayern anajiandaa na hawa kuliko Dier na wenzake.
I honestly believe Neuer pia umri unamuacha, kuna magoli anafungwa na ukikumbuka enzi hizo unaona kabisa umri umekua ishu.
Hii game haiwezi kua nyepesi. Anayedhani we will just waltz in and leave with a victory hapana. Itatakiwa tupambane.
Neur ameshuka kiwango toka apate majeruhi makubwa, lakini sio sawa na kina onana, Bado uzoefu wake pale golini una msaada mkubwa, angekuwa hayupo ningesema hata 5 wangepigwa ,Of course kwakua karuhusu baadhi ya magoli haiwezi tosha kujiaminisha kua huyu kawa Onana