Kwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tenaPunguzeni midomo tusijikute kwamba aya mashindano tume dominate wakati tumekaa nje ya game muda mrefu, Tumueshimu aliye tutangulia.
Mnaboa
Acha kuwapangia watu cha kuongea ,yaani unataka Arsenal fans watukanwe wadhalilishwe ,waitwe waitwavyo ,wakae kama kondooPunguzeni midomo tusijikute kwamba aya mashindano tume dominate wakati tumekaa nje ya game muda mrefu, Tumueshimu aliye tutangulia.
Mnaboa
Thomas Partey is back.
Gabriel Jesus is back.
Fábio Vieira is back.
Zinchenko is back.
Takehiro Tomiyasu is about to return.
Gabriel Martinelli is expected to ant ready for the match against Man City.
Jurrien Timber is about to return.

Nimeshangaa ,yaan anataka Hawa kina flano waitukane na kuidhalilisha Arsenal humu,ila Arsenal kuzungumzia timu Yao ni dhambiKwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tena
Tomiyasu ile mechi ya pili na Porto niliona kama yupo Sub vile au niliona vbayaThomas Partey is back.
Gabriel Jesus is back.
Fábio Vieira is back.
Zinchenko is back.
Takehiro Tomiyasu is about to return.
Gabriel Martinelli is expected to ant ready for the match against Man City.
Jurrien Timber is about to return.
Unlike the second half of last season when we encounter a series of injury issues, Arsenal this season will enter a key phase with the fullest force.
Hopefully the whole team will have a full resting and restoration phase to prepare for the hard fight for the thorny journey to here...!
Your thoughts...
#Arsenal
Finally mnakutana na Bayern aliyewapa jina la Arse8. Ila this time around mtashinda, naiona Arse8 nusu fainali.
Kazeni wazee, mko kwenye kiwango bora sana.


Mkuu Cash Money Forever kwanza tutake radhi mashabiki wa Man Utd, hilo jina la Arse8 ni sisi Utd ndio tulilowapewa kihalali kabisa na likaidhinishwa na bodi ya ligi baada ya kuwapiga kile kipigo cha mbwa koko cha goli 8-2 msimu wa 2011 - 2012.Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali.
Naombea tukutane na Barcelona.
Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana.
Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali.
Naombea tukutane na Barcelona.
Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana.
Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?Kwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tena
Wewe hatukutambui kama shabiki wa Arsenal, so usitupangie cha kuongea!Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
Kama unaona inakukera braza na kuona hiki ni kijiwe cha kahawa pita hv👉👉...Majukwaa mengine wanajitqpa kabisa kwmba watakuwa mabingwa hawaonekani sio...Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
Yupo Thomas Partey🤠🤠...una lingine tukusaidie kukujibuHivi nyie ndugu zangu akiumia Rice huko international duties si mtatafutana Huku
Hawa jamaa wa history fc wanafurahisha sana, kuna mdau mmoja akauliza:Kama unaona inakukera braza na kuona hiki ni kijiwe cha kahawa pita hv👉👉...Majukwaa mengine wanajitqpa kabisa kwmba watakuwa mabingwa hawaonekani sio...
CryKudus amecheza westham nusu msimu lakini ameweka legacy kubwa kuliko kenge Declan Rice ambaye amekaa westham misimu kibao