unavunga Una midharau sio ?Kwa forward ya Jackson au sio...safari hii mkija tunawqchezeshea timu B...maana kuweka full squad ni kuwaonea tu...yaani Rice aje apakazane makasho na Gallagher kwli??...
Uzuri mnalijua jaramba letu vizuri
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app