Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu, mnaikumbuka hii 😂

Screenshot_20240315-154537.png
 
Kile kikosi cha bayern kiliwapiga kumi kilikuwa cha wazee kimeshajichokea wasta wa umri ulikuwa miaka 29 wachezaji wao tegemezi ni babu Robben na babu Ribery. Nime analyse umri wa kikosi chao cha sasa ni miaka 26 Poleni saan hapo mnawakati mgumu sana.

Full time on aggregate Arsenal 3- Bayern 15
Mkuu natoa ahadi hmu jukwaani...Hawa wakitufunga hzo goli nitajitoa rasmi...na nitakukabidhi 100000/= taslimu...fedha za kitanzania
 
Kile kikosi cha bayern kiliwapiga kumi kilikuwa cha wazee kimeshajichokea wasta wa umri ulikuwa miaka 29 wachezaji wao tegemezi ni babu Robben na babu Ribery. Nime analyse umri wa kikosi chao cha sasa ni miaka 26 Poleni saan hapo mnawakati mgumu sana.

Full time on aggregate Arsenal 3- Bayern 15
Unaimba sana taarabu .. ila bayern anakufa 4-1 pale emirates .. subir uone


Ww endelea kuishi jana na historia zako za kinjekitile ngwale
 
Back
Top Bottom