Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Punguzeni midomo tusijikute kwamba aya mashindano tume dominate wakati tumekaa nje ya game muda mrefu, Tumueshimu aliye tutangulia.
Mnaboa
Kwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tena
 
Thomas Partey is back.

Gabriel Jesus is back.

Fábio Vieira is back.

Zinchenko is back.

Takehiro Tomiyasu is about to return.

Gabriel Martinelli is expected to ant ready for the match against Man City.

Jurrien Timber is about to return.

Unlike the second half of last season when we encounter a series of injury issues, Arsenal this season will enter a key phase with the fullest force.

Hopefully the whole team will have a full resting and restoration phase to prepare for the hard fight for the thorny journey to here...!

Your thoughts...
#Arsenal
 
Kwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tena
Nimeshangaa ,yaan anataka Hawa kina flano waitukane na kuidhalilisha Arsenal humu,ila Arsenal kuzungumzia timu Yao ni dhambi


Arsenal fans wanaiamini timu Yao acha waongee ,


Ukikereka nenda jukwaa la manjesta waliburuza mkia mbele ya Galatasaray na Copenhagen wakiwa na kikosi cha €500m
 
Linganisha ukuta wetu tulipokutana na Bayern mara ya mwisho na awamu hii
20240316_100408.jpg
 
Thomas Partey is back.

Gabriel Jesus is back.

Fábio Vieira is back.

Zinchenko is back.

Takehiro Tomiyasu is about to return.

Gabriel Martinelli is expected to ant ready for the match against Man City.

Jurrien Timber is about to return.

Unlike the second half of last season when we encounter a series of injury issues, Arsenal this season will enter a key phase with the fullest force.

Hopefully the whole team will have a full resting and restoration phase to prepare for the hard fight for the thorny journey to here...!

Your thoughts...
#Arsenal
Tomiyasu ile mechi ya pili na Porto niliona kama yupo Sub vile au niliona vbaya
 
Finally mnakutana na Bayern aliyewapa jina la Arse8. Ila this time around mtashinda, naiona Arse8 nusu fainali.

Kazeni wazee, mko kwenye kiwango bora sana.
Mkuu Cash Money Forever kwanza tutake radhi mashabiki wa Man Utd, hilo jina la Arse8 ni sisi Utd ndio tulilowapewa kihalali kabisa na likaidhinishwa na bodi ya ligi baada ya kuwapiga kile kipigo cha mbwa koko cha goli 8-2 msimu wa 2011 - 2012.
Master of Failure mwenyewe mzee Arsène Charles Ernest Wenger amekiri kua ameshawahi kupoteza ndugu jamaa na marafiki na amewasahau, lakini katika maisha yake amesema kamwe hataisahau siku ya tarehe 28Augost 2011 kwa kile kipigo cha fedheha alichokipata pale kwenye dimba la Old Trafford.
DIRN0rRXYAIJBqn.jpg
 
yani Barcelona alivyochoka hatafika wapi nyie mnaombea fainal saizi wakati tunaelewa tu kuwa
Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali.

Naombea tukutane na Barcelona.

Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana.

Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
 
yani Barcelona alivyochoka hatafika wapi nyie mnaombea fainal saizi wakati tunaelewa tu kuwa
Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali.

Naombea tukutane na Barcelona.

Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana.

Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
 
Kwhyo Hawa wanaokuja hmu ndani kutupiga spana na kutuletea stats mara historia za Bayern tukicheza nao nao wapige kimya au...wacha watu waongee...wanaokandia wape nafasi...wanaopiga midomo kwmba tunapita nao waongee...ndo maana ya jukwaa huru...bila ya kukandiana ama kutamba hakutakuwa na maana ya haya majukwaa tena
Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
 
Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
Wewe hatukutambui kama shabiki wa Arsenal, so usitupangie cha kuongea!
 
Ukiwajibu inabadilisha nini? Historia wanazo leta kwani ni za uongo?
Muheshimu aliye kutangulia kuna watu hapa wameisha anza kuongelea fainali kabisaa sasa huo si utoto inaonekana kama kijiwe cha kahawa humu.
Timu yetu ni bora ndio ila tuwe na akiba ya maneno.
Kama unaona inakukera braza na kuona hiki ni kijiwe cha kahawa pita hv👉👉...Majukwaa mengine wanajitqpa kabisa kwmba watakuwa mabingwa hawaonekani sio...
 
Kama unaona inakukera braza na kuona hiki ni kijiwe cha kahawa pita hv👉👉...Majukwaa mengine wanajitqpa kabisa kwmba watakuwa mabingwa hawaonekani sio...
Hawa jamaa wa history fc wanafurahisha sana, kuna mdau mmoja akauliza:

Bayern wanataka watumie historia ya kutufunga 5-1, je kwa sasa Manyumbu wanatumia historia ya 8-2 tunapokutana?
Mtu unataka kutumia hoja za history badala ya form, ubora wa vikosi na recent performance kama sio ukenge ni nini?

Tuliwataka Bayern na tumewapata, we have a score to settle
20240112_125412.jpg
 
Back
Top Bottom