arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Mbeumo ni mchezaji wa timu ndogo...labda Olise aje kum challenge Saka ila shida ni majeruhi...Eze atakuja kucheza nafasi ya nani??Watatufaa hawa vijana.
Mbeumo ni mchezaji wa timu ndogo...labda Olise aje kum challenge Saka ila shida ni majeruhi...Eze atakuja kucheza nafasi ya nani??Watatufaa hawa vijana.
Mbeumo kwa Arsenal ni kama Jota kwa LiverMbeumo ni mchezaji wa timu ndogo...labda Olise aje kum challenge Saka ila shida ni majeruhi...Eze atakuja kucheza nafasi ya nani??
Eze ni RCM na long shot merchant tunahemhitajiMbeumo ni mchezaji wa timu ndogo...labda Olise aje kum challenge Saka ila shida ni majeruhi...Eze atakuja kucheza nafasi ya nani??
Trossard atazeeka soonMbeumo ni mchezaji wa timu ndogo...labda Olise aje kum challenge Saka ila shida ni majeruhi...Eze atakuja kucheza nafasi ya nani??
Wakubwa wenzetu tunawapiga goli 2 au 3 za heshimaMnafikiri kuna kina Burnley huko wakuwafunga tano?
If u say soMbeumo kwa Arsenal ni kama Jota kwa Liver
Wawili hapo injury proneArsenal tumpate Eze, Olise na Mbeumo
Angalia moto
Yah amerejea tayariTomiyasu ile mechi ya pili na Porto niliona kama yupo Sub vile au niliona vbaya
AstonvillaHivi ni astonvilla au stock city aliyewahi kumpiga liverpool 7
Kuna muda nasahau
Wameifunga team ya mwisho kwenye msimamo wa league 😀NAwapa taarifa tu, si kwa ubaya. Bayern wamecheza leo, wamewatumia salamu.
Aston VilaHivi ni astonvilla au stock city aliyewahi kumpiga liverpool 7
Kuna muda nasahau
NAwapa taarifa tu, si kwa ubaya. Bayern wamecheza leo, wamewatumia salamu.
[emoji3][emoji3]Wewe hatukutambui kama shabiki wa Arsenal, so usitupangie cha kuongea!