HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Huyu kocha tumezoea kumfunga. Tatizo labda jina la Bayern litusumbue kisaikolojia. Ila kimpira, tunapambana nao vizuri tu na mimi naona tukiwafunga. Ningependa zaidi tuanzie ugenini ila hilo liko nje ya uwezo wetu. Naona tunauwezo wa kuwafunga.
Huyo kocha wa Bayern kumbukumbu yangu inaniambia kapigwa nje ndani za kutosha kila akikutana na Arteta