Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu kocha tumezoea kumfunga. Tatizo labda jina la Bayern litusumbue kisaikolojia. Ila kimpira, tunapambana nao vizuri tu na mimi naona tukiwafunga. Ningependa zaidi tuanzie ugenini ila hilo liko nje ya uwezo wetu. Naona tunauwezo wa kuwafunga.
Huyo kocha wa Bayern kumbukumbu yangu inaniambia kapigwa nje ndani za kutosha kila akikutana na Arteta
 
Bayern anacheza muda huu ,hamuiangalii halafu mtu anakuja kutupigia kelele humu


Defence Yao ni De Ligt na Dier
 
Hivi ni astonvilla au stock city aliyewahi kumpiga liverpool 7
Kuna muda nasahau
 
Unahangaika sana...wacha siku ifike tuwafumue halafu muanze kuja na slogan zenu kwmba Arsenal hamtachukua Champions league 🤠🤠🤠....maana naona mashabiki wa Manunu na Chelkenge mmeunda coalition moja matata sana...yaani pipa na mfuniko vimeungana Ili kutupigia kelele
NAwapa taarifa tu, si kwa ubaya. Bayern wamecheza leo, wamewatumia salamu.
 
Back
Top Bottom