Hapa unamponda Rice na kumsifia Kudus
Kisha unakiri kwamba huyo huyo Rice kwa nusu msimu amekuwa key player kwa Arsenal, we mwenyewe unajielewa?
1. Yaani Rice ambaye akiwa captain wa Westham na kuwapatia their first ever Europian title hana legacy ila huyo Kudus kwa nusu msimu unasema kaweka legacy, unafahamu hata maana ya neno legacy?
2. Kati ya Arsenal na Westham ipi ni club kubwa? Kama Rice katoka Westham akawa key player Arsenal na huyu aliyetoka Ajax ambayo ni kubwa pia kuliko Westham akawa key player Westham (average club), yupi amepiga hatua zaidi ya mwenzie?