Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuwaache manyumbu wapambane na hali yao. Wakishinda watampunguza spidi kidogo mamacita. Wakifungwa wataanza kupotezwa mdogo mdogo kwenye kupambania top 4 na top 6. Waamue wenyewe wanataka nini πŸ˜„πŸ˜„
Kwangu mm binafsi yule ambaye atakuwa dhaifu apigwe hata Wiki au hata goli 8...na wte hapa tunajua dhaifu ni nani kwakwli🀠🀠
 
Kwangu mm binafsi yule ambaye atakuwa dhaifu apigwe hata Wiki au hata goli 8...na wte hapa tunajua dhaifu ni nani kwakwli🀠🀠
Unataka kumpa mamacita hiyo GD yote kwa kweli? Acha ashinde 1-0 tu. πŸ˜€πŸ˜€
 
Mykhailo Mudryk was in tears on the phone to Arsenal asking them to do something as he was on his way to the airport. (@Teamnewsandtix following on from @TheAthleticFC report on the Mudryk collapsed transfer to Arsenal) #CFC

Huyu dogo tutaenda kumchukua kwa mkopo
 
Kwamba Chelsea ili kumfosi Mudryk kwenda darajani ikabidi wacheze mechi ya kirafiki na Shakhtar Donetsk.

Kisha Mudryk akapiga simu Arsenal huku analia.

 
. . .
 
. . .
 
. . .
 
Tumeishia wapi kwa Mudryk kua hatari nyingine hapo chelsea?
 
Pastor Timber is back πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎView attachment 2919354
Huyu Sasa awekwe nje...tuna mechi na Man City baada ya Porto...hyo ndo itamfaa...hzi zingine aachiwe Kiwior na Tomiyasu wamalizane nazo🀠🀠...Haina haja ya kuonea watu halafu tukaja kuonekana tuna roho mbaya...sio utamaduni wetu
 
Unataka kumpa mamacita hiyo GD yote kwa kweli? Acha ashinde 1-0 tu. πŸ˜€πŸ˜€
Mm hata ashinde 15...sina shida naye maana najua hawezi kumaliza juu yetu...huo ubavu msimu huu Hana 🀠🀠...kwhyo Manunu liwakute jambo ziti kwakwli hii weekend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…