Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daaahhh kwa kua jana Dawati la jinsia tumezabuliwa goli 3 ndio haturuhusiwi humu hata kujibu maswali tunayoulizwa?
Huu ni unyanyasaji wa wazi kabisa, Masingeli naomba ingilia kati huu unyanyapaa tunaofanyiwa sisi mashabiki wa Dawati Fc humu ndani.


#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Kai Ballon d'Or

View attachment 2752160
MANJESTA mkituzoea Sana tunaweza kuanza kufanana kimatokeo
Kapoteze muda kwanza Kule ukengeni fc, huku uje baada ya game kuisha
 
Linki ya kutizama game wadau, niko porini huku, mpaka nikautizame mpira bora hiyo hela niweke bando.
 
FULL XI

David Raya (GK), William Saliba, Ben White, Gabriel Magalhães, Oleksandr Zinchenko, Bukayo Saka, Martin Odegaard (C), Fábio Vieira, Declan Rice, Gabriel Martinelli, Eddie Nketiah.
 
Raya ataanza

Fabio Vieira anachukua nafasi ya Kai havertz

Nketiah anaanza pia
20230917_172019.jpg
 
Siku hizi timu nyingi hazitukabii kwa high line tumekua wazuri kwenye kupasi na kukaa kwenye njia kitu kimoja tulichobakisha ni wingers wetu kua finishers zaidi ya sasa

Game dhidi ya Leicester, dakika ya 16 Jorginho anapiga thru ball nzuri ndefu inamkuta Saka lakini Saka akawa anasubiri wenzake wajae. Prime Salah/ Roben alikua anaingia kwenye boksi na kujaribu kucut in na kuscore.

Kuna chip pass moja Partey alimsukumia Nketiah game ya jana, Nketiah akauwahi mpira vizuri bahati mbaya kipa alishatokea. Katika shooting tunasema ni bora ulenge target kuliko utoe mpira nje kabisa. With that sense kosa ya Nketiah inatia matumaini kuliko kosa ya Odegaard dhidi ya Villa.

At some point hua najiuliza vipi kama Mudryk angekuja? Angeweza kumuweka bench Martinelli? Na hivi hatuna Carabao wala FA.
Chini ya hii niliandika Arsenal ingepata tabu kumuacha Martinelli kwa ajili ya Mudryk.

Kuna member akasema Mudryk kawekewa kipengele akipata Ballon D'Or kuna add ons na roho inamuuma hajaja Arsenal nikamjibu hata Martial ana kipengele hicho hicho.

Leo namuangalia Mudryk hadi muda anatoka naona ni kweli Arsenal tusingepata shida kujua tumuweke benchi our best shooter ama la. Beki akimfanyia take on Martinelli utamuona kijana yupo nyuma anakimbiza mpira, ila Mudryk pace yake haitumii kumsaidia kulinda
 
𝗧𝗘𝗔𝗠𝙉𝙀𝙒𝙎

Gabi at the back
🪄 Vieira in midfield
Eddie leads the line

COME ON YOU GUNNERS!
20230917_173039.jpg
 
Our bench is absolutely crazy.

Ramsdale, Tomiyasu, Kiwior, Jorginho, Havertz, Trossard, Smith Rowe, Nelson, Jesus.

Depth.
 
Aaron Ramsdale being rested for the Champions League on Wednesday which is exactly why Mikel Arteta wanted two top quality keepers he could rely on.
 
Havertz benchi.

Arteta nahisi alidhani washkaji watakuja na 5 4 1 amewajia na 4 2 3 1 Vieira kaanza.

Na Raya ameanza
 
Havertz benchi.

Arteta nahisi alidhani washkaji watakuja na 5 4 1 amewajia na 4 2 3 1 Vieira kaanza.

Na Raya ameanza
Sidhani Kama kabadili formation Ni ile ile 4-3-3

Tutakuwa na viungo wenye kutunza mpira na wabunifu

Zinny Rice Ødegaard Vieira
 
Back
Top Bottom