Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenyetoz ni comedians

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Hawa pimbi ndio wanakwambia mlete Madrid tumchakaze tube Ndoo ya uefa

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Porto wanatupress kwa nguvu tukiwa kwetu expecting tutafanya errors.

Timu inahitajia kua composed na kuscore ili kuwafanya waache hii tabia
Mashabiki wa asenyetoz huwa mna mkkwara utadhani mnaa kikosi cha kutisha cha magalacticos kumbe kikundi cha waigizaji wa futuhi

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Hizi nyumbu na liverpunda dawa yao inachemka
 
Alafu sasa nyie mashabiki wa Arsenyeto ndio wenye domo zaidi kuliko mashabiki wote duniani
 
Alafu sasa nyie mashabiki wa Arsenyeto ndio wenye domo zaidi kuliko mashabiki wote duniani
😀😀😀 Haujakosea mkuu. Unaona kabisa tuko katika 'kutesa kwa zamu na hii ni zamu yetu' mode. Miaka ya nyuma tulikuwa wanyonge sana na tuliteswa sana na maneno ya wengine. Ila sasa tumeanza kuona ka nuru kidogo, nasie tunawakera wenzetu. 😁😁
 
OLE GUNNER SOLSKJAER alipokuwa united alishika 2nd EPL na finalist kibao aliingia, tulikuwa tunashinda mpaka 9:1 EPL, 6:0 huko UEFA bado comeback za kibabe dhidi ya giants, man city, liverpool, arsenal, Chelsea wote tulikuwa tunawafunga vizuri,
Lkn yako wapi??


Polite reminder ARTETA ni muhuni kama wahuni wengine, sema nyie mlioko ndani hamuwezi kujua hili, wa nje tunaona kwa akili, nyie mnaona kwa hisia.

Nyie bado sana

Kushinda EPL, UEFA au finalist wa michuano mikubwa
Sema nyani haoni kundule

Chelsea na man United zitakaa sawa kabla yenu na zitashinda makombe makubwa kabla yenu.
Title contenfer, Overload, aerial duo won bila KOMBE ni takataka tu.

Weka hisia pembeni, tumia akili
Then utajua nyie bado sana

Odergaad ni bora kuliko KDB= hizi zilikuw ni hisia ukitumia akili huwez andika hii takataka
 
Uzuri Newcastle huyu hapa nitamkaba koo na kumpiga 5g moja amazing akili ikae sawa.
 
Kwan Arteta ameshiriki mara ngapi hiyo michuano ya ulaya mpaka useme ni mafuta na maji?
 
Kale kagoli kamoja kanawadanganya watu....Second leg tunawafunga kirahisi tu wale....watakuja kupaki basi na hyo dawa tunayo...sasa hv mambo ya goli la ugenini hakuna....kwahyo wasahau kututoa
Ndio unavyojidanganya si ndio ?
Unadhani Porto ni Sheffield au Burnley au sio ?
Ile ni uefa na sio kombe la cha ndimu au ligi , hizo False hopes zenu futa kabisa
Mtagongwa na kuchakaa na hamtaamini

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
arteta.. home leg dhidi ya porto ,asimuache nje ya XI mchezaji kama jorginho mana UCL licha ya quality kuamua mechi.. wkt mwingine maturity pia ya wachezaji inachangia kwa kiasi kikubwa.

timu ya arsenal bado haina wachezaji wengi wenye uzoefu mkubwa UCL hasa kwenye hatua ya mechi za mtoano.

NB ;group stage games uchezaji wake ni tofauti na kwenye knockout phase!
 
Arsenyetoz ninyi bado sana ,UEFA sio level zenu
Acheni kujitutumuachelView attachment 2913746

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Kinachonoudhi hapa ni liverpool nimeshuhudia wakibeba mara 2, manyumbu nimewashuhudia mara mbili, chelkenge nao na mancity makombe yote yao ni ya kizazi hiki hiki. Kwa hiyo hamu ya kuona arsenali inanyanyua hii kitu kabla ya kupata wajukuu ni kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…