Arsenal (The Gunners) | Special Thread

raya ajiangalie sana na utokaji wake langoni.. goli anakuwa analiacha sana mbali.. timu ikipoteza tu mpira bahati mbaya basi anakuwa out of position kabisa na ni rahisi kufungwa.

goli la porto na lens away.. wapinzani wakishamsoma tu.. basi atatunguliwa goli nyingi kama izo.
 
GAY GOONERS πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Diogo Costa aliwaonya kuwa wanajua madhaifu yenu mkatukana sana. Tena akataka muonyeshe kweli kama nyie mnaopewa nafasi ya kuwa mabingwa wa UCL uwezo mnao!!! Gay Gooners mmethibitisha hamna uwezo, kipindi kile Europa mkajinadi kuwa Sporting wakija Emirates mnamaliza kazi πŸ˜† yasije yakajirudia tena yaleyale maana Wareno washajua pa kupiga.
 
Ukiwakuta wanavyojiona sasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚mpaka madrid wanamtukana,wakiwa kwenye mazungumzo utafurahi ,sisi ndio team pekee inaweza kumtoa City πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
 

Umeitaq au bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…