Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pray for Porto tomorrow
Red is back

Kesho tunapiga hizi Jezi ,Red lakin soksi pia Red sio White
20240220_170630.jpg
 
OT mtakuta gari tayari limeshawaka mjiandae tu kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu.
Nilichomuelewa Baba Ubaya(Ten Hag) round ya kwanza aliitumia kutengeneza formation ya timu ingawa formation yenyewe haieleweki(amefeli) huu mzunguko wa pili anachotaka kufanya ni kama kile alichofanya msimu uliopita butua butua lakini dakika 90 zikikamilika points3 ziwe mezani.

Ila tuweke utani pembeni Aseno ya msimu huu imepoa sana, ile aseno ya top on the table ilikua imechangamka hatari, ukikutana na zile Hashtag za Arsenyo ndoo Haaland kiatu jukwaa linazidi kuchangamka.
Huo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..
 
Huo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana

Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza

Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,

Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake


Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0

Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah

Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,

Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria


Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe to toe
 
Arsenal fans
Midfield ipi unatamani kuiona kesho vs Porto

A- Vieira-Rice-Ødegaard
B-Rice-Jorginho-Ødegaard
C-Rice-Partey-Ødrgaard
D-Trossard-Rice-Ødegaard
E-Kai-Rice-Ødegaard
20240220_171945.jpg
20240220_154419.jpg
20240220_154415.jpg
20240220_153322.jpg
 
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana

Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza

Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,

Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake


Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0

Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah

Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,

Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria


Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe

Arsenal fans
Midfield ipi unatamani kuiona kesho vs Porto

A- Vieira-Rice-Ødegaard
B-Rice-Jorginho-Ødegaard
C-Rice-Partey-Ødrgaard
D-Trossard-Rice-Ødegaard
E-Kai-Rice-ØdegaardView attachment 2910170View attachment 2910171View attachment 2910172View attachment 2910173
E....hawa wengine wasubiri
 
Jürgen Klopp anasema alishangazwa na Arsenal kumtoa kwa mkopo Albert Sambi Lokonga:

“[Albert Sambi] Lokonga unapomwona akicheza na unafikiri, oh - Ni mchezaji wa Arsenal na walimtoa kwa mkopo? Inavutia.”

[kupitia @HaytersTV].
20240218_213430.jpg
 
Huyo akili zake anazijua mwenyewe,anaweza kumuumiza saka au huyo aliyemtaja kwa lengo la kuiharibu timu.

Asenali ya sasa kuna wachezaji wakipata majeraha ya muda mrefu shughuli ya kupambania walau kombe lolote inakufa rasmi au asenali inakikosi kipana?
 
OT mtakuta gari tayari limeshawaka mjiandae tu kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu.
Nilichomuelewa Baba Ubaya(Ten Hag) round ya kwanza aliitumia kutengeneza formation ya timu ingawa formation yenyewe haieleweki(amefeli) huu mzunguko wa pili anachotaka kufanya ni kama kile alichofanya msimu uliopita butua butua lakini dakika 90 zikikamilika points3 ziwe mezani.

Ila tuweke utani pembeni Aseno ya msimu huu imepoa sana, ile aseno ya top on the table ilikua imechangamka hatari, ukikutana na zile Hashtag za Arsenyo ndoo Haaland kiatu jukwaa linazidi kuchangamka.
Baba ubaya ameamua mpira awaachie wenyewe. Yeye point 3 tu azipate.
 
It takes too long to unlock Fabio's potential
Jamaa silaha kali sana kwenye counter. Tupipwe kona, Raya adake amrushie Vieira huku Martinelli au Saka wametoka ndukiii. Mpinzani ahesabu maumivu. Assists zake kwa Martinelli game ya Villa last season na Jesus game ya Manyumbu this season ni ishara kuwa jamaa ana vision kali sana.
 
Jürgen Klopp anasema alishangazwa na Arsenal kumtoa kwa mkopo Albert Sambi Lokonga:

“[Albert Sambi] Lokonga unapomwona akicheza na unafikiri, oh - Ni mchezaji wa Arsenal na walimtoa kwa mkopo? Inavutia.”

[kupitia @HaytersTV].View attachment 2910274
Wakati anachukuliwa kuja Arsenal Arteta aliambiwa hapa unamnunua Vieira na AM ndani yake.

Alishindwa kustep up game na man u akashindwa kabisa kucover mid. Nafikiri strength yake ingekua inakuzwa angecheza na Partey au Rice
 
Jamaa silaha kali sana kwenye counter. Tupipwe kona, Raya adake amrushie Vieira huku Martinelli au Saka wametoka ndukiii. Mpinzani ahesabu maumivu. Assists zake kwa Martinelli game ya Villa last season na Jesus game ya Manyumbu this season ni ishara kuwa jamaa ana vision kali sana.
He is very intelligent on top of that
 
Back
Top Bottom