Huo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..OT mtakuta gari tayari limeshawaka mjiandae tu kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu.
Nilichomuelewa Baba Ubaya(Ten Hag) round ya kwanza aliitumia kutengeneza formation ya timu ingawa formation yenyewe haieleweki(amefeli) huu mzunguko wa pili anachotaka kufanya ni kama kile alichofanya msimu uliopita butua butua lakini dakika 90 zikikamilika points3 ziwe mezani.
Ila tuweke utani pembeni Aseno ya msimu huu imepoa sana, ile aseno ya top on the table ilikua imechangamka hatari, ukikutana na zile Hashtag za Arsenyo ndoo Haaland kiatu jukwaa linazidi kuchangamka.
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sanaHuo mpira wenu wa kuotea labda mtukute tuna kikosi cha tatu....ila hawa wahuni wanaotoka majeruhi wawepo wte ukichanganya na hawa wanaotoa dozi ya khamsa...aisee nyny kushinda labda mshinde njaa..
Ningemuona na Jesus ningefurahi sana
Jesus asiwahishwe , Trossard anatoshaNingemuona na Jesus ningefurahi sana
Kama Kuna timu hata siiwazi ni manjesta,ukiwashambulia tu wapo wazi sana
Sasa timu kama hiyo sio yakuiwaza
Kwasasa nawaza kupata point Etihad ,
Spurs naenda kumnyonga pale pale kwake
Manjesta akitukata tupo full ,half time anaweza kula 3-0 au 4-0
Mechi ya kwanza tulichelewa kuimaliza mechi pale mbele alianza chaguo la 4 Nketiah
Bado hata kuingia box la Arsenal ilikuwa mtihani ,
Juzi Luton kawapelekea sana moto wanaomba mpira uishe ,Sasa timu kama inapigwa msako na Luton unaanzaje kuifikiria
Mara 100 niwawaze Chelsea ,Wana uthubutu wa kwenda toe
E....hawa wengine wasubiriArsenal fans
Midfield ipi unatamani kuiona kesho vs Porto
A- Vieira-Rice-Ødegaard
B-Rice-Jorginho-Ødegaard
C-Rice-Partey-Ødrgaard
D-Trossard-Rice-Ødegaard
E-Kai-Rice-ØdegaardView attachment 2910170View attachment 2910171View attachment 2910172View attachment 2910173
Kwa hiyo sisi ndiyo underdogs wa hii mechi?lazima mtesekeView attachment 2909240
Blichi zinabeba roho za kukosa? 😆😆😆Ben White nae kuna kipindi aliweka ule upuuzi kichwani performance ikashuka
Kwasasahivi KDB yupo juu Hilo halina ubishi, ila me naamini Odegard ana potential ya kuja kuimbwa zaidi ya KDBJuzi kati hapo nilishtuka kumsikia Ambangile anasema KDB anakwenda kuwa kiungo bora wa muda wote kuwahi kucheza epl.
Huyu jamaa naona kabla msimu haujaisha atapiga hattrick.Ilikua haina haja kumtetea.
Ni wapinzani ndiyo walikua busy kuleta drama.
Leo hii ana magoli mengi kuliko winger wao
Baba ubaya ameamua mpira awaachie wenyewe. Yeye point 3 tu azipate.OT mtakuta gari tayari limeshawaka mjiandae tu kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu.
Nilichomuelewa Baba Ubaya(Ten Hag) round ya kwanza aliitumia kutengeneza formation ya timu ingawa formation yenyewe haieleweki(amefeli) huu mzunguko wa pili anachotaka kufanya ni kama kile alichofanya msimu uliopita butua butua lakini dakika 90 zikikamilika points3 ziwe mezani.
Ila tuweke utani pembeni Aseno ya msimu huu imepoa sana, ile aseno ya top on the table ilikua imechangamka hatari, ukikutana na zile Hashtag za Arsenyo ndoo Haaland kiatu jukwaa linazidi kuchangamka.
Jamaa silaha kali sana kwenye counter. Tupipwe kona, Raya adake amrushie Vieira huku Martinelli au Saka wametoka ndukiii. Mpinzani ahesabu maumivu. Assists zake kwa Martinelli game ya Villa last season na Jesus game ya Manyumbu this season ni ishara kuwa jamaa ana vision kali sana.It takes too long to unlock Fabio's potential
Apate uzoefu na confidence. EPL siyo lelemama.Jürgen Klopp anasema alishangazwa na Arsenal kumtoa kwa mkopo Albert Sambi Lokonga:
“[Albert Sambi] Lokonga unapomwona akicheza na unafikiri, oh - Ni mchezaji wa Arsenal na walimtoa kwa mkopo? Inavutia.”
[kupitia @HaytersTV].View attachment 2910274
Wakati anachukuliwa kuja Arsenal Arteta aliambiwa hapa unamnunua Vieira na AM ndani yake.Jürgen Klopp anasema alishangazwa na Arsenal kumtoa kwa mkopo Albert Sambi Lokonga:
“[Albert Sambi] Lokonga unapomwona akicheza na unafikiri, oh - Ni mchezaji wa Arsenal na walimtoa kwa mkopo? Inavutia.”
[kupitia @HaytersTV].View attachment 2910274
He is very intelligent on top of thatJamaa silaha kali sana kwenye counter. Tupipwe kona, Raya adake amrushie Vieira huku Martinelli au Saka wametoka ndukiii. Mpinzani ahesabu maumivu. Assists zake kwa Martinelli game ya Villa last season na Jesus game ya Manyumbu this season ni ishara kuwa jamaa ana vision kali sana.
All time in premier league history?Kwasasahivi KDB yupo juu Hilo halina ubishi, ila me naamini Odegard ana potential ya kuja kuimbwa zaidi ya KDB
All time in a premier league history?George yupo sahihi