Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 712
- 1,300
Kweli apendaye chongo huita kengezaKDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana
Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.
Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi


