Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nketia anamtoa nani aisee,, maana Combo ya Nell trousard na saka toka msimu wa mwaka jana hua ni mwiba sana wakianza pamoja hao jamaa watatu
Hii Combo labda wapinzani waombee Jesus arudi mapema ila kama front 3 itabaki hivi hivi , tano tano watakula wengi mno
 
Hata wasikutishe ni kawaida yao hawa kima wakikutana na walevi.
Mechi zao za mchekea ndio zinaelekea tamati, wiki ijayo wanakutana na Newcastle lazima wateme bungo, halafu fixture yao ya March, April na May ni mwendo wa kurudisha chenji, mechi 3 za mwisho watakua wanapambana na kina Villa na Spurs kuingia top 4.
1- City
2- Kuku
3- Nyumbu
4- Villa, Spurs na Arsenyau View attachment 2907327
Kwa moto huu tunaopeleka, hiyo mechi ya 27 aprili itakuwa mechi tutakayotambulishwa rasmi kama mabingwa
 
Kuna wale wanaojiita mshabiki wa Arsenal ambao timu ikifungwa au kutoa sare wanakuja na maneno kibao ila sasa mechi ya tano mfululizo timu inashinda tena kwa goli nyingi wako kimyaa hawaonekani. Mnafiki ishi nae kinafiki.
 
Kai Havertz kuhusu UCL na Porto jumatano

"Kwangu, daima itakuwa kumbukumbu nzuri na ninatazamia kwenda huko [Estadio do Dragao] tena.

"Nina kumbukumbu nzuri huko, kila wakati mambo yatakuwa magumu huko lakini ninasubiri kwa hamu na ninatumai tutashinda mchezo.

"Nadhani kila timu inayocheza Ligi ya Mabingwa inataka kushinda na hilo ndilo lengo na sote tunaingia kwenye mashindano haya ili kufika mbali iwezekanavyo.

"Lakini bado unapaswa kuangalia mchezo kwa mchezo, kuna michezo miwili ya kucheza sasa. Jumatano ni ya kwanza, jaribu kushinda na uangalie mchezo mwingine pia."
 
ila Trossard kuna kitu anafanya akiwa false 9 kuliko akiwepo Jesus

Front three ya Nelli Trossard Saka imekuwa ina ushirikiano mzuri sana kuliko akiwepo Jesus ,au mm ndio naona vibaya


Jesus ana bahati sana mechi za UCL ,Toka hata akiwa City
 
KDB apewe heshima yake ila odegard anajua anachokifanya, left footers wana kitu special hasa wale talented.
KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana

Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.

Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
 
KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana

Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.

Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
sio uzoefu tu hata mafanikio KDB kamzidi odegard.
 
Ni kweli bado tunahitaji straiker ama yalikuwa yanahitajika mabadiliko kidogo tu ya kiuchezaji?
1000632182.jpg
 
Kuna wale wanaojiita mshabiki wa Arsenal ambao timu ikifungwa au kutoa sare wanakuja na maneno kibao ila sasa mechi ya tano mfululizo timu inashinda tena kwa goli nyingi wako kimyaa hawaonekani. Mnafiki ishi nae kinafiki.
Kuna mtu alihamia Newcastle kabisa na alikuwa akishinda humu akitumwagia maneno makali na majigambo.
 
KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana

Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.

Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
KDB ana vision kuzidi Odegaard kwenye pasi. Inamsaidia kwenye thru balls na long balls.

KDB ni long shot merchant mzuri kuzidi Odegaard.

Hivi vitu ndiyo kamzidi Odegaard
 
Ni kweli bado tunahitaji straiker ama yalikuwa yanahitajika mabadiliko kidogo tu ya kiuchezaji?
View attachment 2907869
Hao watu tunawahitaji siyo kwavile hakuna wengine ila kwakua tuna michuano miwili ambayo yote tulikua na chance ya kupata chochote.

Angalia benchi letu ukishaweka first XI linavyokosa msuli.
 
Na wote humu hatukuwa na amani kwa sababu hatujaleta vyuma vipya January. So far so good lakini. Tuone kama tutamaliza vizuri hivi
Wiki ijayo mechi ya Ligi tutakuwa na vyuma vimekaa pembeni vinaangalia tukimpa mtu goli tatu za fastafasta...halafu wanaingizwa wakaongeze spidi na mashambulizi zaidi....namzungumzia Partey na Jesus na bwana mdgo ESR....yule Zinchenko ahamishiwe nafasi ya golikipa awe anaingia dakika ya 70 kumpokea Raya...ile namba 3 kule hakumfai tena kuna mtu kazi
 
KDB ana vision kuzidi Odegaard kwenye pasi. Inamsaidia kwenye thru balls na long balls.

KDB ni long shot merchant mzuri kuzidi Odegaard.

Hivi vitu ndiyo kamzidi Odegaard
Odegard yupo more flexible kuliko KDB.

Odegard ni mchezaji mgumu kumpress ukimlinganisha na KDB.

Odegard ana uwezo mkubwa wa kuhold mpira kuliko KDB. KDB mkija wengiwengi anatoa easy pass,.wakati odegard ana uwezo wa kucheza kwenye hilohilo kundi kubwa la wapinzani.

Odegard magoli yake mengi ni mashuti, ndo maana nasema miaka kama 4 mbele akiwa na uzoefu atampita KDB.

Jana KDB Kuna mipira alikuwa anapata anajipigia krosi tu, kwasababu hayupo flexible kama odegard, kupiga krosi ndiyo option yake pekee.

High vision kwenye kupiga pasi inaletwa na uzoefu, lakini hata hizo pasi mnazomsifia KDB mbona odegard anapigaga sana tu, Tena kuna vipasi vifupivifupi vya assist KDB apigagi tatizo wachezaji wetu hawafungi

Odegard akiendelea kucheza hivi, atakapofikisha umri wa KDB itakuwa disaster
 
Wiki ijayo mechi ya Ligi tutakuwa na vyuma vimekaa pembeni vinaangalia tukimpa mtu goli tatu za fastafasta...halafu wanaingizwa wakaongeze spidi na mashambulizi zaidi....namzungumzia Partey na Jesus na bwana mdgo ESR....yule Zinchenko ahamishiwe nafasi ya golikipa awe anaingia dakika ya 70 kumpokea Raya...ile namba 3 kule hakumfai tena kuna mtu kazi
Kabisa. Timu ndogo zikisikia sisi ni next zinatetemeka hatari
 
Back
Top Bottom