Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
One day watu watasema KDB anaingia ×4 kwa Odegard.
Sioni kitu (KDB) alichomzidi Odegard

punguza mahaba kakaOne day watu watasema KDB anaingia ×4 kwa Odegard.
Sioni kitu (KDB) alichomzidi Odegard

punguza mahaba kakaKDB apewe heshima yake ila odegard anajua anachokifanya, left footers wana kitu special hasa wale talented.One day watu watasema KDB anaingia ×4 kwa Odegard.
Sioni kitu (KDB) alichomzidi Odegard
Hii Combo labda wapinzani waombee Jesus arudi mapema ila kama front 3 itabaki hivi hivi , tano tano watakula wengi mnoNketia anamtoa nani aisee,, maana Combo ya Nell trousard na saka toka msimu wa mwaka jana hua ni mwiba sana wakianza pamoja hao jamaa watatu
Kwa moto huu tunaopeleka, hiyo mechi ya 27 aprili itakuwa mechi tutakayotambulishwa rasmi kama mabingwaHata wasikutishe ni kawaida yao hawa kima wakikutana na walevi.
Mechi zao za mchekea ndio zinaelekea tamati, wiki ijayo wanakutana na Newcastle lazima wateme bungo, halafu fixture yao ya March, April na May ni mwendo wa kurudisha chenji, mechi 3 za mwisho watakua wanapambana na kina Villa na Spurs kuingia top 4.
1- City
2- Kuku
3- Nyumbu
4- Villa, Spurs na Arsenyau View attachment 2907327
KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sanaKDB apewe heshima yake ila odegard anajua anachokifanya, left footers wana kitu special hasa wale talented.
Subiri miaka 4 mbele utaelewa namaanisha ninipunguza mahaba kaka
sio uzoefu tu hata mafanikio KDB kamzidi odegard.KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana
Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.
Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
Kuna mtu alihamia Newcastle kabisa na alikuwa akishinda humu akitumwagia maneno makali na majigambo.Kuna wale wanaojiita mshabiki wa Arsenal ambao timu ikifungwa au kutoa sare wanakuja na maneno kibao ila sasa mechi ya tano mfululizo timu inashinda tena kwa goli nyingi wako kimyaa hawaonekani. Mnafiki ishi nae kinafiki.
KDB ana vision kuzidi Odegaard kwenye pasi. Inamsaidia kwenye thru balls na long balls.KDB alichomzidi Odegard ni uzoefu TU, ndo mana nasema miaka kama 4 ijayo, wakati Odegard atakapokuwa mzoefu kama KDB, ukiwalinganisha KDB atakuwa kaachwa mbali sana
Odegard ana vitu vingi kamzidi KDB. KDB alikuwa anafanya nini katika umri wa Odegard. Kumbuka Odegard anagombaniwa na Madrid kipindi hata miaka 15 sijui kama alifikisha.
Sioni anachosifiwa KDB, Odegard ashindwe kufanya, ila Kuna vitu Odegard anafanya KDB hawezi kufanya, mnaishia kusema modern footballer hautakiwi uwe na mambo mengi
Hao watu tunawahitaji siyo kwavile hakuna wengine ila kwakua tuna michuano miwili ambayo yote tulikua na chance ya kupata chochote.Ni kweli bado tunahitaji straiker ama yalikuwa yanahitajika mabadiliko kidogo tu ya kiuchezaji?
View attachment 2907869
Mafanikio ni teamwork kwa pamoja, siyo mchezaji mmojasio uzoefu tu hata mafanikio KDB kamzidi odegard.
Sijui Yuko wapi yule Mwamba🤣🤣🤣...Almiron akupe ubingwa kwli??Kuna mtu alihamia Newcastle kabisa na alikuwa akishinda humu akitumwagia maneno makali na majigambo.
Wiki ijayo mechi ya Ligi tutakuwa na vyuma vimekaa pembeni vinaangalia tukimpa mtu goli tatu za fastafasta...halafu wanaingizwa wakaongeze spidi na mashambulizi zaidi....namzungumzia Partey na Jesus na bwana mdgo ESR....yule Zinchenko ahamishiwe nafasi ya golikipa awe anaingia dakika ya 70 kumpokea Raya...ile namba 3 kule hakumfai tena kuna mtu kaziNa wote humu hatukuwa na amani kwa sababu hatujaleta vyuma vipya January. So far so good lakini. Tuone kama tutamaliza vizuri hivi
Odegard yupo more flexible kuliko KDB.KDB ana vision kuzidi Odegaard kwenye pasi. Inamsaidia kwenye thru balls na long balls.
KDB ni long shot merchant mzuri kuzidi Odegaard.
Hivi vitu ndiyo kamzidi Odegaard
Kabisa. Timu ndogo zikisikia sisi ni next zinatetemeka hatariWiki ijayo mechi ya Ligi tutakuwa na vyuma vimekaa pembeni vinaangalia tukimpa mtu goli tatu za fastafasta...halafu wanaingizwa wakaongeze spidi na mashambulizi zaidi....namzungumzia Partey na Jesus na bwana mdgo ESR....yule Zinchenko ahamishiwe nafasi ya golikipa awe anaingia dakika ya 70 kumpokea Raya...ile namba 3 kule hakumfai tena kuna mtu kazi