Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 563
- 856
Jogoo yupo serios utani pembeni
Chelsea wanarukaruka tu, hamna kitu wanacheza.Jogoo yupo serios utani pembeni
hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku
Jogoo amekupasua makalio
Hii kwa Liverpool ndio huwa tunaita " vurugu yenye muundo " a controlled chaos , jinsi wanavyocheza Liverpool hawapotezi muda na mpira kupiga pasi zaidi ( extra passes ) bali wanaangalia space ilipo na kuachia pasi ya mbele haraka sana , ngumu sana kukabiliana nayo
Liverpool walikuwa wanabadilisha muundo wanapokuwa na mpira kutokana na jinsi wanavyokuwa wanazuia bila mpira
Baada ya hapo ilikuwa Liverpool tu wenyewe wanataka kufunga magoli mangapi maana spaces walipata za kutosha , mpira ulitembea kwa haraka sana , movements sahihi zilifanyika , nafasi zilitengenezwa nzuri .
Pochettino alipoamua kubadilisha mfumo kutoka 4-3-2-1 na kuwa 4-3-3 baada ya kuingia kwa Chukwuemeka na false 9 kuwa Nkunku ndio uliona Chelsea wanafika mbele kwa mipango , kuwafanya Liverpool kuzuia eneo kubwa zaidi la uwanja ( Sterling na Mudryk kuutanua uwanja pembeni ) ili Palmer na Chukwuemeka wapate space ya kuchezesha timu . 





Mambo vipi, uko poa?hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku
Nimerudi mkuu baada ya kimya cha maumivu ya vipigo...Sasa unaweza kutoa maneno yako yte ya shombo...manaa j2 tuna jambo letu na wale kuku wa vishingoMambo vipi, uko poa?
hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku
Fanyeni usajili, bado masaa matatu, nyie endeleeni tu na tararira za kina Nketia.Sijaelewa ni kwanini Arteta hakuona vitu alivyonavyo Marquinhos to the extent that he has let him leave the club
Big no.. msmu huu patupu tena,,Ushindi wa juzi.
Chansi tulizokosa.
Kisha Arteta anasema hatuna mpango wa kusajili.
Tuna msimu wa kuchukua kombe?
Shida chel kalio, mna Kelele za kiwaki😄🤣hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku
Kenge FC wanaupumbavu wa asili, kitu ambacho ni kigumu kukubali
Uyu jamaa sijui anashida gani, sijawahi kumuona kapata injury ya kugongana kabisa na mchezaji ila ni yeye tu pekeake.pancha tenaView attachment 2892721
Anaonekana haishi ki professional....Ronaldo de Lima...Wilshere ni type ya aina hyo ya wachezaji....hata dirisha kubwa kumuuza itakuwa kwa bei ya chini sana maana watu washaona huu ni mkebeUyu jamaa sijui anashida gani, sijawahi kumuona kapata injury ya kugongana kabisa na mchezaji ila ni yeye tu pekeake.
Alafu ndo kipindi tunamuhitaji zaidi
Kweli mkuu au unatania??Duuh!!!pancha tenaView attachment 2892721