Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

HUYO HAPO DANI ALVES .! ( Amewa cook MIGOS )

Hii kwa Liverpool ndio huwa tunaita " vurugu yenye muundo " a controlled chaos , jinsi wanavyocheza Liverpool hawapotezi muda na mpira kupiga pasi zaidi ( extra passes ) bali wanaangalia space ilipo na kuachia pasi ya mbele haraka sana , ngumu sana kukabiliana nayo

Liverpool walikuwa wanabadilisha muundo wanapokuwa na mpira kutokana na jinsi wanavyokuwa wanazuia bila mpira

1: Kuna nyakati wanakuwa 3-2-2-3 endapo Chelsea watazuia kwa 4-4-2 , na 2-3-5 endapo Chelsea wakizuia kwa 4-5-1

2: Msingi wa muundo huu ni Bradley : Kivipi ? Yeye ndio alikuwa anasogea juu zaidi kama winga kumruhusu Jota kutoka kulia na kuingia ndani kutengeneza namba 10 wawili na Jones ( nyuma wanabaki watatu Konate VVD na Gomez ) mbele yao Szobo na Mac Allister

3: Bila mpira haraka sana Liverpool wanafanya pressinf kwa 4-1-4-1 : Maca anabaki kwenye namba 6 peke yake : Dhumuni kubwa ni kuwanyima uhuru Caicedo na Enzo kupokea mali na kufunga njia ya pasi kwa Palmer , Gallagher na Sterling

Baada ya hapo ilikuwa Liverpool tu wenyewe wanataka kufunga magoli mangapi maana spaces walipata za kutosha , mpira ulitembea kwa haraka sana , movements sahihi zilifanyika , nafasi zilitengenezwa nzuri .

Pochettino alipoamua kubadilisha mfumo kutoka 4-3-2-1 na kuwa 4-3-3 baada ya kuingia kwa Chukwuemeka na false 9 kuwa Nkunku ndio uliona Chelsea wanafika mbele kwa mipango , kuwafanya Liverpool kuzuia eneo kubwa zaidi la uwanja ( Sterling na Mudryk kuutanua uwanja pembeni ) ili Palmer na Chukwuemeka wapate space ya kuchezesha timu .

NOTE

1: Darwin Nunez na mahaba yake kugongesha mwamba

2: Diogo Jota ni mchezaji ambaye yupo smart sana . Mjanja sana

3: Badiashile ? Disasi ? Chilwell ? Daah

4: Petrovic anapunguza sana idadi ya magoli : Good GK

5: Chelsea nafikiri walipaswa kupata penati angalau moja leo

6: Finishing ya Nkunku : Classy

7: Mac Allister kapiga shilingi sita leo ya kiufundi sana, anatema mate kushoto anafukia kulia .

8: BRADLEY ..! Muda wa TAA kuhamia kwenye kiungo mazima sasa .! Katika mechi 4 alizocheza mpaka sasa amechangia magoli 6 .

AMBANGILE
 
hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku

BANGE.jpg
 
Sijaelewa ni kwanini Arteta hakuona vitu alivyonavyo Marquinhos to the extent that he has let him leave the club
Fanyeni usajili, bado masaa matatu, nyie endeleeni tu na tararira za kina Nketia.
 
Ushindi wa juzi.

Chansi tulizokosa.

Kisha Arteta anasema hatuna mpango wa kusajili.

Tuna msimu wa kuchukua kombe?
 
Ushindi wa juzi.

Chansi tulizokosa.

Kisha Arteta anasema hatuna mpango wa kusajili.

Tuna msimu wa kuchukua kombe?
Big no.. msmu huu patupu tena,,
Kaka I can say another hope season.

Daah no strike no winger.
 
Uyu jamaa sijui anashida gani, sijawahi kumuona kapata injury ya kugongana kabisa na mchezaji ila ni yeye tu pekeake.

Alafu ndo kipindi tunamuhitaji zaidi
Anaonekana haishi ki professional....Ronaldo de Lima...Wilshere ni type ya aina hyo ya wachezaji....hata dirisha kubwa kumuuza itakuwa kwa bei ya chini sana maana watu washaona huu ni mkebe
 
Back
Top Bottom