Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Sasa hivi vitafunguka
Lazima Awonyi atufunge, ni lazima
Tupo nyuma yenu Leo.hii takataka bado ipo? Angalieni hapo badae tunavyo mnywa livakuku
Listen .! Najua kazi ya namba 9 / straika ni kuweka mpira wavuni ( na katika timu kubwa ndio rada inakuwa kubwa sana kwako kufunga mara kwa mara ) ... So Yes najua hilo ni eneo ambalo Gabriel Jesus anatakiwa kuboresha ( ana miaka 26 sasa )
But kuna vitu anafanya uwanjani ... vinakunyanyua kwenye siti yako au vinakuacha mdomo wazi na pengine Arsenal wanahitaji namba 9 mwingine ili Jesus atumike eneo lingine la uwanja ( Kulia au kushoto pembeni )
) 


umempa time frame ganii???.Mashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
wanaojaa kwenye majukwaa na page za arsenal kusema arteta wengi ni mashabiki wa mwantesa united na khali hii inaitwa punyeto ya fikra. tulikua worse kuliko misimu hii michache tafteni video uone dressing rooms za arsenal zilivyokua na ugomvi .mnasema arteta hatupi chochote ni sawa nyie tenhug anawapa niniii???. mtazidi kulia kila siku glazzers out na kuja kuitafta faraja kwa kuisema GunnersNi vizuri false hopers wakipata matumaini kidogo..
Ameuzwa permanent au??Sijaelewa ni kwanini Arteta hakuona vitu alivyonavyo Marquinhos to the extent that he has let him leave the club
Ameuzwa permanent au??
Dogo hamna kitu yule nimeangalia almost game zake wakat yupo Norwich cityLoan lakini kuna dalili ndio bye bye, bahati mbaya nilikuwa namuona kama ana vitu miguuni
Loan lakini kuna dalili ndio bye bye, bahati mbaya nilikuwa namuona kama ana vitu miguuni