Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Havertz has shown promise on occasions since moving to North London but he has not provided what the money attached to him demands.
He earns £275000 per week, being the highest earner at Arsenal
 
.

Listen .! Najua kazi ya namba 9 / straika ni kuweka mpira wavuni ( na katika timu kubwa ndio rada inakuwa kubwa sana kwako kufunga mara kwa mara ) ... So Yes najua hilo ni eneo ambalo Gabriel Jesus anatakiwa kuboresha ( ana miaka 26 sasa )

But kuna vitu anafanya uwanjani ... vinakunyanyua kwenye siti yako au vinakuacha mdomo wazi na pengine Arsenal wanahitaji namba 9 mwingine ili Jesus atumike eneo lingine la uwanja ( Kulia au kushoto pembeni )

1: Dribbling ( mpira unakuwa karibu sana na kiatu chake sio chumba kizima )

2: Workrate yake akiwa uwanjani ( anakupa 100%)

3: Uwezo wake wa kuvuruga muundo wa ulinzi wa timu pinzani ( destabilization) kwa :- Movements, Flicks , Dribbling , Pace

4: Kuna hii ambayo naamini wengi wanachukulia poa , Jesus ana uimara mzuri wa kimwili kukabiliana na challenges / mipambano ( duels ) dhidi ya mpinzani wake

Kiufupi General Play yake ipo katika level nzuri sana ngumu kuifumbia macho :

VITU AMBAVYO VIPO HASI KWAKE

1: Majeraha
2: Umaliziaji wake sio wa ufanisi sana akipata nafasi

NOTE

Leo najua mashabiki wengi wa Arsenal watakuwa wanadumisha undugu wa jiji moja la London na Chelsea

Baada ya wao jana kuwafundisha Man United jinsi gani ya kumfunga Notts Forest katika uwanja wao .!

Ila yule AWONIYI , Arsenal mkae chini mmalize tofauti zenu . Ameshafanya kuwafunga Arsenal kama kitu cha kawaida , halafu kumuweka Saliba pembeni vile na kuuwa mali chini na kutumbukiza kambani ndio tabia gani ile ?

AMBANGILE
 
Ni vizuri false hopers wakipata matumaini kidogo..
wanaojaa kwenye majukwaa na page za arsenal kusema arteta wengi ni mashabiki wa mwantesa united na khali hii inaitwa punyeto ya fikra. tulikua worse kuliko misimu hii michache tafteni video uone dressing rooms za arsenal zilivyokua na ugomvi .mnasema arteta hatupi chochote ni sawa nyie tenhug anawapa niniii???. mtazidi kulia kila siku glazzers out na kuja kuitafta faraja kwa kuisema Gunners
 
Sijaelewa ni kwanini Arteta hakuona vitu alivyonavyo Marquinhos to the extent that he has let him leave the club
 
Back
Top Bottom