Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Very true.Mashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Very true.Mashabiki wenzangu wa arsenal msitegemee chochote chini ya arteta.
Nimesikia badala ya kununua midfield waliamua kumfanyia Partey surgery Ili awe fit muda mrefu + strikers hela ndefuHivi dirisha hili ndio kusema Arsenal hatuna upungufu kikosini?
Endelea kukariri. screenshot kabisa uwe unajikumbusha huko mbele, msije sema hatukuwaambiaAsenyetoz mna roho ngumu sana , na imani ya kuhamisha milima kwa hakika mnayo
Kwamba asenyetoz mnaenda kudominate league Kwa miaka 10+ au sio ?
Hi hii ligi ya EPL aka ipielo au mnaongelea ligi ya ndondo cup ? ,aiseee ,
False hopers WA Arsenyetoz mna ulimwengu wenu wa kipekee mnaoishi
Daraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?Tunaomba radhi AFCON ilituweka busy tukachelewa kuwawekea matokeo haya.
Baada ya kutukana mtuambie nyie mnacheza limi FA.
Daraja la pili sijui la tatu huko, na manyumbu yameweka first elevenDaraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?
Iwe kheriNotigam apigwe mkono tu unawatosha
Kazini kwetu kuna kaziForest wanajilinda vizuri sana leo
Mtihani haswaKazini kwetu kuna kazi
Ni kuendelea kuwakandamiza upande wao kuzidi kuwachosha.. dk ya 75 unaleta hao, labda na nelson kwa smith rowe, saka na martinelli. Inategemea pia forest watafanya sub ganiN. Forest wamekua wabishi mno mno
Kai na Trossad anahitajika Sana, sijajua amtoe Nani na nani