HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
Daraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?Tunaomba radhi AFCON ilituweka busy tukachelewa kuwawekea matokeo haya.
Baada ya kutukana mtuambie nyie mnacheza limi FA.
Daraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?Tunaomba radhi AFCON ilituweka busy tukachelewa kuwawekea matokeo haya.
Baada ya kutukana mtuambie nyie mnacheza limi FA.
Daraja la pili sijui la tatu huko, na manyumbu yameweka first elevenDaraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?
Iwe kheriNotigam apigwe mkono tu unawatosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Notigam apigwe mkono tu unawatosha
Kazini kwetu kuna kaziForest wanajilinda vizuri sana leo
Mtihani haswaKazini kwetu kuna kazi
Ni kuendelea kuwakandamiza upande wao kuzidi kuwachosha.. dk ya 75 unaleta hao, labda na nelson kwa smith rowe, saka na martinelli. Inategemea pia forest watafanya sub ganiN. Forest wamekua wabishi mno mno
Kai na Trossad anahitajika Sana, sijajua amtoe Nani na nani