Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asenyetoz mna roho ngumu sana , na imani ya kuhamisha milima kwa hakika mnayo
Kwamba asenyetoz mnaenda kudominate league Kwa miaka 10+ au sio ?
Hi hii ligi ya EPL aka ipielo au mnaongelea ligi ya ndondo cup ? ,aiseee ,
False hopers WA Arsenyetoz mna ulimwengu wenu wa kipekee mnaoishi
Endelea kukariri. screenshot kabisa uwe unajikumbusha huko mbele, msije sema hatukuwaambia
 
Tunaomba radhi AFCON ilituweka busy tukachelewa kuwawekea matokeo haya.
Baada ya kutukana mtuambie nyie mnacheza limi FA.
Daraja la ngapi hawa newport na wamewezaje kupiga mabao mawili?
 
Arsenal XI: Raya, White, Saliba, Gabriel, Zinchenko, Rice, Odegaard, Smith-Rowe, Saka, Jesus, Martinelli.

Subs: Ramsdale, Kiwior, Soares, Walters, Jorginho, Trossard, Havertz, Nelson, Nketiah.
 
N. Forest wamekua wabishi mno mno
Kai na Trossad anahitajika Sana, sijajua amtoe Nani na nani
 
N. Forest wamekua wabishi mno mno
Kai na Trossad anahitajika Sana, sijajua amtoe Nani na nani
Ni kuendelea kuwakandamiza upande wao kuzidi kuwachosha.. dk ya 75 unaleta hao, labda na nelson kwa smith rowe, saka na martinelli. Inategemea pia forest watafanya sub gani
 
Back
Top Bottom