Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility akamalizia na zile story za Super Computer hua anaikusanya na kuiteka misukule mingi sana humu.
Jamaa hua linajua sana kucheza na akili za mafalse hopers ya humu, tena wale chawa wake kina arsenal2004 na mkorea ndio huwaambi kitu kuhusu Masingeli maana kashawaamisha kua yeye ni Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app


Mimi naamini kai ni mchezaji mzuri, tatizo la kushindwa kumaliza nafasi ni jambo la confidence zaidi, baada ya muda atakuwa sawa. Na ningependa aendelee kucheza CF.Nadhani tunahitaji sana kuongeza uwezo wa kushambulia space hasa tunapokuwa na mpira.harvets sio mbaya ila wote tubakubaliana hana uzuri tunaouhitaji.
Fezi foo inapotea ivi ivi tunakaribia fezi faivuuuAngalau umekuja kuwachambulia wenzio wajue wapi timu ilikosea.
Ila jamaa mnamtukana bure tu ila ameandika ukweli.
Ila msisingizie fatigue
Hata sisi wachezaji wetu wanachoka.
Unajua boli brother, you will laugh last, moja ya watu wanaokuponda humu ni Man utd na wengine ni Man u wenye akaunti za Arsenal, inshort wanaokupinga ni wapinzani na wengi ni manyumbu.Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1
Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing
Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals
Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu
Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu
Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo
Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari
Amigos
Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility akamalizia na zile story za Super Computer hua anaikusanya na kuiteka misukule mingi sana humu.
Jamaa hua linajua sana kucheza na akili za mafalse hopers ya humu, tena wale chawa wake kina arsenal2004 na mkorea ndio huwaambi kitu kuhusu Masingeli maana kashawaamisha kua yeye ni Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app

Ofcoz mkuu ili ndo jukwaa letu la comedy.. Kwa sbb anachokifanya hakina tofaut na comedy tunafurah uwepo wake.
Na hii ndio asenali,arteta kashajichanganya na ataendelea kujichanganya,
Ngoja asisajili kama anavyotaka wamrarue mpaka ashangae....
Wazee wa feziiii hii fezi ya ngap vile?
Kiwia,nelson,elneny,nketiah n kama nyanya za nyongeza tu![]()




Ofcoz mkuu ili ndo jukwaa letu la comedy.. Kwa sbb anachokifanya hakina tofaut na comedy tunafurah uwepo wake.
Na mbio zake uwa nyng sana team ikikosa muelekeo![]()
Original comedyMimi naamini kai ni mchezaji mzuri, tatizo la kushindwa kumaliza nafasi ni jambo la confidence zaidi, baada ya muda atakuwa sawa. Na ningependa aendelee kucheza CF.
Huwezi kunishawishi kwamba una jicho la kimpira kuzidi recruitment team za Madrid, Bayern na Arsenal waliomuhitaji.Boss hajawahi kuwa mzuri na hatokuja kuwa mzuri.
Pale alipo ndiyo uwezo wake ule hana atakachoongeza