Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani tunahitaji sana kuongeza uwezo wa kushambulia space hasa tunapokuwa na mpira.harvets sio mbaya ila wote tubakubaliana hana uzuri tunaouhitaji.
 
Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility akamalizia na zile story za Super Computer hua anaikusanya na kuiteka misukule mingi sana humu.
Jamaa hua linajua sana kucheza na akili za mafalse hopers ya humu, tena wale chawa wake kina arsenal2004 na mkorea ndio huwaambi kitu kuhusu Masingeli maana kashawaamisha kua yeye ni Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.




Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani tunahitaji sana kuongeza uwezo wa kushambulia space hasa tunapokuwa na mpira.harvets sio mbaya ila wote tubakubaliana hana uzuri tunaouhitaji.
Mimi naamini kai ni mchezaji mzuri, tatizo la kushindwa kumaliza nafasi ni jambo la confidence zaidi, baada ya muda atakuwa sawa. Na ningependa aendelee kucheza CF.
 
Ukiachana na Kutengeza XG karibu 6.7 kwenye match 3 zilizopita ila tumefunga goal 1

Hoja yangu Leo ipo hapa Arsenal Siraha yao kubwa wakiwa hawana mpira ni Aggressive Man to pressing

Ndio Msingi mkubwa kujilinda Arsenal sasa endapo mpinzani akifanikiwa Kubeat hii press uwa tunakuwa kwenye hatari kubwa kuruhusu Goals

Tunapunguza Threats za mpinzani endapo anacheza mpira wa pass fupi fupi hapa kubeat press yetu uwa ni ngumu

Ila Mpinzani akianza tumia mipira mirefu hapa tunapata shida sana kujilinda Angalia game jana Second half Liver walivyo anza piga mipira mirefu

Walifanikiwa sehemu kubwa kubeat press yetu hivyo basi tunatakiwa kufanyia kazi kiulinzi pia namna kujilinda kwenye Transitions za namna hiyo

Mwisho tujitathimin Najua pengine fatigue sababu UCL uwa hakuna rotation kama Europa wachezaji wamecheza game nyingi mfululizo wale wale ila tunatakiwa badilika mashambulizi yetu yasiwe machachari yawe hatari

Amigos
Unajua boli brother, you will laugh last, moja ya watu wanaokuponda humu ni Man utd na wengine ni Man u wenye akaunti za Arsenal, inshort wanaokupinga ni wapinzani na wengi ni manyumbu.
 
Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility akamalizia na zile story za Super Computer hua anaikusanya na kuiteka misukule mingi sana humu.
Jamaa hua linajua sana kucheza na akili za mafalse hopers ya humu, tena wale chawa wake kina arsenal2004 na mkorea ndio huwaambi kitu kuhusu Masingeli maana kashawaamisha kua yeye ni Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.




Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Ofcoz mkuu ili ndo jukwaa letu la comedy.. Kwa sbb anachokifanya hakina tofaut na comedy tunafurah uwepo wake.

Na mbio zake uwa nyng sana team ikikosa muelekeo
 
Au machizi mmeturoga?
IMG-20240108-WA0004.jpg
 
Kiukweli form ya arsenal ilikuwa upepo tu umemkalia vizuri Arteta kama ulivyomkubali Ole hadi akashika nafasi ya 2.
Arteta kaiba vimbinu vichache vya Pep kaona tayari ni mjuvi, sasa wahuni washajua namna ya kudeal naye anatamani arudi City akawe msaidizi wa Pep tu.
 
Back
Top Bottom