Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Tuliwaambia hapa mapema tu Xhaka hakutakiwa kuuzwa, timu ya msimu uliopita angeongezwa Rice mngetisha. Ila mkaamua kuuza Xhaka mkanunua Havrtz mzee wa mipira ya juu.Nadhani tunahitaji sana kuongeza uwezo wa kushambulia space hasa tunapokuwa na mpira.harvets sio mbaya ila wote tubakubaliana hana uzuri tunaouhitaji.
Nafikiri xhaka kuuzwa sio shida kwakuwa alikuwa anahitaji kutoka,ila inshu ni namna arteta alivyoamua kufanya sajili ya kumrithi xhaka hapo ndio 😂😂😂.....Tuliwaambia hapa mapema tu Xhaka hakutakiwa kuuzwa, timu ya msimu uliopita angeongezwa Rice mngetisha. Ila mkaamua kuuza Xhaka mkanunua Havrtz mzee wa mipira ya juu.
Hata Pepe alichukuliwa na hiyo hiyo recruitment team y Arsenal, wamesomea lakini wao sio kwamba ni mungu. Kwa Kai kubalini tu mmejambia Anga. achaneni huyu muhuni anaewadanganya eti kai anasaidia mipira y juu.Huwezi kunishawishi kwamba una jicho la kimpira kuzidi recruitment team za Madrid, Bayern na Arsenal waliomuhitaji.
ARteta mwenyewe uwezo mdogo, bora wangebak na Unai kuliko huyu tapeli.Naf
Nafikiri xhaka kuuzwa sio shida kwakuwa alikuwa anahitaji kutoka,ila inshu ni namna arteta alivyoamua kufanya sajili ya kumrithi xhaka hapo ndio 😂😂😂.....
Sasa hivi hana ujanja ana wachezaji wengi wa kawaida na wale anaowategemea wamekuwa wa kawaida 😂😂😂....
Ukocha kazi ngumu sanaaaa maana sasa hivi akifeli n amejimaliza mwenyewe
Una uhakika Madrid walimhitaji?au unasoma transfer rumours na kuziamini 100 💯?...ma agents sometimes Wana leak habari za uongo na hata kulipa waandishi hela WA push story za uongo ili kuuza wachezaji......ni biashara kubwa Sana hiyoHuwezi kunishawishi kwamba una jicho la kimpira kuzidi recruitment team za Madrid, Bayern na Arsenal waliomuhitaji.


SawaMakombe tuliyobak sasa ndo yalikua malengo yetu ya msimu huu. IpiElo na usiElo.
Wana Gunners wenzangu vikombe vya Mbuzi msimu huu hatutak tunabeba ndoo za maana
COYG![]()
Nilijua toka mwanzo kuna mtu atauliza swali kama hili, hii pekee inatosha kutoendeleza mjadala, unataka uhakika upi kama credible sources zilileta hizo habari?Una uhakika Madrid walimhitaji?au unasoma transfer rumours na kuziamini 100?...ma agents sometimes Wana leak habari za uongo na hata kulipa waandishi hela WA push story za uongo ili kuuza wachezaji......ni biashara kubwa Sana hiyo
Reality pains.watainjoiAll the rival fans enjoy when the Arsenal lose a match, nimegundua kwamba they get scared about us.
All the rival fans enjoy when the Arsenal lose a match, nimegundua kwamba they get scared about us.
sasa si ndio utoe hizo credible sources ili umthibitishie! kukimbia mjadala ndio itathibitisha madai yake kuwa taarifa zako ni za uchochoroniNilijua toka mwanzo kuna mtu atauliza swali kama hili, hii pekee inatosha kutoendeleza mjadala, unataka uhakika upi kama credible sources zilileta hizo habari?
Sinaga huo utoto, nowadays ni nadra sana kunikuta kwenye thread za timu pinzani, huo muda ni bora nijifunze ni kwanini timu husika either Arsenal/Spurs/ Man city wamepoteza mechi kuliko kukaa kurusha vijembe kwenye thread.Kwani wakipoteza Chelsea, Liverpool au Manchester United wewe hufurahi? Kwahiyo nawewe unawaogopa au?
Acheni kujitungia useless stories kila Timu inafurahia anguko la mwenzake musitake kujifanya mimi special.