Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,497
- 2,218
Nakuelewa, kweli bahati imeshachafuka. Pep ajipangeWangekuwa hawako serious wasingekuwa wanambutulia mashuti kipa wa Luton🤠🤠🤠...ni kwmba tu mpk Sasa Hali ya bahati imeshachafuka...vile vitoto vina mbinu za kimafia....kipara abadilike vngnevyo misiba ya jana itatawala na majukwaa Yao leo
