Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wangekuwa hawako serious wasingekuwa wanambutulia mashuti kipa wa Luton🤠🤠🤠...ni kwmba tu mpk Sasa Hali ya bahati imeshachafuka...vile vitoto vina mbinu za kimafia....kipara abadilike vngnevyo misiba ya jana itatawala na majukwaa Yao leo
Nakuelewa, kweli bahati imeshachafuka. Pep ajipange
 
Wangekuwa hawako serious wasingekuwa wanambutulia mashuti kipa wa Luton🤠🤠🤠...ni kwmba tu mpk Sasa Hali ya bahati imeshachafuka...vile vitoto vina mbinu za kimafia....kipara abadilike vngnevyo misiba ya jana itatawala na majukwaa Yao leo
😂😂😂😂
 
Wanasema tuna mdomomdomo sana ndo maana mkuu🤠🤠🤠...yaani sasahv hata kubdroo hatutakiwi
Muache kidomodomo ,ligi ya epl ni ngumu sana sasa hivi
Sio farmers league hii kama enzi zile za Ferguson mpaka mnatabiri nani bingwa
We huoni mpaka Luton kakaza huko ?
Kila mechi ya epl sasa hivi ni kama fainali ya UEFA vile , kila mtu kaota sharubu
Hutakiwi kumdharau opponent hata kidogo
 
Ushindi sasa hivi ni mpaka ubane kalio haswaa , si wenyewe tushanyukwa huko na Everton na hii mechi naona kabisa hamna kutoboa jinsi hawa madogo wanavyoruka ruka kama ngedere humo uwanjani
 
Hivi ile penati aliyopewa crystal palace(mateta) faulo yake inautofauti gani na aliyofanyia gabriel jesus?
 
Westham akipata mwekezaji msimu huu, misimu miwili mbele atakua nyukesto ya sasa
 
Westham akipata mwekezaji msimu huu, misimu miwili mbele atakua nyukesto ya sasa
Sana ,ni moja kati ya timu zilizoperform vizuri sana msimu so far
Surprise package .
Na wanaubonda haswa , ni moja kati ya timu ambazo ukikutana nao lazima ujipange la sivyo wanakubonda
 
Nyukesto wakiona wanazidiwa hua wanapaki basi, sielewi kwanini hawajamfanyia hivyo Spurs
 
Back
Top Bottom