Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huko Dubai tumeenda kufanya mazoezi ya kupiga mashuti, a.k.a madongo. Tukirudi makipa wenu wajiangalie vizuri. Ni madongo kwenda mbele. Yani wasipokiwa makini hata Raya na Rambo watashinda
 
Kenge zijiandae

Tupo Dubai kuweka mambo sawa 🔥🔥🔥
20240112_125412.jpg
 
Nimeona taarifa kuwa Arsenal wanatafuta FB, Ben white ni mchezaji mzuri sn lakini binafsi naamini toka zamani Ben white hafit kwenye ile position, Ben white ni CB, kama tukipata fb mzuri km Anorld kwenye ule upande wa RHS kutakuwa na magoli mengi sana, imani yangu ni kama tacticos wengi wa twitter wanavyofikiri, japo wao wanalalamika kwamba Ø aondolewe kwenye that RCM position, na fact yao ni kwamba hawezi ku overlapp hivyo ana limit Saka's potential on that side, mimi pia nakubali kwa principle moja kama utambakiza Ø basi White aondolewe atafutwe mtu anayepiga cross nzuri na km Ø anatoka basi ikitokea white anabaki km Fb hakuna shida.
 
Nimeona taarifa kuwa Arsenal wanatafuta FB, Ben white ni mchezaji mzuri sn lakini binafsi naamini toka zamani Ben white hafit kwenye ile position, Ben white ni CB, kama tukipata fb mzuri km Anorld kwenye ule upande wa RHS kutakuwa na magoli mengi sana, imani yangu ni kama tacticos wengi wa twitter wanavyofikiri, japo wao wanalalamika kwamba Ø aondolewe kwenye that RCM position, na fact yao ni kwamba hawezi ku overlapp hivyo ana limit Saka's potential on that side, mimi pia nakubali kwa principle moja kama utambakiza Ø basi White aondolewe atafutwe mtu anayepiga cross nzuri na km Ø anatoka basi ikitokea white anabaki km Fb hakuna shida.

Ww angalau unachambua
 
Nimeona taarifa kuwa Arsenal wanatafuta FB, Ben white ni mchezaji mzuri sn lakini binafsi naamini toka zamani Ben white hafit kwenye ile position, Ben white ni CB, kama tukipata fb mzuri km Anorld kwenye ule upande wa RHS kutakuwa na magoli mengi sana, imani yangu ni kama tacticos wengi wa twitter wanavyofikiri, japo wao wanalalamika kwamba Ø aondolewe kwenye that RCM position, na fact yao ni kwamba hawezi ku overlapp hivyo ana limit Saka's potential on that side, mimi pia nakubali kwa principle moja kama utambakiza Ø basi White aondolewe atafutwe mtu anayepiga cross nzuri na km Ø anatoka basi ikitokea white anabaki km Fb hakuna shida.
Odegard akae position gani? Au aondolewe kabisa?

Nketiah huyu dogo ndio untouchable?
 
They hate when a genius speaks about us, when pep talks about Arsenal they say its a mind games! You're a fool and you know nothing, just keep your mouth shut!
IMG_20240113_212946_349.JPG
 
Back
Top Bottom