Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
yaani naingia home tu ktoka mzigoni namuona Gervinho anatikisa nyavu.....Raaaaaaaaaaha sana.... inakuaje wadau??? Bila kusahau haterz ambao hamkauki katika hii thread mambo vp??? Pilika za maisha ni aje??? karibuni tuwe pamoja katika kupata burudani.....Hahahahahahahhhaaaa
Wee ndo kumbe umeniovateki pale mataa kwa vurugu kuja kuwai apa?...lol!
Na mm nafika hm Ngeleja anachukua Megawatt zake...hii sio haki wajameni.