Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Finally at last..........Nilikua najiuliza whwn will this guy score for ARSENAL.... he looked so nice in RED and WHITE while scoring......
 
Arteta goal .... .... ... 1 - 2 Ramsey a provider ... ..
 
Nafasi tunayopewa na blackburn upande wa kushoto ilitakiwa tuwe na magoli mengi sana kabla hawajafanya mabadiliko.
 
gervinho was mean kiana pale.... RVP alikua ana nafasi ya kufunga than him.......
 
hahahaha! Govi-hno is sh!t sometimes! Hilo si lilikuwa goli kwa van Pussy!
 
Tumemiliki possession asilimia kubwa na tukiendelea hivi hawa Blackburn watachoka dakika za mwisho-mwisho tutaingiza Walcoltt atawamaliza, Koscielny yupo slow kidogo na Gervinho nae anajituma ila maamuzi yake wakati mwengine sio sahihi, kama mara mbili hivi alikuwa apasie square pass kwa RVP yeye alijaribu kufunga mwenyewe. Leo Arshavin anajitahidi sana
Sijamalizia kuandika Arteta ametuinua safi sana

Mkuu nafasi tunayopewa na Blackburn kule, Walcott leo angejitesea sana.
 
Sisi waafrika ufisadi everywhere.... Tuna umimi sana.............Sijui yeye kama asingepewa pande na Song angefungaje....

Anaboa sana, tulitakiwa tuwe na magoli kama manne sasa hivi.

I hope Blackburn wataendelea kumuacha beki wao wa kushoto manake anatusaidia sana.
 
Anaboa sana, tulitakiwa tuwe na magoli kama manne sasa hivi.

I hope Blackburn wataendelea kumuacha beki wao wa kushoto manake anatusaidia sana.
Nadhani ana-mind extra bonus ya kufunga mabao mengi, ile-ile kibongo-bongo kama sio uroho wake ilikuwa tunaenda mapumziko tukiwa tumeshafunga biashara, itabidi Professa umbadilishe huyu kijana ajue umuhimu wa team work.
 
Sisi waafrika ufisadi everywhere.... Tuna umimi sana.............Sijui yeye kama asingepewa pande na Song angefungaje....


hahahaha, that's good one....ooh wait, nilifikiri Song nae ni mwafrika!!
 
kila nikiangalia EPL table Roho inauma kimtindo.... GD -6????? Still tunapoteza nafasi za wazi kabisa za kutuwezesha kufanya GD ipande kiaina......
 
Aaaaaaaaaaaaah Govihilo ni wakutoa nje kabisa yaani gemu ya leo mlitakiwa msend message.............ukuta wa rovers unavuja tu.
 
Aaaaaaaaaaaaah Govihilo ni wakutoa nje kabisa yaani gemu ya leo mlitakiwa msend message.............ukuta wa rovers unavuja tu.

Taratibu braza, ila ma striker wanakimsemo cha kua lazima wawe wachoyo!

Ila kama Gerv angetoa pasi, labda lingekua la 3.

Ila defence yetu wazee inavuja!

1:2 Haitoshi kabisa, kamoyo kadunda mno!
 
Very good strategy from the boys. Concentrate on your game and score goals .... ... ..
 
Nadhani ana-mind extra bonus ya kufunga mabao mengi, ile-ile kibongo-bongo kama sio uroho wake ilikuwa tunaenda mapumziko tukiwa tumeshafunga biashara, itabidi Professa umbadilishe huyu kijana ajue umuhimu wa team work.

Tatizo la Wenger mgumu sana kufanya mabadiriko on time.
 
Back
Top Bottom