<br />Beki inajituma sana wachezaji wachache tu wanahitaji ku improve, Walcott na Gervinho wanapoteza sana mpira.<br />
<br />
Arteta uzuri wake ana kaba na anajua kujituma. Wilshere akirudi itamsaidia Arteta kuwa more offensive.
Tuko pamoja.kwa ufupi arsenal jana wamepiga mpira ingawa walikuwa away.... timu inatia matumaini... kuna watu walimsema saana arteta .... naona anawaonesha kwamba sivyo kama walivyomfikiria... theo... hawezi kucheza winger ...
<br />
<br />
dah, walcott sijui nini kimemsibu gemu mbili hizi zlizopita..anakuwa mzuri anapoingia kama sub..now it's a time mzee awe anatumia foward mbili mbele yaani rvp + park.. (4-4-2)
naona wacha1 kausajili kamefanya kazi naona benouyun anapiga kazi kuliko alikuwa chelski na looserpool.
mkuu hivi uefa ya mwaka ikoje naona kila timu zimejidhatiti maana mpaka sasa magoli mengi ni mawili tu kingine ni droo tu..
Kila timu imefanya usajili chichi tumeuza wasiopenda kuchezea timu yetu na kununua replacement na hiyo hampendi, Dah! Ama kweli mwenye chongo ..... ..... .... khe khe khe kje khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwanini ghafla Peasant kaacha kuwaponda Arsenal.
Anaumwa labda au kaingia chama?
Dream on, mate! I will NEVER become an Arse in my lifetime.
Acha kupiga nyanga wewe kwani mmeuza kwa kupenda?
<br />Salam wakuu wa gooners. Ushindi muhimu leo na kikosi cha kutupa ushindi ni:<br />
<br />
<br />
Szczeny,Sagna,Santos,koscienly,Per M,Song,Arteta,Ramsey,Arshavin,Gervinho na Van Persie.<br />
<br />
<br />
Kila la kheri , na leo tumepewa nafasi ya kumuona Santos akianza rasmi.
Wajameni watani wenzangu, brazaz and sistaz...leo najisikia kuja kuwashangilia mkiwa mnakung'utwa na Rovers...kuna mwenye jezi ya risevu kwa ajili yangu?, i mean Fly Emirates?
Favor plz.
<br />
<br />
Na SUBS;Fabianski,coquelin,Djourou,Walcott,Gibbs,Chamakh and Benayoun.But i wonder why not J Y Park?
Usije ukawa bubu baadae.
Gervinhooo katutoa.