Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamis masingeli yuko wapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
hamis77 yupo Sana
Mjiandae kwa spana mjiandae kwa vibano
Maji mtaita mma
 
Hahaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamis masingeli yuko wapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba

West Ham (H),

Fulham (A),

Palace (H) and

Nottingham Forrest (A) [emoji106]

This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious [emoji1666]

Lets get it [emoji837][emoji836]️
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa sasa Dunia ina uhaba wa world class coaches pamoja na World class goal scorer-waliobora katika top 5 ligi bora duniani sidhani kama wanazidi wa 5 (Janga sana hili)

World Class Coaches wapo na World Class Players wapo.

Issue no uendeshaji wa Timu

Unaweza kuwa na Best Coach kama Jürgen Klopp, Arteta, Simeone, Unai lakini ikakosa right Players kulingana na uwekezaji wa Timu linapokuja suala la kununua Wachezaji.

But unaweza kuwa na Owners wazuri wanaomwaga hela za kutosha kwa usajili lakini ukawa na wrong Coach kama Chelsea na Manure.

Hivyo Timu ikiwa na right Coach with owner ndiyo itafanikiwa ingawa na mara chache right Coach na right owner kukutana pamoja.
 
Mechi zijazo ,tunatakiwa kutanua wigo wa points hapa hakuna kuremba

West Ham (H),

Fulham (A),

Palace (H) and

Nottingham Forrest (A) [emoji106]

This is the time to build some momentum, nothing short of 12/12 points here if we are serious [emoji1666]

Lets get it [emoji837][emoji836]️

Mpaka sasa ni 0/12 game mbili zimeshapita yani 2/4 with zero point 😂😂😂
 
kwani Hamis yupo holiday? Tumekumbuka vitu kutoka kwake mambo ya intensity, high pressing , mid block, counter attack , false nine n. k. Mechi mbili tu zitunyime uhondo ajitokeze tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom