mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,678
- 19,490
hamis77 yupo SanaHahaaaaa,hili jukwaa burudani sana , kwamba mmeanza ligi leo au sio ?
Hamis masingeli yuko wapi ?
Kenge yule anajuaga kujichimbia yule mkila kisago , anapotea mazima ,
Siku mkishinda anaibuka na takwimu zake za ki Dr shika
Mjiandae kwa spana mjiandae kwa vibano
Maji mtaita mma






️