Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kwani Hamis yupo holiday? Tumekumbuka vitu kutoka kwake mambo ya intensity, high pressing , mid block, counter attack , false nine n. k. Mechi mbili tu zitunyime uhondo ajitokeze tu.
 
'FC Nantes would like to terminate Marquinhos' loan and send him back to Arsenal. Discussions in progress with the London club.' [@lequipe]

Duuuh!!!!
 
kwani Hamis yupo holiday? Tumekumbuka vitu kutoka kwake mambo ya intensity, high pressing , mid block, counter attack , false nine n. k. Mechi mbili tu zitunyime uhondo ajitokeze tu.

Anatunga sheria namna ya kuja kivingine
 
World Class Coaches wapo na World Class Players wapo.

Issue no uendeshaji wa Timu

Unaweza kuwa na Best Coach kama Jürgen Klopp, Arteta, Simeone, Unai lakini ikakosa right Players kulingana na uwekezaji wa Timu linapokuja suala la kununua Wachezaji.

But unaweza kuwa na Owners wazuri wanaomwaga hela za kutosha kwa usajili lakini ukawa na wrong Coach kama Chelsea na Manure.

Hivyo Timu ikiwa na right Coach with owner ndiyo itafanikiwa ingawa na mara chache right Coach na right owner kukutana pamoja.

 
Loading......
IMG_20240102_211757.jpg
 
Arteta angekuwa anajua anatukosesha uhondo gani huku bongo tukifungwa, asingekuwa anaruhusu tufungwe.

Ona sasa Hamis hatuletei matetesi kutoka vyanzo vyake vya Colney. Hatuna picha za mazoezini. Hatuna quotes za wachambuzi...dah, FOMO kama yote inatawala.

Bahati nzuri kwake ni anahitaji kushinda next game tu, Hamis arudi na uhondo wa mwezi mzima
 
Arteta angekuwa anajua anatukosesha uhondo gani huku bongo tukifungwa, asingekuwa anaruhusu tufungwe.

Ona sasa Hamis hatuletei matetesi kutoka vyanzo vyake vya Colney. Hatuna picha za mazoezini. Hatuna quotes za wachambuzi...dah, FOMO kama yote inatawala.

Bahati nzuri kwake ni anahitaji kushinda next game tu, Hamis arudi na uhondo wa mwezi mzima
 
Arsenal wakishindwa kusajili watu sahihi kwa mahitaji yanayoonekana hasa mshambuliaji,beki na kiungo mapema (ndani ya siku7-14)wamekwenda na maji.....

Kwa nilivyowazoea watavizia mwishoni wa dirisha,wazuge wamemkosa au kuwakosa waliowahitaji kwa sababu za nje ya uwezo.😂😂😂
Ndo ujinga kocha tunaousema.
 
Arsenal wakishindwa kusajili watu sahihi kwa mahitaji yanayoonekana hasa mshambuliaji,beki na kiungo mapema (ndani ya siku7-14)wamekwenda na maji.....

Kwa nilivyowazoea watavizia mwishoni wa dirisha,wazuge wamemkosa au kuwakosa waliowahitaji kwa sababu za nje ya uwezo.
Kwa mwendo huu wa majeruhi ya Zinny na kuondoka kwa Tomiyasu naona kuna uwezekano wa kutosajiliwa kiungo,mshambuliajia na beki wa kati. Nafasi moja hapo inavunjwa soon
 
Mimi nasisitiza kitu kimoja tu hakuna hasara kama kuwa False hoper ,False hopes ni mbaya sana ...

Ukitaka kuamini mtu akuahidi atakuoa hela siku fulani wewe ukujipa matumaini na kupanga bajeti mwisho wa picha jamaa katokomea ..Mwanamke mmeahidiana vizuri muoane na ukamianmini kwa asilimia zote mwisho wa picha unamfuma anatoka na mwamba mwengine...
 
Back
Top Bottom