zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Asenali wachezaji wamejitoa kweli leo ila VAR wamewanyonga liverpool,odegaard naona aliushika maksudi ule mpira😂😂😂,nafikiri arteta aliongelee na hili sio asubrii tunyongww ndio keleleee
Alikua anaangukaAsenali wachezaji wamejitoa kweli leo ila VAR wamewanyonga liverpool,odegaard naona aliushika maksudi ule mpira😂😂😂,nafikiri arteta aliongelee na hili sio asubrii tunyongww ndio keleleee
Pale aliteleza ndo maana muelekeo wa mwili wake ulienda tofauta ni Same na ile wachezaji na mashabiki vichaa wa Liver wanadai Saka kacheza rafu wakati kateleza na pia kacheza mpira kwenye ile tackle .Asenali wachezaji wamejitoa kweli leo ila VAR wamewanyonga liverpool,odegaard naona aliushika maksudi ule mpira,nafikiri arteta aliongelee na hili sio asubrii tunyongww ndio keleleee
Hajui kama akili ni nywele, sasa akili anazipaka rangi, ndio matokeo yake ni haya.. 😂🤣Analeta "vibe" la Chidi Makame
Mwili ulikua chini, at the same time mkono pia ulikua kwenye natural position (not outstretched).Asenali wachezaji wamejitoa kweli leo ila VAR wamewanyonga liverpool,odegaard naona aliushika maksudi ule mpira😂😂😂,nafikiri arteta aliongelee na hili sio asubrii tunyongww ndio keleleee
This is because kuna mchezaji au wachezaji fulani, umewaweka pale, then unafanya comparison na anacholeta Kai.Binafsi Kai bado kuna vitu muhimu anakosa
Kwa nn zinny asisogee into middle mazima as kukaba hawezi yule dogo tutamlaumu kila siku humu
Mtangazaji wa Supersport anasema akimuona Saliba na mali, neno la kwanza analofikiria kichwani ni "CALMNESS"Willy Saliba,
Jamaa kama hataki vile, anakaba huku anacheka. Unamuona kabisa anavyo enjoy.
Very well composed, ukimpress unafanya kazi bure tu.
Nilikuwa nawaambia kitaa hapa, tunaanza kupazoea ANFIELD kama ilivyo OT. Next time tunaondoka na points zetu 3 kama zilivyo.Pale Anfield kwa matokeo haya mimi nimefurahi sana, ni matokea stahili kabisa,kuna improvement kubwa sana kulinganisha na game ya 2-2 last season na game ya Leo 1-1, siku sio nyingi tutaanza kuchukua point zote 3 pale kwao,
Game ya leo tungekua na Tomiyasu/Timber,Partey na Striker wa maana tungepata ushindi vizuri sana
hata Intervew ya Saka baada ya mechi imejidhiilisha kwa jicho la tatu kua tunaitaj striker wa maana.
Kwa hiyo baada ya kuushika mpira ndio ukamzuia asianguke??Alikua anaanguka
PGMOL wameelezea alikuwa anaangukaAsenali wachezaji wamejitoa kweli leo ila VAR wamewanyonga liverpool,odegaard naona aliushika maksudi ule mpira,nafikiri arteta aliongelee na hili sio asubrii tunyongww ndio keleleee



️Mmebebwa kondoo nyie, niotee nini? Hukuona mtu akiunawa ndani ya box?Otea
Kubanwa ndo nn...tulikuwa tunacheza na timu ya pili kwa ubora kwa Sasa kwny ligi...unabisha kaangalie kwny msimamo🤠🤠🤠...halafu tumeenda kutoa lekcha pale kwao Anfield....bdo hawajaja Imarate tuwape course work kabisa....Mmebebwa kondoo nyie, niotee nini? Hukuona mtu akiunawa ndani ya box?
Bado unatuonea huruma mkuu au🤠🤠🤠...sisi tumeshamaliza msala wetu pale Anfield....bdo kuja hapo kwenu kutoa elimu kwa kipara kwmba zama zinaanza kubadilikaHuwa nawaonea huruma tu mkienda Anfield....mwaka Jana mkaongoza kabisa Goli mbili na mnataka kuchukua ubingwa lakin moto mliopelekewa sio poa zote zikarudi na Salah alikosa penalty mlikuwa mnapigwa kabisa ...na Ni mwaka ambao Liverpool alikuwa mbovu maana hata top 4 hakuingia...






Mkono ulikua in a natural position?Kwa hiyo baada ya kuushika mpira ndio ukamzuia asianguke??