Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,667
Kumbe ameisha pona?
Kachukua MOTView attachment 2851195
Kachukua MOTView attachment 2851195
Umezungumza ukweli kabisa...ndo maana nikasema kwny role ya ku invert pale Arsenal hakuna anayemfikia...ila kuna mechi utahitaji kuwa na mlinzi katili zaidi Ili kutoruhusu bughudha kwa mchezaji msumbufu....Sasa jana ni mfano WA mechi hyo....super Tomiyasu angekuwepo kulikuwa na uwezekano wa kubeba points zte....Uwezo wa Mpira wa zinny Ni mkubwa zaidi kuliko wa Tomiyasu . Na Kama hujui plan zetu nyingi zinaanzia kwa Zinny . Kama unafatilia mechi nyingi anazoanza tomiyasu Ni za mikakati ya kumzuia mtu fulan lakini kuna kitu kinapungua kwenye kushambulia. Watu wanajua Zinny siyo natural Defender lawama za nini sasa. Kwani hukuona Game na city kwa nini alivyoingia Doku na arteta ndo akaamua amuingize Tomiyasu
Watu wanaongea tu ,Juzi hapa Arteta alisema faida za Zinny ni nyingi kuliko hasara zakeUwezo wa Mpira wa zinny Ni mkubwa zaidi kuliko wa Tomiyasu . Na Kama hujui plan zetu nyingi zinaanzia kwa Zinny . Kama unafatilia mechi nyingi anazoanza tomiyasu Ni za mikakati ya kumzuia mtu fulan lakini kuna kitu kinapungua kwenye kushambulia. Watu wanajua Zinny siyo natural Defender lawama za nini sasa. Kwani hukuona Game na city kwa nini alivyoingia Doku na arteta ndo akaamua amuingize Tomiyasu
Tushamlia karanga mbichi Wolves ,leo atajuta kukutana na yatima wa AbrahmovichSaa 10 mna Wolves
Wolves tunamywa supu leoSaa 10 mna Wolves
Zinny anachokosa Ni ule msaada ambao ulikuwa unatupa favor... Xhaka alikuwa mzury wa ku cover nafasi ambazo anaziacha nyuma na Ndo mana naamini Partey akiwa fiti na Rice akacheza Role y Xhaka itakuwa poa Zaidi . Na zile Mechi ambazo Wapinzani Wanatumia mtu mmoja mmoja kuamua mechi Kama Salah ndo zinamfaa Tomiyasu. Kama Game ya Jana Either Timber or Tomiyasu angekuwepo Game ilikuwa imeisha mapema tu. Na Ndo mana bado tunasisitiza na Tutaendelea kusisitiza kuwa Ligi kwétu inaanza January.Watu wanaongea tu ,Juzi hapa Arteta alisema faida za Zinny ni nyingi kuliko hasara zake
Halafu mechi za kumsumbua Zinny huwa hazizidi 3
Angekuwepo Timber au Tomiyasu ndio mechi zao hizo
Ubavu wa kushoto unamuweka Timber ,kulia Tomiyasu
Mimi sihangaikagi kumlaumu Zinny, maana ile role yake Hakuna anayeifanya kwa ufasaha Kama yeye ,na ndiye anatusaidia Sana kutengeneza mashambulizi
Ligi tunaianza JanuaryZinny anachokosa Ni ule msaada ambao ulikuwa unatupa favor... Xhaka alikuwa mzury wa ku cover nafasi ambazo anaziacha nyuma na Ndo mana naamini Partey akiwa fiti na Rice akacheza Role y Xhaka itakuwa poa Zaidi . Na zile Mechi ambazo Wapinzani Wanatumia mtu mmoja mmoja kuamua mechi Kama Salah ndo zinamfaa Tomiyasu. Kama Game ya Jana Either Timber or Tomiyasu angekuwepo Game ilikuwa imeisha mapema tu. Na Ndo mana bado tunasisitiza na Tutaendelea kusisitiza kuwa Ligi kwétu inaanza January.
Georginho jana niliona kama yupo benchi vile...naamini mechi ijayo atakuwepo...Mwanetu Kai Kawa silence
anaenda kukosa mechi dhidi ya westham ,ana kadi 5 za njano, roho zatuuma maana Kawa shubiri na sio tende
Dhidi ya Westham Kama Jorginho atakuwa fit ,
Kiungo kiwe
Rice- Jorginho-odegaard
Au
Trossard-Rice-Odegaard
Vieira bado injury hadi January
Nimewaangalia Westham Jana vs Manjesta, kwa ule Moto wa Emirates hawachomoki
West ham wanategea pasi tatu goli watarudia kucheza kama walivyocheza karabao.Mwanetu Kai Kawa silence
anaenda kukosa mechi dhidi ya westham ,ana kadi 5 za njano, roho zatuuma maana Kawa shubiri na sio tende
Dhidi ya Westham Kama Jorginho atakuwa fit ,
Kiungo kiwe
Rice- Jorginho-odegaard
Au
Trossard-Rice-Odegaard
Vieira bado injury hadi January
Nimewaangalia Westham Jana vs Manjesta, kwa ule Moto wa Emirates hawachomoki
Yule muhuni wa Nyukesto yupo wapi...mbona anakuwa sio mwanamichezo🤠🤠🤠....tulikubaliana hmu kwny shida na Raha aje atutembelee lakini naona akibamizwa anapotea kabisa...Mwanetu Kai Kawa silence
anaenda kukosa mechi dhidi ya westham ,ana kadi 5 za njano, roho zatuuma maana Kawa shubiri na sio tende
Dhidi ya Westham Kama Jorginho atakuwa fit ,
Kiungo kiwe
Rice- Jorginho-odegaard
Au
Trossard-Rice-Odegaard
Vieira bado injury hadi January
Nimewaangalia Westham Jana vs Manjesta, kwa ule Moto wa Emirates hawachomoki
Tutatoa mfano kwa timu yyte iliyojaribu kutufunga tulipokutana awali au kwny michuano yyte....tutawadunda kama ngomaWest ham wanategea pasi tatu goli watarudia kucheza kama walivyocheza karabao.
Nafikiri Silaha zao hazizuiliki kizembe ( paqueta,Bowen na Kudus) hao ndio watakao leta shida kwakuwa wanajiweza sana kibinafsi na njia yao itakuwa pembeni mwa uwanja ili wakibaribia goli ni miwa tu😀
Hii kitu watu wanachukulia poa lakini mimi niliifatilia kuna mchezoKUMWAGIA UWANJA MAJI JANA ILIWA COST WAO
1.Odegaard slips leading to potential penalty
2.Saka slips leading to Diaz injury
3.Saka slips and takes off Tsimikas and Klopp
4.Zinny slips and tackles Odegaard leading to 5 on 1 for Liverpool
5.Martinelli slips in Liverpool box on a 1 v1 with AllisonView attachment 2851472View attachment 2851473
Nakuabaliana na ww kabisa mkuu...lakini kabla ya kwnda kwny game ni lazima uwe na mpango mkakati wa namna ya ku deal na mtu kama hyu....Zinny hakuwa nao....Ile nafasi ya jana mbele ya super Tomiyasu asingepiga au angeenda kulia....maana yle mjapani anatumia miguu yte....tukubali tukatae....Zinny ana defensive weakness kubwa hasa akikutana na winger msumbufu....kuchomesha ni dakika sifuri tu....ila kwny ku invert hakuna mtu anayemfikia pale Arsenal