Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nketiah akiwa makini pale mbele anaweza kutuinua, nafasi nyingi zimetengenezwa pale
 
Shida yetu ile ile. Shots asipopiga Odegaard basi timu nzima haitafanya hivyo
 
Hii game inapaswa tubebe points 3

Tunahitaji two attacks tu zilizo makini
 
Sema Zikchenko jamaa, pamoja na weakness ya kukaba, ila jamaa linajua ball kisawasawa.
 
Timu haijacheza kuaccommodate strength ya Kai.

Shot taking was poor.

Zinchenko alikua hovyo kwenye kumsimanga Salah.

Saka amekua hovyo leo.

Tunahitaji long shot merchant.
 
Kai kuna vitu anakosa, na kwa nafasi yake ni vitu muhimu mnoo, kimoja wapo ni jicho la pasi, kuna matukio kama matatu hivi alitakiwa kupiga pasi moja tu ya madhara, akaturn na kupiga pasi ya kupossess badala ya kushambulia.
kingine anakosa strength
 
M bado nalia na striker kuna cross zinapigwa zinapita patupu final third hamna mtu, goal nyepesi tu za tap in zinakua missed hivhiv

Tangu game na Aston villa tunaupiga mpira mkubwa sana lakin lack of goal inafanya tuonekane hatujafanya kitu, Arteta lazma afanye jambo
 
Imagine hii game una Partey na Timber. Liver alikua anakufa nyingi sana na hapati hata ontarget

Arsenal kwa sasa kikosi ni kidogo sana, Yani sub zetu mbili TU, Trossard na Nketiah
 
Back
Top Bottom