mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Hii game sisi ndio tunastahili kuchukua points 3
Achana na hii tumeenda kushambulia wote, utulivu wa rice umetuokoa Sana
Tunafanya Sana mashambulizi kuliko wao, tunachokosa ni organized attack
Hii game sisi ndio tunastahili kuchukua points 3
Siku zote hua wanacheza hivyo?Sasa hizo sini backline? Sio striker hao![]()
..kingine anakosa strengthKai kuna vitu anakosa, na kwa nafasi yake ni vitu muhimu mnoo, kimoja wapo ni jicho la pasi, kuna matukio kama matatu hivi alitakiwa kupiga pasi moja tu ya madhara, akaturn na kupiga pasi ya kupossess badala ya kushambulia.

Hii ndio ilikua injection nail yetuSema Zikchenko jamaa, pamoja na weakness ya kukaba, ila jamaa linajua ball kisawasawa.
Saka kibunda kimeanza kumlevyaHua nasema ukiona mchezaji kaanza kua busy na nywele mara aweke rangi au abadili mitindo ujue ndiyo mnampoteza.
Angalia Trent, Pogba, Rashford na leo namuona Saka.
Toa blichi ilo babuit's arsenal twinkle on top of the tree..